Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji106]Hapa mambo yasiwe mengi, huyo mchawi aendelee kuishi polisi. Akirudi mtaani wahuni wataishi nae tu. Haiwezekani utese watoto wa wenzako halafu ubakie salama.
Uchawi hauna udhibitisho ila haimaanishi kwamba haupo. Swala la kuamini upo au haupo bado inabakia kuwa hiari ya mtu binafsi.
Actually ni mazingaombwe. Ila kwakua bongo tuna shida ya kueleweshana wakaripoti kama uchawiUlaya wameanza kutoa shahada ya uzamili ya uchawi kwenye vyuo vyao vikubwa nyie wachawi mnawasaka chaka tu chaka ili muwauwe.
Kama haki inapatikana kirahisi hivyo hapa bongo daini mpewe katiba mpya.Hakika mkuu wangu....
Hakika [emoji106]
Tunashindwaje kudai HAKI zetu pasi na kuvunja SHERIA NA AMANI ???? [emoji45]
Inashangaza mno...
Hofu ni msingi wa kila kitu.Sasa hukumu ya mchawi itatolewaje na mamlaka ambayo haiamini uchawi? Hio inatolewa na magwiji wa uchawi ambao wanamtambua mchawi huyo ambao ndio hao kamchape na sio kuwa wanawaua ila wanawavua vyeo tu. Sasa kama sio mchawi anaogopa vipi kuvuliwa vyeo?
Kwani mkuu mazingaombwe wewe huwa unayaonaje.Actually ni mazingaombwe. Ila kwakua bongo tuna shida ya kueleweshana wakaripoti kama uchawi
Mkidhani mnatawala wagonjwa wa akili hilo jambo linawezekana🤣Tangulia kituo cha polisi popote karibu yako nikukute mwenyewe .
Umeuliza swali zuri sana.Pole sana mkuu!
JAPO najiuliza UNGEKUA upande wa polisi ungefanyaje!!?
Zaidi ya kutuliza ghasia!!?
Chamsingi polisi warudishe majeruhi na hao watu waliokamatwa wajulikane walipo na wanatuhumiwa KWA kosa GANI HASA!!!
Operation kamchape mara nyingi huleta mixed feelings KWA wengi!sio za kuendekeza operation hizi!!
AlhamduliLlah.
Acha ujingaKm wapo ngoja wanyooshwe. Wachawi na washirikina ni adui wa maendeleo. Kumjua ni rahisi km na wao wanavyodhuru watu kirahisi. Sema hawa watu kabla hawajagusa familia yako huwezi kuamini ila viashiria vya kifo chenye utata vikiikumba familia yako hata imani yako utaiweka pembeni.
Serikali hairogwi wewe usipoteze muda wakoMkidhani mnatawala wagonjwa wa akili hilo jambo linawezekana🤣
Sasa subiri siku tano za maumivu utakuja kusimulia hapa mkuu😆
Wenzake wa kabwe wilaya ya nkasi walijidanganya hivo hivo Ila unaelekea kukata mwezi sasa watu wanazidi kusota rumande na waliokufa waliShazikwa kijjn mambo yanaendelea kama kawa. Walipiga vitisho vingi Ila mwisho wa siku wananchi ndo wanabaki kua wahanga wakubwa.Serikali hairogwi wewe usipoteze muda wako
Hakuna Kituo kilichovamiwa! Ni uzushi.Wamekufa Kwa upumbavu wao watu wamevamia kituo cha polisi unataka wafanyweje?