Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuri sana
Jana baada ya mizunguko ya hapa na pale, niliingia mtaani kupiga story na kucheza draft.Hahahaa ha haha. Askofu kafanya yake?
Ukweli mchungu kama beberu asingemtamka Jobo tungekuwa busy na magombesugu na midundiko.
Hatuna inputs au outputs zozote kwenye hili.
Sana sana tisibirie mrejesho tokea kwa wahanga.
Ila kujipanga kuwahami watu vilivyo ilikuwa ni noble duty.
Ngoja sasa Maafa yatokee halafu utawaona wanasiasa na Mapolisi wao wataanza kuja na matamko na marufuku zao.Inatugharimu nini kujipanga kujihami au kuwahami watu kwa hatari inayoonekana kutuelekea?
Mzaha mzaha hutumbua usaha.
Aliyepanga kuwauzia wenziwe chakula kawaacha na njaa zao.
Maisha kwanza!
Jana baada ya mizunguko ya hapa na pale, niliingia mtaani kupiga story na kucheza draft.
Nilipo ingizia story za Mr JOBO, ndipo nilipokutana na hayo majibu.
Jamaa mmoja akaenda mbali na kusema....Mabeberu wanaweza test nuclear bomb kwenye maji ya TZ ili kutengeneza mawimbi, then wanafunga feni kama milioni hivi na kuzielekeza pwani ya TZ na kusababisha upepo mkali.
Kama angekuwepo angesema chapeni kazi msiwasikilize MabeberuMwendazake alituharibia sana hii nchi.
Kaenda zake akiwa katikati ya kupanga bei za mazao tukayowauzia jirani zetu waliojifungia kujikinga na ugonjwa uliomwondoa yeye.
Kweri tamaa mbele, mauti nyuma.
Cloud radar Tanzania - View live satellite images | SAT24
View live satellite images of Tanzania on the cloud radar at SAT24 and see where the sun is shining or the rain is falling.en.sat24.com
Wewe huwa una uhafifu sana upande wa IQuzi umejaa team korona. team kufurahia majanga. ama kweli Mkapa alikua sahihi kwa kusema ni wapumbavu na malofa
🤣🤣🤣Wewe jamaa ni jinga sana!Wameskia imeripotiwa CNN wakaona nawao watie chumvi
Wewe huwa una uhafifu sana upande wa IQ