hilo jibu halihitaji JK, hata Mimi nitakujibu
Prof Assad kaunga Mkono Mkataba kashambuliwa Mdini,
sasa hivi kila Mtu akipinga Mkataba anaonekana Mkristo na kila anaeunga Mkono anaonekana Muislam,
kwanza inaua Principle za uhuru wa kujieleza kiasi kwamba Mkristo ataona shida sana kuunga Mkono Mkataba hata kama kwa nafsi yake na Taaluma yake ataona inafaa kwa kuwa anaonekana anapingana na Imani yake na Mwislam nae atajihisi jama kulitumikia Kanisa akipinga Mkataba
Kuvuruga Amani ya Nchi ni jambo rahisi sana sana na huwa inaondoka kimchezo mchezo
kuna watu wanadhani ni mchakato wa miaka na miongo kadhaa
Tuendelee kunyanyapaa Viongozi wanaopandikiza Chuki na mifarakano kwny Jamii
the same kwa