Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
MWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
very interestingNishafukuzwa interview kibao mpaka nikakata tamaa nikaenda interview moja kuna documents sikwenda nayo nikatolewa baru nikaambiwa kalete hio documents hapo ningekua na hio documents nilikua napewa mkataba nianze kazi nikaondoka nikajua kote ndio wale wale baada ya siku 2 nikatafutwa wananipigia simu wananiambia nipeleke documents nikasaini mkataba nianze kazi
Nyingine nikaenda nikafanya written nikajua tu hapa sijui km nitaitwa maana haikua rahisi nimekaa zangu nishasahau kuhusu habari za interview Sina hili Wala lile nasikia simu inaita napokea naambiwa naongea na 'Mpetde' Mimi najibu ndio naambiwa njoo kwenye oral siku fulani mda fulani ile written umepasua
Maisha haya.....
😆😆😆🤪
ulizurula kwenye kazi or vacation mkuu?Mda mwingi nimeutumia kuzurula maeneo tofauti nchi hii kuliko kujijenga😭😭
Ila kwa sasa nimeamua nitulie
hahaa sawa chief, but wanasiasa tendeni haki aiseehKutokuingia kwenye siasa tokea 2010 ningekuwa mbali sana
hili ni fundisho tosha chiefForex
Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan unaish km vile muvi ukienda kwenye computer ukiclick masaa2 maokoto hayo km yote...mapcha pcha yakaaza mara soko liende tofauti mara tamaa ya kutaka utajir chap mara broker acheze na machart mara news yani balaa kipindi hiko ndugu zangu wananipgia connection za kazi mara hii mara ile wengine full kunifata adi nyumbani kwann sionyeshi ushirikiano mm wala sieleweki najiona nimepata deal kumbe mm ndio deal lenyewe mpk kufika 2019 nimeshakua km teja yani akili inawaza malambogn ferari mansion...huku nikuchoma account na kufund account uko kwenye circle ile ile mpaka nakuja kushtuka nimepoteza mda na pesa kibao na kazi kibao daah yaan acheni kabsa..2020 nikaachana kabsa na fx nikabadili mfumo wa maisha nikaanzsha biashara ndogo ile biashara ikazaa nyngne, nikakuza mtaji now nipo kkoo napambania kombe alhamdulilah bado najitafuta sjajipata vzur ila 7figure kwenye account znasoma.
Hustler migogoro junior
msaala gani ili wengine tujifunzeMimi nimelikoroga siku za hivi karibuni,yani hapa sielewi najinasuaje?
Hawa Viumbe ni hatari Sana.. hawanaga uvumilivu tunaishi nao basi tu japokua si woteMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
pole sana, wanawake wengi ni wabinafsi sanaPolee mkuu, nahisi maumivu yako.
Kuna mwanamke nilishawahi ku-date naye miaka ya nyuma, aisee nilimpenda sana na hali yake ya kunitegemea mm kwa kila kitu ndo ilinifanya nimpende zaidi na zaidi.
Aliniomba ahamie ghetto kwangu, kwa upumbavu wa kupenda uchi nikakubali, kumbe nafuga shetani, aisee nilikuwa namnunulia kila kitu mzee...chupi, pads, vocha yaan like 95% ya mahitaji yake yote ela ilitoka mfukoni kwangu.
Sasa kuna kipindi nilipatwa na matatizo, uwezo wangu wa kumhudumia ukapungua, aisee niliona kila rangi, sikuamini yale maneno yalitoka kinywani mwake. Kuna maneno alinambia bado nayakumbuka, ndo maana hadi leo naogopa wanawake wa Tanga.
MUNGU akusimamie , na wengine wajifunze piaMwaka 2017 nilipomaliza chuo Nikazalishwa hapo ndo ikawa mwanzo wa maisha yangu kuharibika mpaka Leo hii no job no anything baada ya hapo maisha yangu yamestack ila naamini siku moja mambo yatakua sawa.Mungu ni mwema
daah machimboni full ushirikina,ngono zembe, mauaji na uleviSitosahau nilipoingia machimboni aise kumenibadilisha sana
Ramani zangu nyingi zilipotea but Nashukuru Mungu niko sawa Muhimu nikutokukata tamaa tu
kipi kilikufika mkuu??Aisee dunia ina mengi
daah hawa watu tumewakosea nini??Mahusiano.
TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.
Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?
Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'
Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.
Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
duuhMahusiano.
TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.
Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?
Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'
Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.
Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Dah pole sanaAcha tu pombe zilinirudisha nyuma sana namshukuru Mungu nimepunguza saivi kidogo afadhali
Vip mahusiano na mzazi mwenzio mpaka sasaMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Thanks mkuuMUNGU akusimamie , na wengine wajifunze pia
Mungu akuonekaniemwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena