Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
 
Kikwete atueleze je udini unaingiaje katika kupinga mkataba wa bandari? Na je ni dini gani itanufaika na huu mkataba wa DPW na TPA?

Tunataka tuelezwe uzuri au ubaya wa mkataba huu na siyo kujificha nyuma ya kichaka cha siasa na dini!
 
Kikwete atueleze je udini unaingiaje katika kupinga mkataba wa bandari? Na je ni dini gani itanufaika na huu mkataba wa DPW na TPA?

Tunataka tuelezwe uzuri au ubaya wa mkataba huu na siyo kujificha nyuma ya kichaka cha siasa na dini!
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
 
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
Huyo anataka kujigeuza Baba wa taifa baada ya kumaliza wale wawili gafla gafla,ngoja tuone mwisho wake unakaribia
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Papa anatisha sana!
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
TEC wamepinga kwa hoja na kuainisha vifungu wasivyokibaliana navyo, udini unaingiaje hapo? Kwamba maaskofu hawaruhusiwi kutoa mawazo yao juu ya mambo ya kitaifa?

Je huu mkataba unanufaisha waislam ndiyo sababu wanautetea? Au waislam hawapendi Rais muislamu akipingwa?
 
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
Na kesho mwingine atakuwa Kanisani!
 
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
Halafu unakuta wanahubiri na kukataza wengine kufanya siasa huko makanisani, wako madarakani kwa kupora chaguzi, na hao viongozi wa dini wanaowapa nafasi hao viongozi walioko madarakani kwa wizi wa kura Wanajua kabisa wako madarakani kwa kunajisi chaguzi.

Ifike mahali kiongozi akialikwa aongee mambo ya dini tu, na sio kujifanya anaongelea maadili wakati yeye mwenyewe hana maadili.
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Wewe acha zako hizo, ni wapi Profesa Asad alitoa facts au majibu ya vipengele vinavyolalamikiwa!? Yeye aliishia kutoa conclusion huku akisema tuwasikilize wanasheria wa uwekezaji tu huku akisahau kwamba yeye katoa maoni (kwanza bila facts) lakini kasikilizwa.

Kauli juu ya kwamba aliitwa mdini labda ilitokana na kutotoa facts zozote na kuishia kuunga mkono tu mkataba.

Huu ujinga mnaoleta sasa ati dini na siasa, sasa hiyo dini itakuwa na maana gani kama haimkomboi mwanadamu juu ya rasilimali zake na kuzipigania? Kwanini mnakimbilia tu sentensi legevu "dini na siasa" badala ya kujibu hoja na vipengele vyenye utata!?

Kwa hiyo, kwa kauli yako, ni bora kila tulichonacho tumpe mgeni alimradi tu tukipinga, amani itatoweka. Yaani bora tuwe na amani na utulivu huku tukiwa watumwa kwenye nchi yetu, au sio!? Nooo man!

Sikiliza kuwa Rais au kuwa Rais mstaafu haikupi kibali kwamba unauzalendo sana kuliko wengine, na hivyo tukuamini hata pale tunaposoma wenyewe tumeliwa!!! Mataifa mangapi duniani yameuzwa na viongozi wao waliokuwa marais kabisa... Huko West Africa, mapinduzi yanatokea kila leo kwa sababu marais wao wameuza nchi, ndiyo maana. Kwa hiyo, hatusikilizi wala kutazama urembo wa sura wa mtu, tunatazama facts zilizopo kwenye mkataba, hatuutaki muelewe... Nimemshangaa sana Kikwete, kwa mfano, alioutoa wa Zanzibar. Yeye na chama chake wamekuwa kinara wa kuwaibia chaguzi zao Zanzibar, alitegemea nini kwenye dhulma kama ile!? Sasa akae ajue kwamba sauti za watu zinahitaji kusikika... Ati udini udini, yeye alipotangazwa kwamba ni chaguo la Mungu na Kardinal Pengo, mbona hakukemea? Au inafaa pale tu inapokuwa upande wao!!!!
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Kugomea mikataba ya kihuni kunaondoa amani, ila kupora chaguzi za nchi hakuondoi amani! Acheni utapeli wa kijinga. Kila chaguzi tunaona wapinzani wanabambikiwa kesi, wanafanyiwa ukatili wa wazi, wanaporwa ushindi wao, na hawana uhakika wa kutendewa haki huko mahakamani, hiyo haiondoi amani, ila viongozi wakitaka kuuza rasilimali za nchi na watu wakagomea hiyo itaondoa amani!

Na kwa kukusaidia tu, hizi dini zinashikwa na wazee zaidi, bali dini ya kweli ya vijana wa kizazi hiki ni pesa. Hakuna kijana wa kuondoa amani kwa ajili ya dini ambazo wanazifuata kwa mazoea.
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Tulia Ackson na Bunge lake wanaunga mkono mkataba... Kuna aliyemsema ana udini?

Kwanini umemchagua Prof Assad kuweka udini?
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Kwa hiyo wanyamaze ili mkataba wa kijinga upite?!
 
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
JK ni mroho sana na MNAFIKI.

Hashibi.
 
hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu

Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,

sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,

kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba

Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo

kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa

Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii

the same kwa
Asadi alishambuliwa kwa sababu aliongea kienyeji sana yahani kama sio msomi. Tatizo sisi waisilamu tunapotetea huu mkataba wa bandari, hatuchambui vifungu vilivyopo kwenye mkataba vinavyolalamikiwa na hata hatuugusi kabisa huo mkataba wenyewe. Tunautetea mkataba kibubusa sana na kujitia aibu tu
 
Kama ni kusali nenda kasali ukipewa nafasi ya kusalimia waumini toa fungu la biblia au msitari wa Quran lkn ukianza kuongelea siasa au kuwananga wanasiasa kwenye kibweta na wewe unaingiza siasa kanisani. Nyerere kila Jumapili alikuwa anahudhuria misa St. Peter’s lkn ilikuwa nadra sana kupanda kwenye kibweta na kuanza kuwananga wanasiasa. Leo hivyo hivyo ya kesho yanafurahisha.
Nyerere hakuwa mwanasiasa ila alikiwa kiongozi usimfananishe na vitu vya kijinga na Nyerere hata sanamu yake inahitaji marekekebisho na matunzo kila miezi mieili
 
Back
Top Bottom