Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

🤣😂 Kwani kikao cha kwanza kukaliwa na hao mashog,a baada ya kipigo kutoka Iran?

Iran imeonya wakijaribu tu kujibu watakumbana na kipondo kikali mara 1000 zaidi ya cha jana.
 
kikao hicho hakiachagi mtu salama.
 
Kuna watu waga wanalia sana wanasahau furaha yenyewe wako nayo usiku wa jana na Leo.

Ama hakika kosa la Jana sio tuu watehrani Bali hata sisimizi za Irani hazipaswi msamaha
 
Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
 
Kuna watu waga wanalia sana wanasahau furaha yenyewe wako nayo usiku wa jana na Leo.

Ama hakika kosa la Jana sio tuu watehrani Bali hata sisimizi za Irani hazipaswi msamaha
Kaka shikamooo, Mtu wa maana kabisa,🤣🤣🤣🤣

Wasubirie kikao kimalizike ndipo watajua hicho kikao kinaumuhimu Gani mbwa wale
 
Kaka shikamooo, Mtu wa maana kabisa,🤣🤣🤣🤣

Wasubirie kikao kimalizike ndipo watajua hicho kikao kinaumuhimu Gani mbwa wale

Kikao cha nini wao si wanaume waingie vitani waache kulialia na waache kuomba misaada kutoka USA na Western countries.
IRAN ndio kidume hapo hasaidiwi na kima yeyote na hategemei misaada.

Fanya kamsaidieni bwana wenu huko anahangaika kuna casualties wengi wametangaza emergency medical huko North baada ya kichapo cha Hizbollah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…