Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Ndo madhara ya kufundisha watoto jihad, chuki nk. Sasa malipo ndo hayo.
Sasa kuhusu bikra vipi dogo nae atapewa? Au ataambiwa wewe umri wako Bado???
Hivi wapalestina wana njia nyingine ya kupambana na Israel tofauti na Violence? Tofauti ya HAMAS na UMKHONTO WESIZWE ya Nelson Mandela ni ipi? Unakumbuka Rabbin alianzisha mchakato wa suluhu na Yasser Arafat chini ya Bill Clinton, nini kilimtokea? Ukielewa nini maana ya kudhulumiwa na ukawa huna njia ya kupata haki yako, utaelewa kuwa VIOLENCE IS A FAIR OPTION.
 
Huu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.

Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Kwani hicho kisu lengo nae si ilikuwa kuua!
Mwache nae aonje alichokuwa anatamani kukifanya!
 
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Nime bold hiyo kauli niliyo bold ni utapeli kaka
 
Huu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.

Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Aiseeee! kijana mdogo kafa kwa upuuzi wake na kitabu kile cha shetani kimemponza.
 
Ndio maana askari wakitoka vitani wanakuaga na PTSD.
 
Kwenye vita, unaweza kusema ni mtoto kumbe kumbe kavaa vilipuzi, ukizingatia huko nyuma watoto walikuwa wanajitoa mhanga baada ya kushauliwa na magaidi, huyo mtoto alikuwa ametoa wapi hicho kisu? Hapo mashariki ya kati kiini kikuu cha mgogoro huo ni dini ya kiislam na dini ya kiyahudi, hayo mambo ya ardhi ni porojo tu, kwani waangeamua kuishi pamoja ingeshindikana? Palestine wanachokitaka hawawezi kukipata mpaka Yesu anarudi, kama walishindwa kutetea nchi yao miaka 1948- 1960 ambapo Israel ilikuwa na uchumi dhaifu na jeshi la kawaida, kwa sasa hawezi kuitoa Israel yenye air force bora duniani na silaha za nyuklia za kujilinda. Wapalestina wakikaza vichwa watamalizwa, natamani kuona viongozi wa hamasa wenye ujasiri waseme tunataka kuunda taifa moja la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina.
 
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Kwa bahati mbaya ama nzuri kwako wayahudi hawajawai kukuomba kuwa upande wao ama kutokuwa upande wao. Itoshe kusema unajiongelesha tu.
 
Kwenye vita, unaweza kusema ni mtoto kumbe kumbe kavaa vilipuzi, ukizingatia huko nyuma watoto walikuwa wanajitoa mhanga baada ya kushauliwa na magaidi, huyo mtoto alikuwa ametoa wapi hicho kisu? Hapo mashariki ya kati kiini kikuu cha mgogoro huo ni dini ya kiislam na dini ya kiyahudi, hayo mambo ya ardhi ni porojo tu, kwani waangeamua kuishi pamoja ingeshindikana? Palestine wanachokitaka hawawezi kukipata mpaka Yesu anarudi, kama walishindwa kutetea nchi yao miaka 1948- 1960 ambapo Israel ilikuwa na uchumi dhaifu na jeshi la kawaida, kwa sasa hawezi kuitoa Israel yenye air force bora duniani na silaha za nyuklia za kujilinda. Wapalestina wakikaza vichwa watamalizwa, natamani kuona viongozi wa hamasa wenye ujasiri waseme tunataka kuunda taifa moja la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina.
Wamekosea kumuua huyo mtoto
 
Huu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.

Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Bora umejiongeza
 
Kwenye vita, unaweza kusema ni mtoto kumbe kumbe kavaa vilipuzi, ukizingatia huko nyuma watoto walikuwa wanajitoa mhanga baada ya kushauliwa na magaidi, huyo mtoto alikuwa ametoa wapi hicho kisu? Hapo mashariki ya kati kiini kikuu cha mgogoro huo ni dini ya kiislam na dini ya kiyahudi, hayo mambo ya ardhi ni porojo tu, kwani waangeamua kuishi pamoja ingeshindikana? Palestine wanachokitaka hawawezi kukipata mpaka Yesu anarudi, kama walishindwa kutetea nchi yao miaka 1948- 1960 ambapo Israel ilikuwa na uchumi dhaifu na jeshi la kawaida, kwa sasa hawezi kuitoa Israel yenye air force bora duniani na silaha za nyuklia za kujilinda. Wapalestina wakikaza vichwa watamalizwa, natamani kuona viongozi wa hamasa wenye ujasiri waseme tunataka kuunda taifa moja la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina.
Kuishi pamoja na mazayuni ni kheri uishi pamoja na nguruwe unaweza ukawa na walau amani
 
Kwenye vita, unaweza kusema ni mtoto kumbe kumbe kavaa vilipuzi, ukizingatia huko nyuma watoto walikuwa wanajitoa mhanga baada ya kushauliwa na magaidi, huyo mtoto alikuwa ametoa wapi hicho kisu? Hapo mashariki ya kati kiini kikuu cha mgogoro huo ni dini ya kiislam na dini ya kiyahudi, hayo mambo ya ardhi ni porojo tu, kwani waangeamua kuishi pamoja ingeshindikana? Palestine wanachokitaka hawawezi kukipata mpaka Yesu anarudi, kama walishindwa kutetea nchi yao miaka 1948- 1960 ambapo Israel ilikuwa na uchumi dhaifu na jeshi la kawaida, kwa sasa hawezi kuitoa Israel yenye air force bora duniani na silaha za nyuklia za kujilinda. Wapalestina wakikaza vichwa watamalizwa, natamani kuona viongozi wa hamasa wenye ujasiri waseme tunataka kuunda taifa moja la jamuhuri ya muungano wa Israel na Palestina.
Hao viongozi wa hamas akina yahya sinwar waliwekwa jela israel wakaachiwa sahizi wanawasumbua dawa ni kama aliyopewa huyo dogo tu maana ukicheka nao wao ndo wanakuua
 
Ndio maana hamas wanataka wawafyeke hawa magaidi wa kizayuni na wauaji

Hivi kijana mdogo kama huyu mtampa mabikira? Ina maana hao mabikira watapewa kwa vitoto pia au hadi ufikie umri gani...
 
Back
Top Bottom