Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Neema ya Mungu iwakomboe
 
Ni kweli waafrika tunaamini sana hayo mambo....

Ila.....

Si sahihi kwa mazoezi hayo kufanyika kwa LAZIMA NA NGUVU....hivi hatuoni ni kuhatarisha amani ?!!!

Hivi hao waitwao "wachawi" wanafanya hadharani na kuonekana ?!!!

Ujinga mzigo
 
Dah masanga jamani, Mimi ni product ya huko sema tu hivyo enzi nakuja huko kijiwe ilikuwa just in town ipo njia ya airport sijui Kama bado IPO na kule mlimani mesi kule kilimahewa
Milimani mesi imeshapita hiyo, njia ya airport kwenda mwasenga ipo kifupi kigoma ni Ile Ile tu
 
Mbona wananchi wana support? Wewe kama Baba yako kakutwa na UCHAWI mwambie aache.
Hao raia wanajua tamaduni zao Acha kazi ifanyike.
Kuna vijiji hata watishi wa umma wanakimbia sababu ya UCHAWI, Sasa Acha kudafishwe maisha yaendelee
 
Mbona wananchi wana support? Wewe kama Baba yako kakutwa na UCHAWI mwambie aache.
Hao raia wanajua tamaduni zao Acha kazi ifanyike.
Kuna vijiji hata watishi wa umma wanakimbia sababu ya UCHAWI, Sasa Acha kudafishwe maisha yaendelee
Sawa....

Uchawi kweli upo....binafsi ninaamini hayo....

Ila "operations" hizo zinaweza hata kuingiza na wasiohusika kabisaaaa......

Chuki na visasi vinaweza kutumika kudhalilisha na kuumiza wengine....

Hivi kila RAMLI inayopigwa na mganga akiwa "sober" ama akiwa na "walimu vichwani" ni SAHIHI 100%?!!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
 
Wewe unatakiwa uende Kigoma ukavione 'VITIMBA Original! 😱
... Wenzio tuliwahi kunyolewa, kichawi, basi zima pale tulipolazimika kulala kwa dharura huko Kasulu! ... CHEZEA KIGOMA WEWE? 😅
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana


Kwa mwendo huu wazawa matajiri wataendelea kuwa wachaga tu milele.

Moshi ama uchagani huyo mganga angechapwa viboko na kila kaya ambayo angeenda kuomba hiyo buku 5.

Mganga wa kienyeji hana nafasi uchagani
Acha kutulongofya! 😅 ... hapa Dar wanaoongoza kujazana kwa Mwamposa ni WACHAGA hawa wa City wanaohesabiwa kuwa WASOMI! 😅
 
Kwa speed hii sidhani kama Zitto na Bi Sandra watarudi kawao, wakiogopa kukamatwa na kuwekwa hadharani
 
Sasa mkuu ukikaa ukifikiriaaa Unadhani unaakili kuliko viongozi wa huko Kigoma na watu wao?yaani watu zaidi ya elfu 2 wanaoujua mkoa wao nje ndani kuwa umejaa wachawi,wanatafuta solution unawaona mazuzu?Hujalogwa ww.
 
Una prove vipi izo imani mzee? Jamii zinazo jadili Uchawi na Ushirikina na Jamii za Kimasikini
 
Utapeli mtupu
Nimecheka sanaa Kuna bwana mmoja dereva wa bajaji alikamatwa na traffic 🚦 wakawa wanaelekezana jamaa akawa kaandikiwa fainí.....JAMAA AKACHOTA UNYAYO WA TRAFFIC NAKUWEKA KWENYE LESSO🤣🤣😂😂
Traffic kuona vile akamfuata ukaibuka ugomvi mkubwa wa maungoni trafick anataka ule mchanga jamaa anasema hajachukua chochote mpaka mkubwa wa trafick alikua anapita akawaona akaenda kusuluisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…