amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Jamaa akasepa kaacha na chata yakeπππakwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa akasepa kaacha na chata yakeπππakwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
kumbe mlikutana hamna akili. yaani unatumia zako tu zinaisha yeye anafanya nini? then usilalamike ....ulalamishi ni dalili za mtu ambaye hakubali makosanilikua nazo na tulitumia zangu ,,sasa tungeishi vipi kama wote hatuna kitu!?
ndugu wewe acha tu πππsema ......au basiJamaa akasepa kaacha na chata yakeπππ
Dah love mbona unanitisha hvy, ujue mm sina kitu ila Sir God aliniambia nikioa ndio ntakuwa tajiriβPata pesa tujue tabia yakoβ sasa mwanaume akiwa te si lazima anyenyekee hana meno.!
Mimi kwakweli mwanaume awe na pesa ndio tupendane, kutibuana baadae akishajipata aanze kunipa stress sitaki.!
anyway....then hayo kaa nayo sasa usiyalete huku maana mumeo hayupo hawezi jitetea. mi nadhani kwa sasa muangalie ni wapi mmeanguka msimame msonge mbeleππ Sijawahi miliki io kitu,,,ila mnatetea upande mmoja utasema ni malaika na kumbe wabaya wapo
Pole sana mamaaakwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
ππMkeo ana kazi sana,,sizani kama hua unamkisiliza,,,,aya nimekubali kosa that's why nkasema sirudii tena au unataka nikubali vip mkuu,,acha ubabe bwan wewkumbe mlikutana hamna akili. yaani unatumia zako tu zinaisha yeye anafanya nini? then usilalamike ....ulalamishi ni dalili za mtu ambaye hakubali makosa
ππ Wengine wajifunze mkuu,,, all in all wacha ubabeeeeeeanyway....then hayo kaa nayo sasa usiyalete huku maana mumeo hayupo hawezi jitetea. mi nadhani kwa sasa muangalie ni wapi mmeanguka msimame msonge mbele
umecheka then unipe pole ya kinafiki πππPole sana mamaa
Usimkatie tamaa kiumbe anaeishisawa tuπππΎ
Mwanamke anaekupendea pesa hafai.Huyo hata haeleweki
hahahaha hadi nmepaliwaUsimkatie tamaa kiumbe anaeishi
Paliwa tena, kwaninihahahaha hadi nmepaliwa
πππ Yaan unamu accommodate mwanaume yeye kazi yake kula mzigo tu. Mbinguni una special seat aiseeππnilikua nazo na tulitumia zangu ,,sasa tungeishi vipi kama wote hatuna kitu!?
ata sijui kwaninPaliwa tena, kwanini
Basi endelea kusubiriDah love mbona unanitisha hvy, ujue mm sina kitu ila Sir God aliniambia nikioa ndio ntakuwa tajiri
πππππππππππππππ wooooiiiiπππ Yaan unamu accommodate mwanaume yeye kazi yake kula mzigo tu. Mbinguni una special seat aiseeππ
Dah kwahy amekuacha na mtoto? πndugu wewe acha tu πππsema ......au basi
πBasi endelea kusubiri
Rudianeniata sijui kwanin