Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Mila za kitoto na za Kijinga...! Sema watu wengine wana Amini vitu usivyoamini....!

Kuna Nchi kama South Africa, unakuta wanaamini uwepo wa Mungu, wanasali na kuomba kwa namna yao, lakini hawaamini kuhusu Yesu, na wana sababu zao wakikupa unabaki kusema kila mtu wacha aamini anachoamini.

Mfano huwa wanaomba kwa Mungu kupitia Mizimu yao, ukiwauliza kwa nini wanachanganya mizimu na Mungu, wanakwambia Yesu mwenyewe ni Mzimu, aliishi na kufa zamani, kwa nini nimtumie Yesu kumfikia Mungu, wakati nina Ndugu zangu walishatangulia...!?
Hii nayo Kali
 
Mila za kitoto na za Kijinga...! Sema watu wengine wana Amini vitu usivyoamini....!

Kuna Nchi kama South Africa, unakuta wanaamini uwepo wa Mungu, wanasali na kuomba kwa namna yao, lakini hawaamini kuhusu Yesu, na wana sababu zao wakikupa unabaki kusema kila mtu wacha aamini anachoamini.

Mfano huwa wanaomba kwa Mungu kupitia Mizimu yao, ukiwauliza kwa nini wanachanganya mizimu na Mungu, wanakwambia Yesu mwenyewe ni Mzimu, aliishi na kufa zamani, kwa nini nimtumie Yesu kumfikia Mungu, wakati nina Ndugu zangu walishatangulia...!?

Mila za kitoto na za Kijinga...! Sema watu wengine wana Amini vitu usivyoamini....!

Kuna Nchi kama South Africa, unakuta wanaamini uwepo wa Mungu, wanasali na kuomba kwa namna yao, lakini hawaamini kuhusu Yesu, na wana sababu zao wakikupa unabaki kusema kila mtu wacha aamini anachoamini.

Mfano huwa wanaomba kwa Mungu kupitia Mizimu yao, ukiwauliza kwa nini wanachanganya mizimu na Mungu, wanakwambia Yesu mwenyewe ni Mzimu, aliishi na kufa zamani, kwa nini nimtumie Yesu kumfikia Mungu, wakati nina Ndugu zangu walishatangulia...!?
Just because unaamini doesn't mean sio ujinga. We ukiamini mapepo na mizimu while tunajua it ain't real ..we ni mjinga tu..
 
Just because unaamini doesn't mean sio ujinga. We ukiamini mapepo na mizimu while tunajua it ain't real ..we ni mjinga tu..
Sasa kama unaishi Dunia hii tunayoishi sote, na unasema Mizimu na Mapepo ni Vitu ambavyo havipo...!

Wewe ndo utakua Mjinga wa Mwisho..!

Kutoamini jambo flani, haimaanishi kwamba halipo...! Na wala haikufanyi kuwa una akili Nyingi...!

Wapo Vilaza wengi wanaamini unavyoamini, na wengine wameenda Mbali hawaamini uwepo wa Mungu....! Ni Upunguani tu kuamini vile unavyoamini ndo kukufanya wewe kujiona una Akili.
 
Kama RC wa Kigoma ameshindwa kazi atolewe. Au inawezekana yana baraka na serikali. Nchi ya wapumbavu sana.
 
Iliwahi kutokea huko Ruvuma miaka kama 5 iliyopita. Kuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Faki ndiye aliyekuwa mganga wa kuumbua wachawi (kama wajinga wanavyoamini). Gharama kila kaya ilikuwa tsh 5000. Asiyetaka kutoa alipigwa au kunyang'anywa kitu cha thamani ya 5000 au zaidi. Ulikuwa ni wakati mgumu sana kwa wasioyataka mambo hayo walokole na wengine. Mkuu wa mkoa wa wakati huo ndg Saidi Mwambungu aliokoa jahazi kwa kuzuia. Mabomu ya mchozi yalihusika ...
Unadhani Faki hakusaidia kwa kupunguza uchawi hasa vijiji vya Ndengele na mbamba-bay?unafahamu kuwa huku kila alipata mafanikio nje alikuwa akija likizo akiondoka anarudi na kiatu cha mbao?
Unamjua mzee Miale wa mbamba-bay sàsa ni marehemu alivyoua familia yake mpaka watoto wakamkimbia na wengine walirufi baada ya kufariki,Mzee Yusufu na Chimndala ?tusijifanye kuamini uchawi upo wakati sisi wenyewe ndio wachawi na hatuishi kwa waganga na kupeleka kuku weusi na weupe .
Mimi namkubali sana MSHANA JR na YERICCO NYERERE maana wapo wazi kabisa kuhusu mambo haya
 
Wewe fata Mambo yako....!

Waha leo Dar es salaam, ni Wafanyabiashara Wakubwa, Matajiri, lakini hawajengi kwao, watu wanaogopa hata kwenda kusalimia kwao Kigoma....!

Uchawi upo na Mchawi sio Mtu mzuri, kama huamini kuwa Uchawi upo wewe endelea na mambo yako, aijuae Siri ya Mtungi ni Kata...!

Unafiki wa Watanzania, kujifanya kuusikia kuhusu Uchawi Jamii forums...!

Vitabu vya Dini vinatambua Uchawi upo.... Hutaki unaacha....!
Uchawi wa kisenge sana. Mchawi anaweza kukukwamisha kimaisha kwa wivu tu wa kipuuzi bila sababu yeyote anakufungia maisha yako yasiendelee.
 
Mi nilishasemaga, uchawi na ushirikina ni direct proportional na umaskini na ujinga. Vitu kama hizi huwezi ona mjini coz watu wanajielewa
Aliekwambia mjini uchawi hamna nani. Nenda Tabata Kisukuru kaone maeneo yale palivyodumaa halafu ufananishe na maeneo kama Tabata Segerea na Kinyerezi.
 
Waziri Mpya wa TAMISEMI atawakomesha ma RC and DC wanao ruhusu huu ujinga
Siku zote serikali inadai haiamini wala kujishughulisha na ushirikina, licha ya viongozi wengi kuaminika ni washirikina.
 
Unadhani Faki hakusaidia kwa kupunguza uchawi hasa vijiji vya Ndengele na mbamba-bay?unafahamu kuwa huku kila alipata mafanikio nje alikuwa akija likizo akiondoka anarudi na kiatu cha mbao?
Unamjua mzee Miale wa mbamba-bay sàsa ni marehemu alivyoua familia yake mpaka watoto wakamkimbia na wengine walirufi baada ya kufariki,Mzee Yusufu na Chimndala ?tusijifanye kuamini uchawi upo wakati sisi wenyewe ndio wachawi na hatuishi kwa waganga na kupeleka kuku weusi na weupe .
Mimi namkubali sana MSHANA JR na YERICCO NYERERE maana wapo wazi kabisa kuhusu mambo haya
Hahahahaha. Sawa mkuu, naheshimu mawazo yako. Hao wote uliowataja nawafahamu pamoja na huyo marehemu ambaye alikuwa askofu wa kanisa jipya la mitume wakati huo.
 
Sasa kama unaishi Dunia hii tunayoishi sote, na unasema Mizimu na Mapepo ni Vitu ambavyo havipo...!

Wewe ndo utakua Mjinga wa Mwisho..!

Kutoamini jambo flani, haimaanishi kwamba halipo...! Na wala haikufanyi kuwa una akili Nyingi...!

Wapo Vilaza wengi wanaamini unavyoamini, na wengine wameenda Mbali hawaamini uwepo wa Mungu....! Ni Upunguani tu kuamini vile unavyoamini ndo kukufanya wewe kujiona una Akili.
😂😂😂😂Okay uwepo wa Mungu utasema cjui jua sijui chupi imetokea wapi...so tuachane na hayo...una ushahidi gani wa mapepo kuwepo au mizimu kuwepo. Leta ushahidi unaoeleweka sio story za bibi yako Kijiji ambacho mtu mwenye elimu kaishia la Saba....
 
Aliekwambia mjini uchawi hamna nani. Nenda Tabata Kisukuru kaone maeneo yale palivyodumaa halafu ufananishe na maeneo kama Tabata Segerea na Kinyerezi.
😂😂😂😂So uchawi unachagua sehemu yenye watu maskini na wajinga au sio
 
Haya mambo yalifanyika Ulaya middle ages, zama za giza, miaka ya 500 hadi 1500 CE.
 
Tatizo la vijijini wakishamaliza kulima huwa hawana mambo mengine ya kufanya hivyo wanakuwa na muda mwingi wa kufanya mambo ya ajabu ajabu.
 
Mm naona Hilo jambo liendelee....Kule Kuna Imani za kishirikina sanaa....Kuna Vizika wazima...Kuna jamii Kule Huwa hawarudigi kwao.... kwenye mtiani wa form 6 Kuna jamaa mmoja wa Kigoma gafla akaanza kuanguka mapepo miaka 20 iliyo pita...

Yaan alifanya mitiani Kwa mbinde mapepo hayataki asome......


Hii ardhi hii imebeba mengi yaan acha tu.....DUNIA INA MAMBO KAMA WASEMAVYO WATU PORI...
Utapeli mtupu
 
Back
Top Bottom