stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Baba mzazi Ila haendi kuzaa lebaKwa hiyo baba siyo mzazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba mzazi Ila haendi kuzaa lebaKwa hiyo baba siyo mzazi
Leba wanajifungua,hawazai,baba akiwa mzazi tayari anakua anazaa,mzazi linatokana na zaaBaba mzazi Ila haendi kuzaa leba
Wewe umewahi kuzaa?Leba wanajifungua,hawazai,baba akiwa mzazi tayari anakua anazaa,mzazi linatokana na zaa
Una uwezo wa kufanya mijadala!?..neno mzazi mzizi wake ni nini!?Wewe umewahi kuzaa?
Mara ya MWISHO kuzaa ilikua lini?
Hujajibu swali 'Inama Nikusweke' umewahi kuzaa? Mara ya MWISHO kuzaa ilikua lini?Una uwezo wa kufanya mijadala!?..neno mzazi mzizi wake ni nini!?
KachezeHujajibu swali 'Inama Nikusweke' umewahi kuzaa? Mara ya MWISHO kuzaa ilikua lini?
Ndio ulipozaa kwa Mara ya kwanza huko 'Kacheze' Inama Nikusweke?Kacheze
Kwamba hao wataalamu hawana familia au mahitaji yao binafsi?Huyo muweka uzi ni muongo. Mtu halazimishwi kutoa fedha. Fedha zinachangwa kwa hiari. Na fedha hizo ni kwaajili ya wanaowasaidia hao wataalamu kufanya shughuli yao. Hao wataalamu hawachukui hata mia mbovu.
Sasa kama umetajwa mpka kwenye vitabu viatakatifu Leo hii nyinyi mtaweza kuuundoa kwa hizo operation zenu za maigizo?Lengo la hiyo operation ni kuondoa huo uchawi,amini nakwambia uchawi umetajwa hadi kwenye vitabu vitakatifu,kwa hiyo upo.Ambaye familia yake ni wachawi ndoo wanalalamika na hii operation.
Huyo kamchape ni mchawi ila wachawi wenzie wanamuogopaNarudia tena ni Udhalilishaji, Upuuzi, Ushenzi, Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Hao unao waita wakuu wa wilaya ni watiifu kwa kamchapeHaya yanafanyika hata huko songwe na chunya.Ni nani huwa anawaruhusu hawa wapuuzi? Hivi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ndo wakuu wa ulinzi na usalama kazi yao ni nini dhidi ya kuwalinda wananchi hasa kwenye upuuzi kama huu?
Tanzania nchi ya hovyo sana
Sasa hizo operation tngu lini zimewahi ondoa dhana ya uchawi kwenye jamii? Au unafikiri hiyo ndio ya kwanza? Zipo tangu enzi za mababu zetu na hazijawahi kuondoa kitu zaidi ya kudhalilishana tu.Nyie mnaopinga hiyo Operation mnajua mateso wanaopitia watu huko inakofanyika hiyo Operation?
AFRIKA HAIENDELEI SABABU MACHAWI YANANENEPEANA TU KILA SIKU CHA KUSHANGAZA KUNA WATU WANAWATETEA HUMU!
Mbeya walikuwa na kitu kinaitwa LambaLamba... ililetaa balaa mpaka watu walikufaMbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Hiyo Dubai ya Kwa Mtongole labdaKikwete Aliahidi Kigoma Kuwa Kama Dubai Leo Bado Wanatoa Uchawi
Ni Ushenzi kwa kweli hili Likemewe AiseeZoezi limeingia pia huku Katavi, wilaya ya Tanganyika katika makazi ya Mishamo. Yaani ni mwendo wa mchakamchaka kitaa Kwa kitaa.