MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
And TISS wako wapiSijaona weledi wa TAKUKURU hapo.
TAKUKURU wangekuwa weledi wangeyajua haya kabla ya CAG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And TISS wako wapiSijaona weledi wa TAKUKURU hapo.
TAKUKURU wangekuwa weledi wangeyajua haya kabla ya CAG
WATAPANDA KIZIMBANI AU VYEO?Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi hii leo tarehe 1 April 2023 chini ya Uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kimetoa maazimio yafuatayo:
1. Ofisi ya CAG na TAKUKURU Zimepongezwa kwa kufanya kazi kwa weledi
2. Serikali imetakiwa kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliothibitika na kutajwa katika ripoti za CAG na TAKUKURU
3. Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana na nafasi za umma vibaya na kwa maslahi binafsi na kushindwa kuweka maslahi ya nch mbele.
Tutegemee barua za utenguzi "soon" lakini kuna watu watapanda kizimbani,
Mkuu wa nchi atoe presidential decree hao wote waliotajwa kuhusika katika ubdhirifu wa mabilioni ya walipa kodi wafungwe maisha , this is very possible kama sheria ya kuwashughulikia ina mapungufu haswa waliotajwa kwenye repoti ya CAG ....Kwani Kuna mtu karajea na rpoti ya CAG?
Kwanini doc zipotee?? Kuna watumishi waliajiriwa kwa kazi hiyo ya kupoteza doc? aacha kutetea uhozo.Iko hivi bosi. Serikali yetu inaongozwa na mifumo, sera, sheria, taratibu etc katika utendaji kazi na hatimaye repoti. Linapokuja suala la ukaguzi kinachoangakia je kama ni sera, sheria, utaratibu, mifumo ya kimaamuzi ilifuatwa. Chukulia tu mfano kwenye taasisi fulani unakuta mtia sahihi ya malipo fulani kikomo chake ni mil 50, ikizidi hapo labda anatakiwa atie sahihi mkuu wa taasisi na huo unaweza kuwa utaratibu upo, ila unakuta alitia sahihi huyo asiyeruhusiwa na CAG akija atasema utaratibu haukufuatwa. Mfano mwingine, unakuta labda serikali imepeleka hela kwa ajili ya ujenzi wa kitu fulani halafu wakabadili matumizi bila kikao cha bodi husika maana yake CAG akija hapo atasema kuna matumizi mabaya ya hela bil 5 etc. Wakati mwingine wakaguzi wanaomba documenti labda zimepotea au wahusika hawakuleta receipt na CAG asipoipata hiyo receipt tayari hiyo ni hela inahesabika haijulikani ilipo. Kwa ujumla serikalini kuna vitu vingi, tusikimbilie kulaumu
Nchi ili kuinyoosha inahitajika kiongozi mwenye uthubutu wa Sokoine ama JPM ili kurudisha nidhamu katika utumishi wa umma. Angalizo tu ni kuwa tusimuangalie JPM katika upande wa mapungufu yake, bali kile alichokisimamia kwa haki.Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi hii leo tarehe 1 April 2023 chini ya Uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kimetoa maazimio yafuatayo:
1. Ofisi ya CAG na TAKUKURU Zimepongezwa kwa kufanya kazi kwa weledi
2. Serikali imetakiwa kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliothibitika na kutajwa katika ripoti za CAG na TAKUKURU
3. Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana na nafasi za umma vibaya na kwa maslahi binafsi na kushindwa kuweka maslahi ya nch mbele.
Tutegemee barua za utenguzi "soon" lakini kuna watu watapanda kizimbani,
😂😂😂😂. Kwa hiyo samia kaitaka serikali kueachukulia hatua mafisadi 😂😂😂😂😂! Aisee hichi ni kituko cha mwaka….Samia kaitisha kikao cha kamati kuu kuitaka serikali kuwachukulia hatua walio husika au kutajwa na CAG kwa ubadhilifu wa mali!Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi hii leo tarehe 1 April 2023 chini ya Uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kimetoa maazimio yafuatayo:
1. Ofisi ya CAG na TAKUKURU Zimepongezwa kwa kufanya kazi kwa weledi
2. Serikali imetakiwa kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliothibitika na kutajwa katika ripoti za CAG na TAKUKURU
3. Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana na nafasi za umma vibaya na kwa maslahi binafsi na kushindwa kuweka maslahi ya nch mbele.
Tutegemee barua za utenguzi "soon" lakini kuna watu watapanda kizimbani,
Kwa hiyo Samia kaitaka serikali kuwachukulia hatua mafisadi? 😂😂😂Wanaweza kuchukuliwa hatua kwa kupangiwa majukumu mengine
Tunasubiri tuone !!Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichoketi hii leo tarehe 1 April 2023 chini ya Uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kimetoa maazimio yafuatayo:
1. Ofisi ya CAG na TAKUKURU Zimepongezwa kwa kufanya kazi kwa weledi
2. Serikali imetakiwa kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliothibitika na kutajwa katika ripoti za CAG na TAKUKURU
3. Serikali kuwafuatilia watu wote wanaotumia dhamana na nafasi za umma vibaya na kwa maslahi binafsi na kushindwa kuweka maslahi ya nch mbele.
Tutegemee barua za utenguzi "soon" lakini kuna watu watapanda kizimbani,
😂😂😂🇹🇿🙏🙏🙏😂😂😂😂. Kwa hiyo samia kaitaka serikali kueachukulia hatua mafisadi 😂😂😂😂😂! Aisee hichi ni kituko cha mwaka….Samia kaitisha kikao cha kamati kuu kuitaka serikali kuwachukulia hatua walio husika au kutajwa na CAG kwa ubadhilifu wa mali!
Kupata vichekesho hivi bonyeza #Tanzania…..😂😂😂
Pole sana.Uwajibikaji, ufuatiliaji, usimamizi ni misingi ya Chama Cha Mapinduzi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Kimaigizoigizo ! Nakazia tu ! Wezi wa simu mtaani wanachomwa moto !! Hatari sana !Kimaigizoigizo
Kwakweli !!Pole sana.