gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hujiona wa maana wakati wanna umbo la gunia la viaziWanyak
Wanyakyusa wanaviburi Na superiority wanayo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujiona wa maana wakati wanna umbo la gunia la viaziWanyak
Wanyakyusa wanaviburi Na superiority wanayo sana
Si umuache tu kama kampigia kampeni,we mpigie wako,akisema mitano tena we sema pipooozKampigia kampeni maza 🤣
Kwa hyo unatupangia cha kusema! Sijui unajikutaga nani sana wa kupangia watu maisha...Si umuache tu kama kampigia kampeni,we mpigie wako,akisema mitano tena we sema pipoooz
Ni kweliMimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
We fala acha kuzungumzia makabila ya watu basi, hayo mambo yenu ya wanyakyusa haujaulizwa,hao wahehe na wabena hawapendi dharau hata kidogo ndiomaana wanareact hivyo,nyie wanyakyusa mnatuzidi sifa tu ila hamna jambo lolote la maana mtakalotuzidi,na haka kambeya kenu tutakatawala kiuchumi kwenye Kila sekta,fala mmoja weweMimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Huu ni ukweli,awadanganye ambao hawajaishi na wanyakyusa ila tunaoishi nao tunawafaham nje na ndani,hawana upendo wowote zaidi ya unafikiWanyak
Wanyakyusa wanaviburi Na superiority wanayo sana
We fala acha kuzungumzia makabila ya watu basi, hayo mambo yenu ya wanyakyusa haujaulizwa,hao wahehe na wabena hawapendi dharau hata kidogo ndiomaana wanareact hivyo,nyie wanyakyusa mnatuzidi sifa tu ila hamna jambo lolote la maana mtakalotuzidi,na haka kambeya kenu tutakatawala kiuchumi kwenye Kila sekta,fala mmoja wewe
amejichanganya hapo, huwezi changanya siasa na burudani hajui waliojitokeza ni wafuasi wa vyama vyote hata wale vijana wachadema waliochezea virungu walikuwepo unataka uawaambie mama mitano tena walielewe? machungu ya kijana aliyepotelea mikononi mwa watekaji na umauti ukamkuta hayajaisha lazima ukutane na hiyo kadhiaKampigia kampeni maza 🤣
Walikuwa wanamtaka mke wa p diddyMimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Wabena wana roho mbaya sana hilo nakuunga mkono kabisaAiseh kuhusu wabena nap wahehe ni kweli aiseh!
Leo umenipa jibu kwanini nilipitia Yale yote!!
Aliimba ile ngoma , sijiiiii we mama sijiiiii.... Halafu akacha wanaume wamalizie ndipo tafrani ilipoanziaKwani huyo Zuchu kawafanya nini mpaka akakumbana na hiyo kadhia?
Wasukuma walijiona wajanja kushabikia CDM. Kanda ya ziwa ikawa kama Mbeyo ya sasa. Baadae wakasanuka. Sugu ndio mjanja wenu!Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Una matatizo yako binafsi,kati ya watu wanyenyekevu ni wabena,rudi kafanye utafitiWabena wana roho mbaya sana hilo nakuunga mkono kabisa
Nakuunga mkono hapo kwenye Wahehe na Wabena,ni watu wamalipizi sana,ukiwakosea ni lazima akuonyeshe kuwa yeye ni nani,halafu wakiwa na maposition ndio utamjua,dharau kama zote yeye akiamini kwa kufanya vile ndio utajua yeye yuko juu zaidi yako.Wanyakyusa nawajua wao ukiwachafua ni papo kwa papo ila ni wepesi sana kuachilia kama ukijishusa...Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike