Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kabisa bila kubadilisha mbinu za kivita watakuwa wanawanufaisha wajinga wachache
 
Huyu alikuwa tapeli. Ameiba fedha za watu akajifarikisha na kupotea ktk dunia ya Njombe.
Mbona yupo zanzibar anawapiga kwa kuwajengesha greenhouse na wanatumia gharama kubwa sana. Pence kutumia million 2 zinatumika kumi na miche inadumu muda mfupi. Mimi nina technology ya kuishi miaka 20
 
Aliyekaribu na Rais atusaidie. Mh. Bashe alikuja kwenye mkutano wa kuiinua Kagera baada ya hotuba yake, akapiga picha na viongozi kadhaa akaondoka. Hakuuliza wajumbe baadhi ya mambo ambayo yanakwamisha mkoa huu. Watu walikuwa wamejiandaa kuongelea mambo mengi lakini hatukupata muda. Ndio maana vilio vyetu havikupata kumfikia Waziri wa Kilimo wala rais.
 
Hizo bei za 32000,30000,50000 ni za nn katuwekea

Ova
30,000-32,000 ndo zilizokua zinanunuliwa na huyo mayawa akafanya manouver bei ikawa 20,000 kwa kg ila Uganda wao wananunua 1 KG 50,000 tshs ila kuna wale jamaa wa Njombe wao wananunua 1 KG 1,000,000 aisee bi mkubwa wangu alinipigia simu ananiambia habari hii ya 1 KG 1m...nikamwambia mama hakuna hela rahisi duniani kama unataka utapeliwe nenda kawekeze kwenye mashamba ya vabilla huko...😀😀😀
 
Bora wewe unaielewa thamani yake Halafu kuna mdau anasema eti hadi ifike ubora wa milioni unafikiri ni rahisi?

Yaani anafikiri sijui ni kama Ng’ombe [emoji23]
Nilishakwendaga huko nilifanya research kubwa tu,kama kawaida sisi wengine ni wazee wa kuingia chimbo
Siyo mtu anakaa kufanya research mtandaoni tu shamba,maeneo hayajui

Ova
 
Hacha ukabira nyau ww,ww angalia dhumuni la kuandika Uzi wake humu,anyooshe maandishi kwani yeye anafanya kazi BAKITA?
Mwambie mwambie mkulima anajua jembe trekta na magunia ya kujaza mavuno kwenda kwa wachuuzi tu. Lugha aende BaKITA
 
Hacha ukabira nyau ww,ww angalia dhumuni la kuandika Uzi wake humu,anyooshe maandishi kwani yeye anafanya kazi BAKITA?
Wahaya wanajibu tu. 😁😁 poleni wakulima wa vanila bei elekezi ni mil.1 kwa kilo from vanila village.
 
20000 bado unapiga kelele tu du Wahaya bhana!
 
Mhaya kiukweli anatambwe hiza wengi sana kuliko uhalisia wa maisha anayoishi.
Nimefanyia kazi huko na mambo ya ajabu nimejionea mengi!
Watu wa mpakani wapo tayari kununua redio kwa upande wa Tz kuliko ile iliyovushwa(Uganda vitu vingi vipo chini).
Hii yote eti asionekane mtu wa dili!
Saa nyingine baadhi(hasa wakuja) hujitahidi kuvusha vitu lakini hawewezi kudumu muda wanakamatwa kisa kuna wajuaji huwachongea kwa wenye mamlaka na wenye mamlaka wakipata dili kama hizo,mizigo hutaifishwa na isijulikane imeenda wapi.
Mnanuksi sana ukijumlisha na lichama lenu acha muonje joto la Tanzania akili itawanyooka!
 
Si nilisikia bei ya Vanila kilo 1 ni milioni moja au siyo nyie?
 
Hii siyo Kweli , napinga nani tazidi kupinga. hakuna ton 400 labda kama ni 40, Nazo Sina Imani kama zinafika.
 
Bora wewe unaielewa thamani yake Halafu kuna mdau anasema eti hadi ifike ubora wa milioni unafikiri ni rahisi?

Yaani anafikiri sijui ni kama Ng’ombe [emoji23]
Kiukweli hiyo mdau unaweza kumshangaa, lakini Khali ilivyo kwa kagera ningumu kupata ubora unao kizi viwango vya ubora.

Kwanini nasema hivyo.

Baada ya kujitokeza waranguzi kutoka nchi jirani , kuliibuka wimbi la wizi wa Vanilla mashambani.

Wezi hao hawajui kama imekomaa au haijakomaa wao wanacho jua ni kuiba TU wakati mwingine hung'oa hata miche, matunda watachambulia mbali.

Ili kukabiliana na hiyo Khali ulibuniwa mfumo wa mauzo kwa minada.

Minada inaendeshwa huko vijijini kwa wakulima.

Siku ya kuchuma inakua moja nasiku hiyohiyo wanauza.

Mfumo huu hautoi nafasi yakuchuma kwa kufuata matunda yaliyo iva tu, bali ni kuchuma yote ,kwa sababu ni siku ya kuuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…