Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Watafanya kazi kwa taabu sana!Wenye hoja ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafanya kazi kwa taabu sana!Wenye hoja ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekeza
Assad aliambiwa yeye ni mtu wa mahesabu maswala ya sheria alisomea wapi?hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu
Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,
sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,
kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba
Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo
kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa
Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii
the same kwa
Mbowe kasomea wapi masuala ya Sheria?Assad aliambiwa yeye ni mtu wa mahesabu maswala ya sheria alisomea wapi?
Nje ya mada.... mwananyaso, zile harakati za kuanzisha chama kipya 'UMOJA PARTY zimeishia wapi??Huyo anataka kujigeuza Baba wa taifa baada ya kumaliza wale wawili gafla gafla,ngoja tuone mwisho wake unakaribia
Nje ya madaNje ya mada.... mwananyaso, zile harakati za kuanzisha chama kipya 'UMOJA PARTY zimeishia wapi??
Tupe mrejesho.