Wewe mwenyewe kuzaliwa kwako ni zali la mentali kwani ulijua utazaliwa sasa kwanini uogope kuwaleta duniani wengine waone uumbaji wa Mungu?Je masikini wote Wanaweza kupata hizo connection? Au unaongelea zali la mentali?
Je masikini wote Wanaweza kupata hizo connection? Au unaongelea zali la mentali?
Hayo ni matokeo ya maisha, na kuna watu wana watoto wa hivyo na wa nawapenda watoto wao vizuri sana,Haujioni mwenye hatia unapowaona watoto wako mashoga, mateja, waathirika, na hata wakifungwa kifungo cha maisha?
Bora kumkosa mttupolli jf kuliko kuwa na mttpolli mwenye majanga mwenye njaa mwenye maradhi mwenye makesi makubwa makubwa wee unahisi mi baba akijua kuwa nina HIV atajionaje alikuwa kanizaa mzima wa afya? wee unafikiri baba angu atajionaje akiniona mwanae naenda fungwa maisha gerezani?Ni bara gani HIV imeisha?? Acha uoga wa maisha ww. Imagine baba ako angekuwa na mawazo potofu kama yako[emoji23][emoji23].... Saiv tusingekuwa na mttupolli JF
Sio kosa ila ni hasara kubwa hapa dunianiKwani kuna kosa ukifa bila kuacha uzao
Sawa kufa bila kuzaaKuacha uzao duniani sio lazma. Acha kupotosha umma
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Hata wazazi wako wanakuwazia namna hiyo mpaka leo na wanakuombea uwe salama na uwe mtu mwema, mkabidhi Mungu uzazi wako na uwafunze watoto njia njemaNatamani sana kuwa na watoto, ila nina mambo yanayonikosesa furaha kila nikiwaza juu ya kuwa na watoto,.
Miongoni mwa mambo hayo nina makubwa mawili nayo ni;-
NakaziaWew zaa tu, watajijua wenyewe wakija duniani
Usimuite mtu kuwa mjiga ktk hali ya umasikini usifate nukuu za watu,huyu aliye sema haya amewakilisha jamii kubwa sna.embu waza Mara mbili,mbili utagundua jamboWewe mttupolli ndiye una ujinga, umasikini?
Sawa Mimi nimezaliwa kwa zali la mentali Sasa na Mimi ndio nizae ki zali la mentali kweli nitakuwa nipo sahihi? Sawa Mimi nimekuwa kimapenzi ya mungu kwahiyo na Mimi ndio nizae nikisubiria mapenzi ya mungu kweli ntakuwa timamu?Wewe mwenyewe kuzaliwa kwako ni zali la mentali kwani ulijua utazaliwa sasa kwanini uogope kuwaleta duniani wengine waone uumbaji wa Mungu?
kwa kutumia neno mungu basi hatupaswi kujadili chochote, mpaka tunajadili hi inamaana kwamba tunahitaji kutumia akili na mawazo yetu sio MUNGU Tena, maana ukuanza kuingiza mungu kwenye maada yangu utaonekana haupo timamu,.Hayo ni matokeo ya maisha, na kuna watu wana watoto wa hivyo na wa nawapenda watoto wao vizuri sana,
Tuanze kuchambua
1. Mashoga- ni changamoto ila familia nyingi zimejifunza kukubali watoto wa hivyo maana hao watoto hawakuchagua kuwa hivyo. Na mifano ipo ba
Kwa kuwa umemtanguliza MUNGU siongei chochote, ila unapaswa kubadilika sio Kila hatua ya maisha yako anakupangia mungu,. Leo yako ipo mikononi mwako,.Hata wazazi wako wanakuwazia namna hiyo mpaka leo na wanakuombea uwe salama na uwe mtu mwema, mkabidhi Mungu uzazi wako na uwafunze watoto njia njema
Hakuna mzazi anaependa kuona mtoto ametumbukia mahala ambapo sio sahihi, hayo ni matokeo tu, do your best and God will do the rest
Ndio maana nikasema do your best, God will do the restKwa kuwa umemtanguliza MUNGU siongei chochote, ila unapaswa kubadilika sio Kila hatua ya maisha yako anakupangia mungu,. Leo yako ipo mikononi mwako,.
Bora kutokuwepo kwangu kuliko kuwepo kwangu kwa majanga, na pia hatupaswi kuishi kwa kuangalia wakati uliopita tunapaswa kuijadili Leo na kesho yetu,.Wazazi wako wangekuwa na mawazo hayo, wewe ungekuwepo?
Ningefurahi kwa kushindwa kwao kunileta kwa kukosa maandalizi mazuri kuliko kunileta kipumbavu,.Hivi ndo ungesikia wazazi wako wanafikiria hivyo alafu wewe ujazaliwa ungefurahi kweli