Huenda uaminifu miongoni mwenu Vijana umekuwa changamoto.Kwa Zama hizi kila mtu ajitunze mwenyewe.
Tukianza kuishi au kumuoa nitahudumia.
Ninyi wazee wa zamani Kanuni zenu kwa sasa nyingi ni irrelevant
Kosa la Aziz K ni lipi ?Angalao Diamond kasawazisha upumbavu uliofanywa na Azizi Kii. Kiukweli Azizi Kii katudhalilisha sana wanaume.
Aziz ki inawezekana ni mgonjwa wa akili ipo siku titania πAngalao Diamond kasawazisha upumbavu uliofanywa na Azizi Kii. Kiukweli Azizi Kii katudhalilisha sana wanaume.
Labda jamaa hajui kiswahili mkuu so hajaona nyuzi za kuoa singo mazazAngalao Diamond kasawazisha upumbavu uliofanywa na Azizi Kii. Kiukweli Azizi Kii katudhalilisha sana wanaume.
Katika hiyo hiari ndiyo kuhudumia kwenyewe hapoMke pekee ndio una ulazima wa kumhudumia!! Mchumba ni hiari sio LAZIMA.
Hoja kuliwa hata umtunze vipi umjengee na gorofa atasema humpi muda mara una kibamia kwa kifupi hawajawahi kukoswa sababu. Tumewahi cheat na wanawake waliopewa kusimamia biashara kubwa hadi yeye ndo anakutunza wewe kazi yako kusimamia ukucha tu.
Hoja yako ni ipi hasa?
Niliwahi kujiuliza hivi inakuwaje Mwanaume anahongaKijana huyu anafikirisha Sana
Ndiyo. Kutuma na ya kutolea lakini mtu haji, huo nl zaidi ya utapeli ni wizi.Sasa mkuu wanaojua kuwa fulani haongi si wanaotumika nae?
Anyway hata hivyo kuhonga with nothing in return ni kutapeliwa.
πππ aisee hiyo Kama yule jamaa waziri wa mambo ya mitutu alimjengea mchipuko kisima cha mafuta karagwe (kagera)Niliwahi kujiuliza hivi inakuwaje Mwanaume anahonga
Lakini nimegundua ukiona mtu anasema hawezi kuhonga ujue huyo hana hela
Kuna jamaa hapa DSM amemjengea binti mmoja hivi Nyumba ya Ghorofa
Wakati wewe roho yako inakuuma kisa umempa demu shilingi 50,000 yako ya ngama, Kuna jamaa hapo Mbezi Kwa Msuguri amemjengea binti ghorofa ya zaidi ya shilingi milioni 250
Bunga Bunga parties za Silvio Berlusconi je?Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Hiari na lazima ni vitu viwili ambavyo haviwezi kukaa pamojaa.Katika hiyo hiari ndiyo kuhudumia kwenyewe hapo
Hata kama utakuwa unamjazia mtungi gesi, ndiyo kuhudumia kwenyewe huko
Hiyo kuchapiwa ni jambo mtambuka
Hata kama umuhudumue milioni 100 Kwa Mwezi akiamua kucheat anacheat tu
Pia unaweza kutokumtunza ndiyo ikawa sababu ya kukucheat Kila Siku maana atakuwa anapewa hizo huduma ambazo humpi.
Hoja yangu, suala la kumuhudumia mpenzi wako lipeni umuhimu ili kumnyima mpenzi wako sababu za kukucheat
Ni huyu wasasa ama aliyepita?πππ aisee hiyo Kama yule jamaa waziri wa mambo ya mitutu alimjengea mchipuko kisima cha mafuta karagwe (kagera)
Asante kwa niaba yao.Poleni jamani
Umeiweka vizuri hiyo MkuuHiari na lazima ni vitu viwili ambavyo haviwezi kukaa pamojaa.
Neno lazima ni command mkuu halina mbadala kabisa.Mchumba akikuambia ges imeisha unaweza ukamwambia sina hela.Jambo hilo nitofauti kwa mke wako hata kama mnaishi wawili tu itakuwia ulazima ukakope hela hiyo ili gesi ijazwe.
Mchumba ni jukumu la wazazi wake kumuhudumia wewe ni extra tu hata kama anaishi geto maana yake ana chanzo cha mapato ndio maana kapanga na umemkuta kapanga.
Iwapo ukamtoa sehemu na kumpeleka sehemu nyingine huyo ni mke maana atakutegemea kwa kila kitu hata akiumwa simu ya kwanza niwewe na utawajibika kulipia gharama zote.
Muda huo wewe ukiwa unaishi wapi sasa?π€Huenda tunatofautiana, Wanaume hatuhongi ila kuhudumia.
Mpenzi wako lazima umuhudumue ili apendeze
Kama hana visofa pale sebuleni kwake, basi kabla hajakuomba unatuma kirikuu kinampelekea
Hivi huoni Kuna raha ya kuhamisha pambano kutoka kitandani kuelekea Kwenye Sofa π
Bila kuhudumia, unapenda nani mwingine wa kumuhudumia?
Wazee wenu ndiyo tumezeeka hivyo π€
Hiyo ni big fish eating small fishMtibeli on one and two
Vipi kuhusu mwanamme anaehongwa na mwanamke wanaelingana umri?
Huyu wa sasa, ile Kazi alifanya rafiki yangu mmoja kasoma udsm mambo ya civil engineering.Ni huyu wasasa ama aliyepita?
Kei zinanguvu sana, usipokuwa makini unaweza kujikuta unahonga pakubwa hasa ukiwa mgeni nazo π€
InategemeaMuda huo wewe ukiwa unaishi wapi sasa?π€
Hahaha.............hayo mambo hayana mbabeHuyu wa sasa, ile Kazi alifanya rafiki yangu mmoja kasoma udsm mambo ya civil engineering.
Kweli hizo kamongo zinahitaji umakini