Kikwete na Magufuli walishindwa kuingusha CHADEMA lakini Rais Samia ndani ya miaka minne ameshamaliza anachofanya ni kuinyonyoa manyoya

Mabilioni ya DP World
 

Sikubaliani na kumlaumu yeyote kwa anguko la Chadema nje ya mwamba.

Kwamba hii ni mada moja kuhusu anguko la hiki chama hakuwezi kubadili wengine tunachokiamini.

Mwanamke mjinga huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
 
Hapa umetumia nini kufikiri mwanagenzi?
 
Hao waliotangulia hawakumjulia Mbowe kuwa kwenye vipande vya Fedha vingetosha kabisa kuiangusha CHADEMA kupitia kwa Mfanyabiashara Freeman Mbowe, Sa100 yeye hiyo Siri kaifahamu na ameweza kuitumia vyema
 
πŸ’―%πŸ‘
 
CHADEMA kimepitishwa kwenye tanuri la RUSHWA Samia alichokifanya ni kuturidhihishia kuwa kama walivyo wao CCM kwa RUSHWA CHADEMA nacho kimekuwa ni cha wala RUSHWA.

Hajaiuwa CHADEMA wala nini ila tumeona panapovuja sasa ni WAJIBU wetu kuuondoa Uongozi wa wala RUSHWA.
 
Hatutakiwi kusifia, wala kufurahi...huu ni msiba. Fedha za umma zinatumika vibaya sana awamu hii.
 
Ni sawa sawa na timu X ikutane na Liverpool Jumapili, ikakutane na Real Madrid Jumatano ya wiki inayofuata Uefa, alafu Jumamosi tena ya wiki hiyo hyo sa sita mchana ikutane na Man City.
Man City akiifunga timu X mashabiki tutasema timu ilikuwa na game ngumu mfululizo, kwahyo wamechoka, hautasikia shabiki wa mpira akisema timu ilifungwa kwasababu ya ubora wa Man City
 
Kuna ambao walisema imekufa wakafa wao.jiangalie nawewe.maana inawezekana unapelekwa na mikumbo ya machawa na wanaharakati wauko mitandaoni.Hizo porojo za mbowe hafai mara chadema itakufa mara ela za abdul anayetajwa kama propaganda mpya za wakati wa samia zitapita kama propaganda zangine.Shida itabaki kwa chawa wa mbowe na lissu walioparurana mitandaoni na hadharani bila kujua wanafwata mkumbo tu wa wasichokijua.Chadema kufa bado sana.
 
Inawezekana usiione gharama iliyotumika lakini ukifunuliwa ukaiona inaweza kukutoa roho.

FAM asilia yake ni hela na nyakati hizi za jioni ndio hatari kabisa, anakwenda kuacha utajiri wa milele kwa ukoo wake na wapambe wanaomzunguka.
 
Inasikitisha sana haya ndio mafanikio ya awamu ya sita.
 
Divide and Conquer.....

Huyo Lissu anataka kukaa pale anadhani kuna hela, mbona kama kugombea Urais yeye ndio chaguo la CHADEMA, sasa kiherehere cha kuwa Mwenyekiti ili agundue nini ?
 
Samia ni Profesa wa siasa na mama wa Uchumi wa kiliberali.
 
We ni muongo na bonge la mnafiki wa kiwango Cha lami.


Sijui wewe ni mgeni hapa tz??? Umeanguka duniani ukaangukia Tanzania kutoka sayari nyingine??

Naona dogo kuelekea uchaguzi mkuu naona unatengeneza jina kwa thread za KINAFIKI.

CHADEMA alishindwa Magufuli, na mama imemshinda zaidi, ndio maana kaamua ku copy na ku paste kama Kambale kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa!!!

Ungekuwa unaishi Tanzania, au kama upo Tz UKIAMUA kutoa AKILI ZAKO MFUKONI utaelewa kwamba umeandika ujinga wa Hali ya juu, uliovunja rekodi ya juu ya ujinga duniani!!!πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Tafuta mbinu dogo, teuzi hazipatikani kwa namna ,fanya kazi ,kama unataka mteremko cheki na "DANGOTE" wa bongo fleva akupeleke kwa P DIDDY πŸ€£πŸ˜ƒπŸ€£.

Nakushangaa sana unaanza kuwa mnafiki,RUDISHA AKILI KICHWANI toa mfukoni! Think big!!!πŸ€”πŸ€”πŸš΄πŸš΄πŸš΄
 
Mbona toka 2015 walishajiua wenyewe, yale maamuzi yaliwapotezea ladha wapenda haki wasiofungamana na mambo ya chama
 
Mwaka huu Mama Abdul anarudi Kizimkazi,.

1.Jinsia
2.Hujuma ndani ya CCM
3.Kashfa ya DP World 🌍
4.Mbuga za Wanyama kuuzwa
5.Ufsadi refer CAG Report

Hawezi kutoboa, Misa ya kwanza chali!

Mwenyewe anajua umebaki wewe CHAWA AMBAYE UPO CHEKECHEA kwenye UCHAWA πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€”πŸ€£πŸ€”πŸ€£

Nakushangaa ujinga huu umeokota wapi uliopost Leo??

au umepiga KITU CHA ARUSHA?? mchicha wa Arusha???πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€”πŸ€”πŸš΄πŸš΄
 
Tena akiingia Lissu kwenye Uenyekiti ndio kitamalizwa haraka au hata kupigwa marufuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…