Kila siku wako Misikitini na Makanisani wakihubiri siasa lakini wa kwanza kusema tusichanganye dini na siasa

Assad aliambiwa yeye ni mtu wa mahesabu maswala ya sheria alisomea wapi?
 
Assad aliambiwa yeye ni mtu wa mahesabu maswala ya sheria alisomea wapi?
Mbowe kasomea wapi masuala ya Sheria?

Mdude ana elimu ya Sheria na uzoefu wa mikataba ?


Pungezeni Unafiki, angepinga Mkataba mngekumbuka kama yeye ni Mchumi?

Halafu usichojua ni kuwa sio kila Mwanasheria ana taaluma ya kujadili Mkataba! wapo wengine ni ma gwiji wa Sheria za Mirathi, jinai n.k
 
Sijawahi kuelewa mchango wa dini katika nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…