Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Kumbe kosa ni kuwaita wahuni😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ilikuwaje kuwaje mpaka akazomewa?Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Wanyakyusa ni wajasiri ssna.Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Nakubaliana na maudhui ya mada.Mimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike
Huwajui wanyakyusa wewe!Nakuunga mkono hapo kwenye Wahehe na Wabena,ni watu wamalipizi sana,ukiwakosea ni lazima akuonyeshe kuwa yeye ni nani,halafu wakiwa na maposition ndio utamjua,dharau kama zote yeye akiamini kwa kufanya vile ndio utajua yeye yuko juu zaidi yako.Wanyakyusa nawajua wao ukiwachafua ni papo kwa papo ila ni wepesi sana kuachilia kama ukijishusa...
Hakuna kabila la huku kusini lenye roho mbaya kama mhehe na mbena , sijui shida ni nini kwa kweli kwenye kazi zangu Huwa siajili mhehe, mbena Sina fundi, sina dereva, sina muuza duka Toka hayo makabila nawajua mno na hapa njombe wamejaa naijua shida Yao ,Nimezaliwa nimekua nao , why not sijataja mkinga msangu nk nawajua hawa fikaUmemtoa mfano wa wahehe kumsusia mtu biashara baada ya kujiona star wakati anafungua hiyo biashara. Na kwamba hiyo inakuanesha wahehe wana roho mbaya.
Sikia, wahehe hawatakagi kabisa dharau, ndio maana ya ile kauli ya "ndimgaya sida"
Mhehe ukijifanya wewe ni spesho sana anakupuuza kisha anaendelea na mishe zake.
Kuhusu wanyakyusa, labda huwajui kwakuwa wewe mwenyewe ni mnyakyusa, ila hilo kabila ni washenzi, wakabila na wana roho mbaya sana.
Kwanza wanapenda sana kusengenya na kusingizia, pili mkiwa sehemu mnyakyusa anapenda awe juu ya wengine, ukimzidi atakupiga majungu hadi ukome huku akijificha kwenye kichaka cha mwanamaombi sana.
Kingine ukioa mnyakyusa utakiona cha moto. Chunguza wanawake wengi wa kinyakyusa ama ameachika au single mother.
Wewe ndio mwenye roho mbaya sasa!Hakuna kabila la huku kusini lenye roho mbaya kama mhehe na mbena , sijui shida ni nini kwa kweli kwenye kazi zangu Huwa siajili mhehe, mbena Sina fundi, sina dereva, sina muuza duka Toka hayo makabila nawajua mno na hapa njombe wamejaa naijua shida Yao ,Nimezaliwa nimekua nao , why not sijataja mkinga msangu nk nawajua hawa fika
Acha visingizio,hao unaowataja hawana tabia ya kumnyenyekea mtu,yani suala la kumwabudu mtu kwao halipo hata kidogo,hao wanyakyusa ndio wanatabia za kinafki na kushobokea watu,wabena na wahehe hawana huo ujinga,nawafaham wote wahehe,wabena na wanyakyusa,wanyaki ni watu wakujiona wapo juu ya wengine na kupenda kuabudu watu au kuabudiwa,hicho kitu ndio tofaut kabisa na wahehe na wabenaHakuna kabila la huku kusini lenye roho mbaya kama mhehe na mbena , sijui shida ni nini kwa kweli kwenye kazi zangu Huwa siajili mhehe, mbena Sina fundi, sina dereva, sina muuza duka Toka hayo makabila nawajua mno na hapa njombe wamejaa naijua shida Yao ,Nimezaliwa nimekua nao , why not sijataja mkinga msangu nk nawajua hawa fika
Nna jamaa zangu wanyakyusa kibao,wameoa dada zao wanyakyusa,kinachoendelea mpaka wao wenyewe wanashauri mtu asioe kabila lao,wanyakyusa kwenye unyenyekevu hawapo ila unafiki na superiority complex,wabena na wahehe ni watu wanamind their own business,nafikiri hicho ndio kinachomuuma jamaa kuona hapewi attention na hao watu wala hawaabudu watuWewe ndio mwenye roho mbaya sasa!
Mhehe hatakagi ujinga wa kumnyenyekea mtu.
Sasa kwakuwa nyie wanyakyusa mnapenda kuabudiwa na kutaka kuwa juu ya kila mtu ndio maana unaona Wahehe wana roho mbaya sababu hawawezi ku entertain huo ujinga.
Nyie hata wanawake zenu naweza wenyewe tu maana wanapenda kuwa watawala
Endelea kuajiri wanyakyusa ambao huwa wanaridhika mapema na hela ndogondogo hao wengne wanaotaka hela nyingi wafanye biashara zao sio kuajiliwa kishambashambaHakuna kabila la huku kusini lenye roho mbaya kama mhehe na mbena , sijui shida ni nini kwa kweli kwenye kazi zangu Huwa siajili mhehe, mbena Sina fundi, sina dereva, sina muuza duka Toka hayo makabila nawajua mno na hapa njombe wamejaa naijua shida Yao ,Nimezaliwa nimekua nao , why not sijataja mkinga msangu nk nawajua hawa fika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama alimpigia kampeni mama alichemsha... Huko mapaka mke wa Rais (Mama Salma) ashapigwa mawe [emoji23][emoji23][emoji23], waende Lindi na Mtwara huko
Kwani alienda kwa kampeni za ccm au alienda kwa niaba ya mke wa pididiMimi ni myakyusa kiasili baba yangu myakyusa na mama mkinga, katika kuishi na kukua sasa nimejifunza jambo hili kwa wanyakyusa ni watu wenye upendo sana ukionyesha utu kwao na watu wenye dharau sana ukionyesha unawadharau,. Nilikuwa naona ndugu wa marehemu baba Moja ya ugomvi mkubwa ni pale mzee alipowaonyesha dharau walimbadilkia mno hadi alipotoka jombe na kwenda kuwaomba msamaha na pale alipowaomba msamaha walikuwa wanampa ushirikiano sana na upendo. Ni kawaida ndugu atoke mbeya kuja kuwasalimu kisa tu akisikia ulikuwa unaumwa na ulilazwa, panakutokea shida wanaichukua kama Yao kabisa. hili ni tofauti Sana na watu wa iringa hapa nawasema wahehe na wabena ( sijui waliumbwa na roho gani hawa watu hawana shukurani na Wana roho mbaya sana,ndio nimeishi nao jombe na kukua nao hawa jamaa anaweza weka kisasi kwa tukuio la kijinga hata miaka 20, umsaidie vip hawana appreciation, kama unaowafahamu vyema wahehe na wabena weka ushahidi hapa. Nimewahi kutana na kisa Cha mfanyabiashara wamesusia biashara yake kisa amewahi kuwaonyesha dharau mwanzoni alipojiona ni star alipofungua biashara. Nazani zuchu hakuelewa ni wazi mbeya Samia na CCM hawana mvuto huko na Ile kuwaita wahuni nazani ndio kimefanya waharibu nb binafsi sijapenda walichomfanyia mtoto mdogo wa kike