Ni kweli kabisa,shinikizo ni wamama wa watoto,wanaume mara nyingi tunatafuta shortcut ili kufanya vitu visivyo na gharama kubwa.....Hii kitu imekuwa fashion aisee hii kitu siwezi kufanya , ila nimeona wengi wanapata shinikizo kwa wake zao
Kheee na wewe upo humu?Hata jamaa zangu huwa wakinialika eti kwenye sherehe ya birthday ya mtoto wa kiume nawaambiaga ukweli nyie ndio mnawasababishia watoto wawe mashoga wanaanza kuiga mambo ya kike.
Ndio maana unakuta watoto wa kiume siku hizi ni walain sana. Ukimcheck hata ngozi ni lain haina hata kovu. Hata kushika jembe tu hajui. Tumepotea sana
Umaskini kitu kibaya sana tafuta hela6Ila kweli asee ina ukakasi fulani hata harusi menaonaga jau kwa mtoto wa kiume ilifaa mambo yaishie kanisani kisha kwenye pombe na kitimoto. Wa kike ye afanyie send off bas inatosha
😀😀Hapo kwenye malapa na soksi imenichekesha Sana mkuu,umenifanya nimkumbuke Kaka mmoja,jirani yangu 🤣🤣🤣Wanalelewa kuwa wavulana hao ndo wale mtaani wanakuja kutuvalia malapa na soksi mtoto wa kiume anaogopa vumbi
Kuna mambo hata kama huvunji Sheria ni mambo yakijinga..Sema tusiwe watu wa kujudge maana hii inatuondolea ile Nguvu ya kuwa sisi tumeenda shule
Tafsiri yetu ya MAFANIKIO ipo tofauti inawezekana huyo kijana akawa Mtu smart ila alichofanya nikuipa hiyo graduation yake Nguvu kumuhukumu kuwa anaweza kuwa hivi au vile ni wivu tu Muda kuheshimu maamuzi ya Mtu ilimradi avunji sheria.
All the best.Kesho kutwa tuu nitakuwa Elegance hotel sinza morii to celebrate my success... Your most welcome
Shida umaskini degree eti za kawaida sababu nyingi hivyo eti hamna haja ya shereheIssue ni mwanaume kifanya sherehe hasa kwa Tanzania ya sasa ambayo degree inekuwa kitu cha kawaida.
Safi sana hongereniMimi nimemfanyia sherehe Junior kamaliza vidudu
Kafanya au kafanyiwa na wazazi wake, au kuna mwanamme mwenzake kamfanyia?Nimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Unafanya Graduation kubwa halafu unaishia kuwa mbeba zege kitaa.
Inaleta huzuni Sana labda awe wa mboga Saba na connection za uhakika
Ukishakuwa Huna hela ,kila wanachofanya wenzako kwakoTatizo ni pale uanapotaka maisha yako kila ayaishi. Kila mtu Aishi kwa uwezo wake.
Kukosa hela tatizo sanaWatu kama wewe mna wivu wa kijinga sana aisee. Mtu anaweza kuwa kasoma Jordan na akawa na mchongo wa maana tu. Mwaka 2018 nilikuwa na mgahawa ambapo aliyekuwa anapika bites ni graduate wa Bcom UDSM.
Ongeza vitumbuaChai tea
Nae ni Bishoo hapo hakosi earphones😀😀Hapo kwenye malapa na soksi imenichekesha Sana mkuu,umenifanya nimkumbuke Kaka mmoja,jirani yangu 🤣🤣🤣