Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Washenzi hawa wanafikiri issue ni pesa. kuna emotional attachment kati ya Baba na huyo mtoto ambayo ndio ndio inawezekana ilimuumiza jamaa zaidi. Ila vijana wa sasa wana low EQ.
Hata spiritual strength hawana
 
Wazee kwa vijana wanateseka sana na suala hili.
Your browser is not able to display this video.
 
Ninadhani hali hii inachangiwa pia na vijana wengi kulelews na mama pekee bila baba.
Mtoto aliyelelewa (hasa wa kiume)na mama pekee yake bila baba au ndugu wa kiume kwa asilimia kubwa huwa anaiga uhusika wa kiuanamke. Mwanamke hutegemea zaidi hisia kuliko uhalisia!

Angalia wengi wa wanaume wanaoleta malalamiko ya kimahusiano humu jamvini wamekaa kihisia zaidi (sifa kuu ya kike) yaani wamekaa kudekadeka! Yaani ishu ndogo anaileta jamvini badala ya kufanya uamuzi au kupotezea!

Wewe mwanaume uliyeacha mtoto hasa wa kiume huko,ipo siku huyu mtoto atakuwa na sifa hizo coz mwanamke anajua huruma ndiyo malezi!
 
Duh hili binti litamtesa maisha yake yoote, sawa walitaka kumlipa laki 8 yake,je vi na muda alioupoteza qatamlipa??
Una maana kila kitu alicha mfanyia mtoto Alikuwa ana record Huyo mwanamke? Akimnunulia nguo anauliza ni bei gani, akileta sukari anauliza...........
 
Ubapa wa panga ungehusu ukoo mzimaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Na laki nane nachukua...
 
Ubapa wa panga ungehusu ukoo mzimaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Na laki nane nachukua...
Tumeanza mapenzi tukiwa vidudu huko...uhuni mpaka umri huu..

Hiyo familia ingekula mbata na drama za kutosha...

Laki nane hii ni ndogo...vijana tuwe tunasema mambo hata kwa masela ...bro ameenda na 28..Kinda kabisaaa..anaacha watu wanakula ugali na hewa ya bure.
 
Jitahidi uwe malaya kidogo ili siku yakikukuta usijiue bali ujipigepige kifua
Hata ukiwa malaya kiasi gani kutatokea mmoja ambaye moyo wako utamchagua alafu wewe mwenyewe utashangaa hata imekuwaje kuwaje ukamchagua........

Alafu sasa kwa bahati mbaya yeye hana hata time na wewe......

Na ndio mateso yanapoanzia.....
Mapenzi hayana mwenyewe omba Mungu tu usinase.....

Wote wanaopigania mapenzi sio kwamba hawana wapenzi wengine bali wamekwama....
 
Mama mkwe na mtoto wake wote hawana akili. Thamani ya mtoto unaithaminisha na pesa!?? Tena 850k?? Aaaah
 
Ninachojua GENTAMYCINE ni kwamba 85% ya Wanaume nchini (Mimi wala simo) wanalea 'Mabao' ya Wanaume wenzao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…