Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

Kilimanjaro: Naomba tumsaidie Mwanafunzi Sifika Daniely Ruben apate haki yake na arudi shule

Kupitia ujinga kama huu ndio tunaishia kuwa na viongozi mithili ya Mzee wa Tozo na Bashite.

Jitu lina foundation mbovu ya elimu, linanunuliwa jina na matokeo halafu linakuja kufanya upumbavu kwa nchi nzima.

Hao wahusika kuanzia muuzaji mpaka mnunuzi wote wafungwe angalau miaka 10 jela.
kwa mfano wa yule aliyeiba mitihani Galanosi na kukimbilia Forest, makalai matupu- kwa hisani ya Job Ndugai huko alipo....na tabia hii ya udokozi hakuna mwenye kutaka kuikemesha. Hawa vilaza wamechekewa sana. sasa na wanyongwe si tu miaka 10 jela.
 
Maelezo mengiiii lkn kifupi hamna mwanafunzi anayehitaji msaada hapo na huyo aliyempokea pia hana uwezo wa kureason. Zama hizi hicho kitu hakipo kwa mifumo iliyopo HAIWEZEKANIKI hlf mtoto asome afaulu kwa hhsyo matokeo ndo akimbilie kwenye uhausigeli yaaani amekosa kaakili kabisa kawapi pa kupeleka tatizo lake mpaka aamue kukimbilia huko? Basi huo ufaulu aliopata ni non sense na elimu hiyo haina maana kwake.
Haya mambo mbona yapo, itakuwa hujaishi vijijini wewe , Kuna Ile issue ya binti wa kiislamu mkoa wa Pwani ilikuwa hivi hivi mpaka serikali ikaingilia kati na dogo akaenda shule.
 
Michezo hii ilikuwepo sana zamani...hadi waziri mmoja alishafanya na alishajitetea sana hapa ...
Mtoto huyu anahitaji msaada zaidi ya huo wa kurudishwa shule maana anatokea familia masikini sana..
Nilishafanyiwa huu mchezo Ila ilikuwa darasa la Saba..
Hivi ndivyo tunalalamikia serikali, uongozi wa juu ukiwa mkali watumishi wanakuwa na nidhamu.
Ile nidhamu ya SIMBA wa yuda ndio ilileta nidhamu.
Halafu unakuta aliyeuziwa nafasi baadae anakuwa kiongozi analetea dharau watanzania.
 
Ungekua yeye ungefanyaje?
Ndugu, we acha tu. Binafsi hali hiyo ilikwisha nipata. Nilinyimwa joining instructions ya Makoko seminari kule Musoma kisa tu baba yangu hafuati misingi ya ukatoliki. Siwezi sahau tukio lile. Niliponda mawe, nikauza kokoto na kupata fedha ili nitoe rushwa ya kumuhonga mtu wao (anaitwa Padre Masaga)... sijui siku hizi yuko wapi. Huyu Kiumbe nilimchukia hadi sasa kwa jinsi alivyonifanyia ili nipate joining instruction ya makoko seminari kisa tu makosa ya baba yangu kuto kukubari misimamo ya RC. Nimefauli lakini naadhibiwa kwa makosa ya mzee wangu. Siwezi sahahu.
 
Halafu unajiita Boss la DP World? Mungu akurehemu.
8cc441f477a3aa458e40d58432e3d858.jpg
 
Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu.

"Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka Hedaru, alipofika nikamuhoji ili kujua ametoka wapi hasa, na familia yake ipoje.

Akaniambia amemaliza Form Four, Ana Division One ya 10, Nikamuuliza Kwanini hujaenda shule, Akasema shule aliyopangiwa wameuza jina lake, Alipoenda kuripoti aliambiwa nafasi yake haipo. Nimeumia Kiukweli naomba nisaidie kwa wahusika binti apate haki yake, Mimi sina kipato kikubwa lakini kwa shule ya serikali nitamsomesha, lakini anapataje haki yake maana mimi kumpeleka shule binafsi uwezo sina.

Shule aliyomalizia Form Four ni MKOMBOZI SECONDARY SCHOOL ipo Hedaru Wilaya Ya Same. Shule aliyopangiwa aripoti Form Five Inaitwa NAMWAI HIGH SCHOOL Ipo Mkoa wa Kilimanjaro Sanya Juu,
Na Mchepuo aliopangiwa ni PCM
Namba yake ya Mtihani ni S.P. 0708/0136

Naomba Nisaidie Huyu Mtoto apate haki Yake Arudi shule Mimi nilitaka mfanyakazi ndo nimeletewa Huyo na Moyo wangu Umekosa Amani Nafasi yake Imeuzwa Kisa Alichelewa Kurepoti shule Wazazi wake Hawana Msaada Tena Maana Baba yake ni masini kabisa, na Mama Yake mzazi kwa sasa ni Mgojwa. Naomba Nisaidie apate hake yake Mimi Nitamsomesha Kwa hikihili kipato changu kidogo Nilichojaliwa".

Nimeitoa kwa Yericko Nyerere

View attachment 2761440View attachment 2761442
Kwa kweli huu ni uhuni wa kuharibiana maisha, huyu binti anahitaji msaada wa fikra na mali, mpaka inafikia atafute kazi ya ndani ni kweli ameshikika, inavyoonyesha hakuna mtu wa kumshauri na kumtetea katika familia yao vilevile hali zao za kiuchumi ni duni. Mamlaka husika ifuatilie nini hasa kilichotokea ili haki ipatikane. Ikiwa hakuna kitakachofanyika basi wana JF watamsomesha huyo binti mpaka pale atakaposema inatosha.
 
Ndugu, we acha tu. Binafsi hali hiyo ilikwisha nipata. Nilinyimwa joining instructions ya Makoko seminari kule Musoma kisa tu baba yangu hafuati misingi ya ukatoliki. Siwezi sahau tukio lile. Niliponda mawe, nikauza kokoto na kupata fedha ili nitoe rushwa ya kumuhonga mtu wao (anaitwa Padre Masaga)... sijui siku hizi yuko wapi. Huyu Kiumbe nilimchukia hadi sasa kwa jinsi alivyonifanyia ili nipate joining instruction ya makoko seminari kisa tu makosa ya baba yangu kuto kukubari misimamo ya RC. Nimefauli lakini naadhibiwa kwa makosa ya mzee wangu. Siwezi sahahu.
Kwa walichokufanyia naamini unaona ni sawa mzee alivyogomea misimamo yao
 
Hii kitu ipo sana katika shule za serikali,kama shule imepelekewa wanafunzi 70 walimu usubiri watakaoshindwa kuripoti kwa wakati kuwachomeka wanafunzi wengine
 
Maelezo mengiiii lkn kifupi hamna mwanafunzi anayehitaji msaada hapo na huyo aliyempokea pia hana uwezo wa kureason. Zama hizi hicho kitu hakipo kwa mifumo iliyopo HAIWEZEKANIKI hlf mtoto asome afaulu kwa hhsyo matokeo ndo akimbilie kwenye uhausigeli yaaani amekosa kaakili kabisa kawapi pa kupeleka tatizo lake mpaka aamue kukimbilia huko? Basi huo ufaulu aliopata ni non sense na elimu hiyo haina maana kwake.
Wenye akili za matope kama nyinyi hamuwezi kukosekana.

Mwandiko wenyewe kama wa mume wa zamaradi
 
Ndugu, we acha tu. Binafsi hali hiyo ilikwisha nipata. Nilinyimwa joining instructions ya Makoko seminari kule Musoma kisa tu baba yangu hafuati misingi ya ukatoliki. Siwezi sahau tukio lile. Niliponda mawe, nikauza kokoto na kupata fedha ili nitoe rushwa ya kumuhonga mtu wao (anaitwa Padre Masaga)... sijui siku hizi yuko wapi. Huyu Kiumbe nilimchukia hadi sasa kwa jinsi alivyonifanyia ili nipate joining instruction ya makoko seminari kisa tu makosa ya baba yangu kuto kukubari misimamo ya RC. Nimefauli lakini naadhibiwa kwa makosa ya mzee wangu. Siwezi sahahu.
Ulikosa shule za serikali?
 
Mh Waziri wa Elimu Prof Adolf Mkenda okoa mstakabali wa maisha ya binti huyu.

"Kaka Yericko pole na Majukumu, Naomba kaka nisaidie, mtoto huyu kwenye picha anaitwa SIFIKA DANIELY RUBEN, naomba apate Haki zake, Ipo hivi kaka, Nilikuwa natafuta binti wa kazi za ndani, Nikapata binti kutoka Hedaru, alipofika nikamuhoji ili kujua ametoka wapi hasa, na familia yake ipoje.

Akaniambia amemaliza Form Four, Ana Division One ya 10, Nikamuuliza Kwanini hujaenda shule, Akasema shule aliyopangiwa wameuza jina lake, Alipoenda kuripoti aliambiwa nafasi yake haipo. Nimeumia Kiukweli naomba nisaidie kwa wahusika binti apate haki yake, Mimi sina kipato kikubwa lakini kwa shule ya serikali nitamsomesha, lakini anapataje haki yake maana mimi kumpeleka shule binafsi uwezo sina.

Shule aliyomalizia Form Four ni MKOMBOZI SECONDARY SCHOOL ipo Hedaru Wilaya Ya Same. Shule aliyopangiwa aripoti Form Five Inaitwa NAMWAI HIGH SCHOOL Ipo Mkoa wa Kilimanjaro Sanya Juu,
Na Mchepuo aliopangiwa ni PCM
Namba yake ya Mtihani ni S.P. 0708/0136

Naomba Nisaidie Huyu Mtoto apate haki Yake Arudi shule Mimi nilitaka mfanyakazi ndo nimeletewa Huyo na Moyo wangu Umekosa Amani Nafasi yake Imeuzwa Kisa Alichelewa Kurepoti shule Wazazi wake Hawana Msaada Tena Maana Baba yake ni masini kabisa, na Mama Yake mzazi kwa sasa ni Mgojwa. Naomba Nisaidie apate hake yake Mimi Nitamsomesha Kwa hikihili kipato changu kidogo Nilichojaliwa".

Nimeitoa kwa Yericko Nyerere

View attachment 2761440View attachment 2761442
Muheshimiwa Dr Gwajima popote ulipo,pls ingilia kati swala hili pls nakuomba,tia mkono wako ili lifanyiwe kazi faster na mammlaka husika!! Dhuluma ya aina yoyote ile haikubaliki ndani ya jamii iliyo staraabika na tunaishi kwa misingi ya.sheria!!
 
Mtu nafasi yake inauzwa afu anaenda kuwa hausigel,hayuko serious huyo
Hataki shule
Usizani kila mtu anaupeo mkubwa kama wako huzulumiki haki yako maana unajua the all procedure ya kupata haki yako, kuna wengine kweli hawajui, na wnaishia kumuachia Mungu!! Alafu kumbuka pia mdada kafunguka mwenyewe kwa the New Boss, na Boss ndiyo akalileta humu kwa msaada zaidi kwa Binti apate haki yake!!
 
Maelezo mengiiii lkn kifupi hamna mwanafunzi anayehitaji msaada hapo na huyo aliyempokea pia hana uwezo wa kureason. Zama hizi hicho kitu hakipo kwa mifumo iliyopo HAIWEZEKANIKI hlf mtoto asome afaulu kwa hhsyo matokeo ndo akimbilie kwenye uhausigeli yaaani amekosa kaakili kabisa kawapi pa kupeleka tatizo lake mpaka aamue kukimbilia huko? Basi huo ufaulu aliopata ni non sense na elimu hiyo haina maana kwake.
Kama kuna ushahid wa kweli asikilizwe,huwenda Jinai ikibuka hapo kama kweli kitengo kikiaamua kufanya kazi bila ya double standard!
 
Back
Top Bottom