Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Hmmmm
 
KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Unataka kusema hata wale wakubwa wastaafu nao ni masikini na wadhaifu
 
That's how you lose good women

Uliwahi ona wapi mwanamke Mzuri akawa ombaomba kwenye Dunia hii?

Mwanamke Mzuri lazima ajitegemee, asiwe tegemezi kwa mwanaume.
Na aende kwa mwanaume kwa mapenzi ya dhati na sio kufuata huduma. Huyo ni mwanamke Mzuri.

Nje ya hapo anaingia kundi la Makahaba
 
Wazee mkiwasikiliza hawa motivation speakers mtaishia team Bakari Nondo. Nimekaa pale.
Aah wapi mi mbona ni mgumu sihongi(tena mgumu kwelikweli) na hawanitosi? Mi mwanamke akiniomba hela tu nampotezea sipendi mwanamke ombaomba (naamaanisha yule ambae kila ukikutana nae anataka hela tu) na asieniomba ndo huwa nampa kwa hiyari yangu moyo ukiwa safi au siku akiniambia anashida namsikiliza maana najua siyo tabia yake ya kuombaomba, we endelea kuendekeza kuhonga tu utaona matokeo mbeleni
 
KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Upo sahihi mkuu ila kichwa cha haabari kilinstua sababu haakunaa aambaaye haongi tunafaautiaanaaa viwango na naamna tu
 
Robert Heriel Mtibeli sikupingi lakin Hiv mwanamke akisema ana shida na kitu flan af ukamsaidia ni kuhonga? Maana mim ndo principle zangu mpaka aseme anashida na kitu flan ndo nimsaidie ila hiv hiv siwez
 
Asante kwa kunifundisha mambo matatu ya kuyaogopa kama sio kuyaacha.

mwanamke

vilezi

kamari.
 
Nimejaribu kutafakari sana hili andiko labda utuweke wazi kuhusu tajiri anayezungumziwa hapa.

Nina fahamu Matajiri wengi tena ni wamiliki wamakampuni makubwa na wengine ni wafanyabiashara wakubwa ambao pia nafahamu wanahonga na wamehonga wanaweka ambao ni choka mbaya na kuwainua kimaisha na hata kuachana nao.

Hatuwezi kutaja watu majina lakini huo ndio ukweli, labda utuambie sasa labda hao sio Matajiri?.

Wengine pia inawezekana sio wanahonga Bali wananunua tu burudani maana siku hizi pia hiyo kitu ni biashara kuanzia tandika, Manzese, Masaki, Msasani, Dubai, New York mpaka Monaco France, hii nayo tuaiita kuhonga,?
 
Nimejaribu kutafakari sana hili andiko labda utuweke wazi kuhusu tajiri anayezungumziwa hapa.

Nina fahamu Matajiri wengi tena ni wamiliki wamakampuni makubwa na wengine ni wafanyabiashara wakubwa ambao pia nafahamu wanahonga na wamehonga wanaweka ambao ni choka mbaya na kuwainua kimaisha na hata kuachana nao.

Hatuwezi kutaja watu majina lakini huo ndio ukweli, labda utuambie sasa labda hao sio Matajiri?.

Wengine pia inawezekana sio wanahonga Bali wananunua tu burudani maana siku hizi pia hiyo kitu ni biashara kuanzia tandika, Manzese, Masaki, Msasani, Dubai, New York mpaka Monaco France, hii nayo tuaiita kuhonga,?

Hujawahi kuona Tajiri anaburuzwa na Mkewe?

Unaweza kuwa tajiri na bado ukawa kundi la wanaume DHAIFU, goigoi, lofa au bwege
 
Back
Top Bottom