Kabisa bila kubadilisha mbinu za kivita watakuwa wanawanufaisha wajinga wachacheMagendo ukirisk lazima utoboe
Tushawaona wangapi wakifanya hiyo
Kuna watu tunawafaham walifanya magendo wakapiga hela hadi sahv wameingia kwenye siasa wnaitwa waheshimiwa
Hii dunia uwanja wa fujo ukifanya kufata mstari hutoboi,utabakia msindikizaji tu kuwatajirisha wengine
Ova
Hahaaaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wanyonge ndio Mtaji wa chama kijaniKuna mfumo hautaki watu wawe vzr kiuchumi,waendeleee kuitwa wanyonge
Utasikia mm nko kwa ajili ya wanyonge,
Watu nao kwa kwa kwa kama mazombie
Ova
Mbona yupo zanzibar anawapiga kwa kuwajengesha greenhouse na wanatumia gharama kubwa sana. Pence kutumia million 2 zinatumika kumi na miche inadumu muda mfupi. Mimi nina technology ya kuishi miaka 20Huyu alikuwa tapeli. Ameiba fedha za watu akajifarikisha na kupotea ktk dunia ya Njombe.
30,000-32,000 ndo zilizokua zinanunuliwa na huyo mayawa akafanya manouver bei ikawa 20,000 kwa kg ila Uganda wao wananunua 1 KG 50,000 tshs ila kuna wale jamaa wa Njombe wao wananunua 1 KG 1,000,000 aisee bi mkubwa wangu alinipigia simu ananiambia habari hii ya 1 KG 1m...nikamwambia mama hakuna hela rahisi duniani kama unataka utapeliwe nenda kawekeze kwenye mashamba ya vabilla huko...😀😀😀Hizo bei za 32000,30000,50000 ni za nn katuwekea
Ova
Wahaya mshike Elimu.
Sasa mnashikilia kilimo na bodaboda mmejazana mwanza ndo maana uandishi haujanyooka na ni ujumbe unaupeleka kwa rais.
Nilishakwendaga huko nilifanya research kubwa tu,kama kawaida sisi wengine ni wazee wa kuingia chimboBora wewe unaielewa thamani yake Halafu kuna mdau anasema eti hadi ifike ubora wa milioni unafikiri ni rahisi?
Yaani anafikiri sijui ni kama Ng’ombe [emoji23]
Mwambie mwambie mkulima anajua jembe trekta na magunia ya kujaza mavuno kwenda kwa wachuuzi tu. Lugha aende BaKITAHacha ukabira nyau ww,ww angalia dhumuni la kuandika Uzi wake humu,anyooshe maandishi kwani yeye anafanya kazi BAKITA?
Ukishaitwa mnyonge basi we ni wa kunyonywa tuHahaaaaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wanyonge ndio Mtaji wa chama kijani
Wahaya wanajibu tu. 😁😁 poleni wakulima wa vanila bei elekezi ni mil.1 kwa kilo from vanila village.Hacha ukabira nyau ww,ww angalia dhumuni la kuandika Uzi wake humu,anyooshe maandishi kwani yeye anafanya kazi BAKITA?
20000 bado unapiga kelele tu du Wahaya bhana!Kwako Rais Wetu Mpenda.
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.
Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.
Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.
Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.
Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.
Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.
Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.
Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.
Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.
Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.
Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Kweli wabongo wengi ni vilaza...20000 bado unapiga kelele tu du Wahaya bhana!
Mhaya kiukweli anatambwe hiza wengi sana kuliko uhalisia wa maisha anayoishi.Wahaya aka Nshomile akili nyingi ila maarifa 10%! Ngoja niwape mbinu ambazo wenzenu Moshi wanazidi kutajirika kwa kupeleka Mahindi, Kahawa, Tanzanite nk hapo jirani Kenya.
Kuishi mpakani ni fursa ya kipekee, Lukunyu, Mashanga(Bugabo) ni nchi jirani hiyo hakuna janja janja ya akina Bashe! au nimwambie na njia ya kufika hapo bila kukamatwa? Njoo inbox!
CCM elabakozile bintungwa, nimwija kufa ne'enaku kamutashazile agalabayamba!
Unajua gharama za kilimo au yanakutoka?unajua unazilinda kiasi gani? Bado kuzirisha mbolea20000 bado unapiga kelele tu du Wahaya bhana!
Si nilisikia bei ya Vanila kilo 1 ni milioni moja au siyo nyie?Kwako Rais Wetu Mpenda.
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kila siku, pia nikushukru jinsi unavyoongoza nchi kwa amani na utulivu. Bila kuacha kukupongeza kwa unavyopambana na miradi ya kimikakati katika kuiinua nchi kuelekea uchumi wa kati.
Sisi wakulima wa vanilla Kagera tumekumbwa na tatizo kubwa sana ambalo limeleta mgogoro sana na mgongano ya masilahi. Wakulima wakagera tuliitwa tarehe 20 Mei 2022 kujadiri mstakabari wa Vanila zetu.
Waliohudhuria ni sisi wakulima pamoja na kampuni zinazonunua vanila. Pamoja na katibu tawala wa mkoa. Kikao kiliisha salama licha ya kuwa na marumbano makali juu ya uhuni unaofanywa na mkurugenzi wa MAYAWA ambao ndio wanunuzi wakuu.
Iko hivi: Mkurugenzi wa Mayawa anatuhumiwa kula njama na kuwashawishi makampuni anayoshindana nayo kutozidi kiwango fulani ili wapate faida kubwa.
Mayawa kwa kutumia makampuni mengine madogo alifanikiwa kushusha bei kilo moja kutoka tshs 32,000/= to tshs 20,000/= wakati yeye akinunua kwa tshs 30,000. Mayawa ilizidiwa wingi wa vanila ikabidi ikope Bank kutoa ADB kulipa wakulima.
Lakini bado wakulima wanadai mil. Mia mbili. Mpaka sasa ajawalipa licha ya kuambiwa na mkuu wa mkoa kwa kauli ya serikali kuwa tarehe 31 May 2022 awe amewalipa. Sasa likichofanyika ni kwamba mayawa amesusa kununua na kushawishi kampuni nyanza zilizokuwa zinanunua kwa bei nafuu nazo zikasusa.
Sasa hivi ni kampuni moja tu NEI LTD kutoka Moshi Makao Makuu ndiyo inayonunua. Kampuni hiyo nayo imezidiwa na imesitisha kwa muda. Wakulima wa sasa hawajui cha kufanya vanila mashambani zimeanza kuharibika.
Tunaiomba serikali kupitia takukuru wachunguze hii kampuni ya mayawa alafu wamuombe NEILTD aendelee kununua vanila zetu tusije kukata tamaa. Kama ikishindikana tunaomba tufunguliwe mipaka tuize Uganda kwani wao wananunua kilo moja kwa tshs 50,000/= vanila mbichi.
Mkoa wa Kagera mwaka huu unazalisha tani mia 4 jambo ambalo watunza takwimu hawana, kwa kuwa nyingi zinatoroshewa nchi za jirani kukwepa mitego ya kampuni zetu za kijanja janja. Pia kampuni kwa sasa hazifuati wakulima kwenye vituo. Hii inatokea kwa sababu ya kukwepa ushuru.
Mwaka jana tu serikali ilikuwa inadai makampuni manne tshs miliioni 20. Kama ushuru hivyo kuitisha kuwapelekea ni njia mojawapo ya kukwepa ushuru.
Mwisho nakuomba umwagize waziri wako kilimo Bashe pamoja na Katibu wake waende kuhitisha kikao cha dharura wawasikilize wakulima wanasemaje kuhusu mambo mabaya wanayotendewa kwenye hii dhahabu ya kijani.
Wako mkulima wa Vanilla Bukoba
Hii siyo Kweli , napinga nani tazidi kupinga. hakuna ton 400 labda kama ni 40, Nazo Sina Imani kama zinafika.Inawezekana...
Maana wilaya ya misenyi na bukoba vijijini kilimo hiki kimeshamiri kweli
Lakin tatizo ni kwamba mauzo hayaonekani na wala faida kwa mkoa haionekani..
Bado kahawa na ndizi...lakin kimapata mkoa haupati kitu mpaka unakuwa wa mwisho kuchangia pato la taifa Tz nzima
Kiukweli hiyo mdau unaweza kumshangaa, lakini Khali ilivyo kwa kagera ningumu kupata ubora unao kizi viwango vya ubora.Bora wewe unaielewa thamani yake Halafu kuna mdau anasema eti hadi ifike ubora wa milioni unafikiri ni rahisi?
Yaani anafikiri sijui ni kama Ng’ombe [emoji23]
Punguza ukali wa maneno.Ukisoma comments kwenye uzi huu, kama ulikuwa hujui, ndio utajua nchi hii ya samia ina idiots (ebifeela ndya-maazi) wa kutosha.