Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wakuu Mimi n maamuma TU katika sheria lakn nashangaa Sana katiba yetu inasema kila mtanzania Ana haki ya kutoa maoni kwa Jambo lolote lihusulo nchi yetu
Wiki hii kanisa katoliki limetoa maoni kupitia baraza la MAASKOFU yaani TEC na wameorodhesha vifungu Tata vya mkataba ambavyo wao wanaona Kama vinafaa kurekebishwa maajabu anatokea mtu anasema Ni udini TU unaowasumbua hawa MAASKOFU
Mm nilitegemea watajibu kadiri ya maswali yaliyoulizwa juu ya vipengele Tata lakn mtu anakimbilia kusema udini
USHAURI wangu n vema wakajibu hoja iliyopo mezani kuliko kujikita kwenye udini
Wiki hii kanisa katoliki limetoa maoni kupitia baraza la MAASKOFU yaani TEC na wameorodhesha vifungu Tata vya mkataba ambavyo wao wanaona Kama vinafaa kurekebishwa maajabu anatokea mtu anasema Ni udini TU unaowasumbua hawa MAASKOFU
Mm nilitegemea watajibu kadiri ya maswali yaliyoulizwa juu ya vipengele Tata lakn mtu anakimbilia kusema udini
USHAURI wangu n vema wakajibu hoja iliyopo mezani kuliko kujikita kwenye udini