Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa

Hongera zimwendee mwenyekiti CHADEME Dodoma kwa kuyaibishabma ccm na polisi wao.

Hongera nyingi zimqendee Lissu kwa kusimama kishujaaa kuyakataa maridhiano ndani na nje.

Hongera Lema ulisema hadhaeani kywa mwenyekiti awe amakini na hayo maridhiano.

Note: dawa ya ccm ni fimbo kama ile Ndugai aliyomtandika mpinzani wake hadi kuzimia😅
 
Polepole tutaelewana mbowe ndo msaliti mkubwa wa chawa na wapenda mabadiliko wote
 
Walimuonya watu hakusikia, including lissu. Is why watu wanamtaka aende out
Chadema tunaumizana wenyewe tu.....naungana na Lissu aliyesema tulifanya makosa makubwa kuweka Imani yetu kwa huyu mama...sasa Chatu ameshatumeza nusu, kitakachosaidia ni mabadiliko ya haraka....
 
Hii mifano mingine,kwahiyo unataka kusema mjinga hapo ni nani...
 
Unamlaumu Samia wakati waliofanya hayo mnawajua
Mbona hela zetu za kodi zikitumika kwenye miradi mnamshukuru Samia kwa kutoa fedha hizo huku mkijua siyo kweli? Sasa kwanini asilaumiwe pia kwa makosa ya watendaji wake?
 
Hakuna kosa lolote watu wameikataa chadema kwa vitendo
 
Reactions: Tui
Lema ameshakisaliti chama! Kweli lema ni mtu wa kukosa hata mtaa mmoja Arusha kati ya mitaa 154?? Kilichonichekesha CCM na umburura wao, kuna mtaa mwenyekiti kapata kura 1,200 lakini waliojiandikisha walikuwa 300 sasa anayedanganywa hapa ni Samia au CHADEMA??
 
Tutajie mtaa huo?Bila huo ushahidi utakuwa mzushi tu.Wewe ndio umeleta hayo madai kawa hiyo burden of proof itakuwa juu yako.
 
Mbowe anatakiwa aondoke kwenye hyo nafas kuepusha chadema kuendelea kudidimia
 
Mariadhiano ulikuwa ni mchezo wa mfugaji wa kuku wa kienyeji anayetafuta kuku wa kumchinja, kuku yupo nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…