Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

TEC wamepinga kwa hoja na kuainisha vifungu wasivyokibaliana navyo, udini unaingiaje hapo? Kwamba maaskofu hawaruhusiwi kutoa mawazo yao juu ya mambo ya kitaifa?

Je huu mkataba unanufaisha waislam ndiyo sababu wanautetea? Au waislam hawapendi Rais muislamu akipingwa?
Hilo ndilo jibu, waislamu hawapendi Rais muislamu akipingwa, Alipokuwa anapigwa madongo mwendazake na wakristo wenzake wenye misimamo tofauti na yeye, hakuna muislamu aliyemtetea. Sasa inakuwaje Maaskofu kupinga vipendere tata vya mkataba mnaleta misimamo ya kidini sababu tu aliyepingwa ni muislamu?!!!
 
Inachekesha sana dini hizo hizo ndio zinahudumia wananchi kwa kujenga mashule,mahospitali na huduma nyingine nyingi na hata serikali inazisifia taasisi za dini lakini dini hizo hizo zinapowasemea wananchi utawasikia msichanganye siasa na dini, kukaa kimya nako ni busara sisi sote tu sawa haijalishi vyeo na nafasi tulizonazo, pia tuwape wengine nafasi si kila siku iwe ni walamba asali tu.
 
Kikwete atueleze je udini unaingiaje katika kupinga mkataba wa bandari? Na je ni dini gani itanufaika na huu mkataba wa DPW na TPA?

Tunataka tuelezwe uzuri au ubaya wa mkataba huu na siyo kujificha nyuma ya kichaka cha siasa na dini!
Umeusoma ule Waraka wenu ? Labda kama huna akili timamu. Ule Waraka umeonyesha wazi dini imeingia kwenye siasa.

Waraka umeanza baada ya andiko ukanukuu vipengele vya katiba, hii imeonyesha wazi kwanza Ukatoliki hauna misingi madhubuti ndio maana ni mwepesi kuingia kwenye siasa. Sasa tutawauliza ni dini gani imefundisha Demokrasia na mafundisho gani ya mitume yamesema mamlaka ya serikali inatoka kwa Wananchi ?

Sasa mpaka hapo bado hujaona kwamba dini yenu imeingizwa kwenye siasa ? Kingine matendo ya Maaskofu hufanywa na Wanasiasa na Wanaharakati.

Mitume hawakuwa na matamko Wala huu upuuzi, wao walikuwa wanafata misingi na muongozo walio pewa na Mola muumba.
 
TEC wamepinga kwa hoja na kuainisha vifungu wasivyokibaliana navyo, udini unaingiaje hapo? Kwamba maaskofu hawaruhusiwi kutoa mawazo yao juu ya mambo ya kitaifa?

Je huu mkataba unanufaisha waislam ndiyo sababu wanautetea? Au waislam hawapendi Rais muislamu akipingwa?
Udini unaingia pale ambapo Maaskofu walipo andika uongo ya kwamba Wananchi wamupinga huo mkataba.

Tuonyeshe ni wapi Wananchi wamupinga huo mkataba ? Swali wanapingaje kitu ambacho hawajakiona Wala hawakuhusishwa ?

Zaidi wengine hawana habari na huo mkataba, bali wapo wengine wamesikia habari za mkataba toka kwa Wanasiasa, watu ambao si wa kweli na hawana sifa ya kuaminiwa. Leo wanakuwa hivi kesho wanakuwa vile.

Maaskofu waache kutuwekea maneno mdomoni, wasione kwamba akili zao ndio akili za watu wote, au waumini wao ndio watu wote, wanatakiwa wajue ya kuwa Kuna watu Wana akili timamu kuwazidi wao.
 
Kikwete atueleze je udini unaingiaje katika kupinga mkataba wa bandari? Na je ni dini gani itanufaika na huu mkataba wa DPW na TPA?

Tunataka tuelezwe uzuri au ubaya wa mkataba huu na siyo kujificha nyuma ya kichaka cha siasa na dini!
Bwana , hawa watu fani yao ni kuheza ngoma si haya mambo yanayo involve higher mental faculties
 
Asadi alishambuliwa kwa sababu aliongea kienyeji sana yahani kama sio msomi. Tatizo sisi waisilamu tunapotetea huu mkataba wa bandari, hatuchambui vifungu vilivyopo kwenye mkataba vinavyolalamikiwa na hata hatuugusi kabisa huo mkataba wenyewe. Tunautetea mkataba kibubusa sana na kujitia aibu tu
Wao wakiutetea hawatetei vifungu vya mkataba bali wanamtetea aliyesaini kwa dini yake.
 
Umeusoma ule Waraka wenu ? Labda kama huna akili timamu. Ule Waraka umeonyesha wazi dini imeingia kwenye siasa.

Waraka umeanza baada ya andiko ukanukuu vipengele vya katiba, hii imeonyesha wazi kwanza Ukatoliki hauna misingi madhubuti ndio maana ni mwepesi kuingia kwenye siasa. Sasa tutawauliza ni dini gani imefundisha Demokrasia na mafundisho gani ya mitume yamesema mamlaka ya serikali inatoka kwa Wananchi ?

Sasa mpaka hapo bado hujaona kwamba dini yenu imeingizwa kwenye siasa ? Kingine matendo ya Maaskofu hufanywa na Wanasiasa na Wanaharakati.

Mitume hawakuwa na matamko Wala huu upuuzi, wao walikuwa wanafata misingi na muongozo walio pewa na Mola muumba.
Kwa hiyo unataka maaskofu wawe mbumbumbu kama walivyo mashehe ambao elimu dunia kwao ni ndoto!

Kwa kuwa mashehe ni mbumbumbu hata demokrasia hawaijui ndiyo sababu wameamua kuunga mkono serikali kwa ufisadi huu?

Je waislam wana maslahi gani na huu mkataba? Na je ni waislam wote wanaukubali mkataba huu?

Na mwisho je maaskofu siyo raia na hawana haki ya kuihoji serikali?
 
Udini unaingia pale ambapo Maaskofu walipo andika uongo ya kwamba Wananchi wamupinga huo mkataba.

Tuonyeshe ni wapi Wananchi wamupinga huo mkataba ? Swali wanapingaje kitu ambacho hawajakiona Wala hawakuhusishwa ?

Zaidi wengine hawana habari na huo mkataba, bali wapo wengine wamesikia habari za mkataba toka kwa Wanasiasa, watu ambao si wa kweli na hawana sifa ya kuaminiwa. Leo wanakuwa hivi kesho wanakuwa vile.

Maaskofu waache kutuwekea maneno mdomoni, wasione kwamba akili zao ndio akili za watu wote, au waumini wao ndio watu wote, wanatakiwa wajue ya kuwa Kuna watu Wana akili timamu kuwazidi wao.
Wee unaishi wapi ambako wananchi hawana taarifa ya mkataba huu wa kifisadi? Kama wananchi hawapingi kwa nini Chongolo na Kinana wakiambatana na mawaziri wanazunguka nchi nzima kushawishi wananchi wakubaliane na serikali kuunga mkono ufisadi?
 
Udini unaingia pale ambapo Maaskofu walipo andika uongo ya kwamba Wananchi wamupinga huo mkataba.

Tuonyeshe ni wapi Wananchi wamupinga huo mkataba ? Swali wanapingaje kitu ambacho hawajakiona Wala hawakuhusishwa ?

Zaidi wengine hawana habari na huo mkataba, bali wapo wengine wamesikia habari za mkataba toka kwa Wanasiasa, watu ambao si wa kweli na hawana sifa ya kuaminiwa. Leo wanakuwa hivi kesho wanakuwa vile.

Maaskofu waache kutuwekea maneno mdomoni, wasione kwamba akili zao ndio akili za watu wote, au waumini wao ndio watu wote, wanatakiwa wajue ya kuwa Kuna watu Wana akili timamu kuwazidi wao.
Kwahiyo mashehe ndio wana uhalali wa kutusemea.
 
Kikwete atueleze je udini unaingiaje katika kupinga mkataba wa bandari? Na je ni dini gani itanufaika na huu mkataba wa DPW na TPA?

Tunataka tuelezwe uzuri au ubaya wa mkataba huu na siyo kujificha nyuma ya kichaka cha siasa na dini!
DP World watajenga misikiti kila kitongoji.
 
Kwa hiyo unataka maaskofu wawe mbumbumbu kama walivyo mashehe ambao elimu dunia kwao ni ndoto!

Kwa kuwa mashehe ni mbumbumbu hata demokrasia hawaijui ndiyo sababu wameamua kuunga mkono serikali kwa ufisadi huu?

Je waislam wana maslahi gani na huu mkataba? Na je ni waislam wote wanaukubali mkataba huu?

Na mwisho je maaskofu siyo raia na hawana haki ya kuihoji serikali?
Jifunze kujenga hoja na kukosoa hoja. Waraka wenu umeonyesha ni kwa namna gani Ukatoliki hauna misingi, inakuwaje wanarejea katiba kama msingi wa hoja yao ? Sasa hapo ndipo utaona umbumbu wa Maaskofu yaani hawana tofauti na Wanaharakati na Wanasiasa.

Ukija wakati wa kuwazungumzia Masheikh tutawazungumzia, masheikh wangu Mimi hukuti wakifanya hivi, sababu wao wanafata misingi ya uislamu na kuna taratibu ambazo alizielekeza Mtume wetu namna ya kuwakosoa Viongozi hasa wale viongozi madhalimu. Hili ukifika wakati wake tutaliweka wazi. Hapa tunawaongelea viongozi wenu ambao hawana misingi sahihi ya kuegemea katika jambo lao, zaidi ya kufata upepo wa Wanasiasa na kuandika mambo ya uongo na uzandiki.

Masheikh wangu Mimi wameandika vitabu na vitabu kuikosoa Demokrasia na kuonyesha ya kuwa Demokrasia ni ushetani, ila ukiwasoma viongozi wenu ambao hawafati mafundisho ya Yesu utawaona wanaipigia chapuo Demokrasia na kunukuu ibara katika katika ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Wana tofauti gani na Wanasiasa na Wanaharakati ? Huoni wanaiiingiza dini kwenye siasa na kuonyesha dini yenu haijakamilika ?

Wapi Yesu alifundisha Demokrasia na kuiunga mkono ? Hata wakiona Paulo wapi wakifanya haya wanayo fanya Maaskofu ? Halafu mnajiita wasomi ?

Waislamu sisi hasa Mimi na masheikh hatuna mpango wa kuujua huo mkataba, ila tunakemea wale wachochezi wenye kuwakosea heshima viongozi na kuwatukana, hakuna mitume ambao waliwatukana viongozi wao hata kama walikuwa waovu hakuna mitume ambao walikuwa wachochezi na waongo ?!

Haki wanayo, swali wanahoji kwa misingi gani na kwa njia gani ? Dini yenu haijatoa mafundisho ya namna gani uhoji ? Basi kama haijafundisha siyo dini ya kufata. Yesu aliwafundisha nini juu ya kuhoji au kuwakosoa Viongozi ?
 
Kwahiyo mashehe ndio wana uhalali wa kutusemea.
Wapi nimesema hayo ? Kwanza elewa ninacho kiandika hapa.

Mimi masheikh zangu hawajaongelea suala hilo la Bandari, na kama ikitokea Kuna haja ya kumkosoa kiongozi au kuhoji, Hawa hoji kwenye majukwaa au misikitini, bali wanaandika barua iende kwake au wanamfata kwa Siri, akikubali kukosolewa ni jambo jema kwake, asipokubali basi wajibu wao wanakuwa wameufata na kuutimiza.

Ila masheikh zetu sisi wametumihiza juu ya kuwapinga wale wote wenye kuchochea uvunjifu wa amani, na tusiwasikilize kama wafanyavyo Maaskofu, huu ni uchochezi na wanaonyesha ni kwa namna gani Wana akili ndogo na Wana mihemko. Ukiangalia tu huo Waraka, una makosa madogo ya kiuandishi halafu mnakuja kutuambia ni wasomi na watu makini, wakati Waraka unaonyesha Wana pupa na chuki za kijinga.
 
Kwa hiyo unataka maaskofu wawe mbumbumbu kama walivyo mashehe ambao elimu dunia kwao ni ndoto!

Kwa kuwa mashehe ni mbumbumbu hata demokrasia hawaijui ndiyo sababu wameamua kuunga mkono serikali kwa ufisadi huu?

Je waislam wana maslahi gani na huu mkataba? Na je ni waislam wote wanaukubali mkataba huu?

Na mwisho je maaskofu siyo raia na hawana haki ya kuihoji serikali?
Inauma lakini mustahamili tu mutazoea Bandari ndio hiyo imeenda poleni sana
 
Huwa wanatumia majukwaa ya Kanisa kufanya siasa zao ila wakikosolewa wao husema dini isichanganywe na Siasa.

Dawa ni kutokuwakaribisha kwenye mimbari za Kanisa.
 
Kuna baadhi ya waumini wana sihii kua watiifu kwa viongozi wao wa siasa hata kama sio mfuasi wa hiyo dini, hiyo ni sehemu ya waajibu wao.

Yesu alipoulizwa na mitume wake kwamba ni amri ipi kuu kuliko zote, Yesu aliwajibu ni UPENDO tu Hawa maaskofu ni wafuasi wa Yesu kweli una eneza chuki kweli kwa kujificha kwa mgongo wa dini. Ukaidi na dharau kwa viongozi wetu wajuu hutaza vita vya kidini na vita vya kidini havina mshindi, kama Raisi mstaafu JK alivyo onya

wakati wa utawala wa Raisi Magufuli mashehe hawakuwa na usumbufu wowote kwa Raisi kwasbb walijua ni wajibu wao kumtii kiongozi wa kisiasa, maaskofu wa kanisa katoliki, ni watu hatari kwa ustawi wa binadamu, ni wabinafsi, wabaguzi, wachochezi wa chuki, wanagawa wananchi.

wanapandikiza chuki mbaya sana tena sana, sahivi watu wa madhehebu mengine wataanza kuwachukia wakatoliki, Kumbukeni kwamba RC nchi nzima hawafiki hata 20% ya raia wote, watanzania tuna ishi kwa kutegemeana ni mesikitika sana hawa watu ni hatari kwa kweli, acheni ushabiki madhara ya vita za udini ni makubwa kuliko ya bandari hata kama ni kweli inagawa kwa bure.
 
Isaya 24 :20 Kuna maneno mazito sana yametajwa hapo kupitia kinywa Cha nabii isaya ! Isaya akiwa kwenye maono alionyeshwa mambo yatakayoupata ulimwengu katika nyakati za mwisho.,katika Aya ya kwanza anasema Dunia inayumba kama mlevi...ni jambo la kutisha kuona Sasa ibada imechanganyika na propaganda za kisiasa! Imelewa na pesa na vyeo ,kanisa la Sasa linaongozwa vyeti na sio utakatifu Tena! Kwa Sasa ukiwa na cheti chochote diploma ,au theology ya chuo Cha biblia unakidhi kigezo Cha kuwa kiongozi wa dini ..lakini mungu alitaka tuwe watakatifu, utakatifu utafanya kanisa liwe fahari mbele za mungu ,zamani maombi ilikuwa ni sehemu ya ibada Leo ukitaka maombi bila pesa huyapati ng'o,.zamani hawakujivunia kutoa mapepo ,walijivunia ibada na utakatifu ..utakatifu ungekuwepo hakuna mtu angepagawa na mapepo! Zamani baba zetu wa Imani walitumia muda mwingi kufunga na kuomba ...Tena kwa kuiendea milima kama moria na sayuni..tofauti na Leo ambapo watumishi wa kisasa wanakimbizana kuwauzia watu maombezi ....siasa imeingilia kanisa ....
 
Kanisa la mwisho litakuwa na utulufu mkubwa kuliko la mwanzo.. Kitabu cha Isaya kimegawanyika sehemu mbili.. hiyo Isaya 24 haizungumzii nyakati hizi.. anzia Isaya upenda wa pili ndio unaeleze haya ya sasa.. Hoja ijibiwe kwa hoja
 
Kuna baadhi ya waumini wana sihii kua watiifu kwa viongozi wao wa siasa hata kama sio mfuasi wa hiyo dini, hiyo ni sehemu ya waajibu wao.

Yesu alipoulizwa na mitume wake kwamba ni amri ipi kuu kuliko zote, Yesu aliwajibu ni UPENDO tu Hawa maaskofu ni wafuasi wa Yesu kweli una eneza chuki kweli kwa kujificha kwa mgongo wa dini. Ukaidi na dharau kwa viongozi wetu wajuu hutaza vita vya kidini na vita vya kidini havina mshindi, kama Raisi mstaafu JK alivyo onya

wakati wa utawala wa Raisi Magufuli mashehe hawakuwa na usumbufu wowote kwa Raisi kwasbb walijua ni wajibu wao kumtii kiongozi wa kisiasa, maaskofu wa kanisa katoliki, ni watu hatari kwa ustawi wa binadamu, ni wabinafsi, wabaguzi, wachochezi wa chuki, wanagawa wananchi.

wanapandikiza chuki mbaya sana tena sana, sahivi watu wa madhehebu mengine wataanza kuwachukia wakatoliki, Kumbukeni kwamba RC nchi nzima hawafiki hata 20% ya raia wote, watanzania tuna ishi kwa kutegemeana ni mesikitika sana hawa watu ni hatari kwa kweli, acheni ushabiki madhara ya vita za udini ni makubwa kuliko ya bandari hata kama ni kweli inagawa kwa bure.
Kusoma na kupata PhD za theology zina maana gani kama huwezi kutambua madhara ya religious civil war, wa fuasi wako hao wanao toa sadaka utawapata tena, na watafika kwenye hizo ibada, ubinafsi ni kitu kibaya sana nyie wssomi wa some wa theology ueni ego zenu mtuachie Amani ya nchi.
 
Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri. Wafundishe kumjua Mungu, kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa hivyo, watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
 
Back
Top Bottom