Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Tuna safari ndefu sana kufikia kujikomboa kiakili!

Naelewa kwa nini Kigoma ni Mkoa uliotengwa na watanzania.

Ni aibu kujiita muha. Maana naona kabisa Muha = majuha!

Wenzetu wa Mikoa ya kaskazini wanachanga fedha kujenga shule, vituo vya afya nk.

Kigoma mnachanga fesha kudhalilisha Mkoa wenu kutangazia dunia kuwa ninyi ni washirikina, wachawi kwa kuongozwa na makanjanja wasiojali heshima na haki za binadamu!!!

Viongozi wa serikari kigoma na viongozi wa chama tawala CCM mnapaswa kujitafakari kwa kuacha wanawake na wazee wadhalilishwe na WAHUNI.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Nadhani unasema kitu ambacho unasimuliwa na haujui lolote kuhusu hiyo operation,nakuhakukishia Kwa mtu ambaye hana huo uchawi hana wasiwasi , maana nyumba nyingi zimepitiwa na ziko salama, Kwa hiyo usiseme ambacho haujui
 
Inaonekana unaongea kitu ambacho haujui sisi wenyeji wa hayo maeneo tunajua kiundani zaidi vifo vya kipuuzi sana vinavyotokea huko.
Maeneo yote yanayoendekeza imani za kishirikina, huwezi kukuta kuna huduma bora za kijamii! Mfano zahanati, vituo vya afya, hospitali, shule na vyuo vya kutosha, barabara za uhakika, nk.

Mtu anakufa kwa ugonjwa wa kuambukizwa/usio wa kuambukizwa! Lawama anabebeshwa ndugu/jirani/mwananchi mwenye maendeleo!!


Elimu
Elimu
Elimu. ✍️
 
Watu wanateseka sana kwa kufiwa na wapendwa kwenye vifo vya kutatanisha,kwa hao wachawi acha tu kamchape wafanye kazi Yao, uzuri ni kazi wanaifanya mchana kweupe mbele ya watu na hakuna Cha Kuficha na mtu kama ni mchawi kweli anasema bila hata kulazimishwa na anatoa mauchawi yake na anataja yeye mwenyewe na thamani ya uchawi huo ,Mimi naunga mkono ndoo maana zaidi ya asilimia kubwa ya wananchi wanaunga mkono isipokuwa wachawi au familia zao .Niko kigoma ambapo zoezi linafanyika watu Wana furahi sana.

Mkuu vip kama kaya moja mtu akaenda kuzika huo uchawi ili awafanye waonekane wachawi
 
Maeneo yote yanayoendekeza imani za kishirikina, huwezi kukuta kuna huduma bora za kijamii! Mfano zahanati, vituo vya afya, hospitali, shule na vyuo vya kutosha, barabara za uhakika, nk.

Mtu anakufa kwa ugonjwa wa kuambukizwa/usio wa kuambukizwa! Lawama anabebeshwa ndugu/jirani/mwananchi mwenye maendeleo!!


Elimu
Elimu
Elimu. [emoji3578]
Ni kweli uchawi upo,na hao wamekuja kuutoa
 
Wako vizuri tu, kuutoa uchawi, make wachawi wanakera sana kwenye jamii, kama wanajitolea kila kaya, 5,000 kwa hiari sawa tu, huwezi kulinganishwa na utapeli unaofanyika makanisani, wachugaji wanawatapeli sana, wananchi maskini, lakini hamsemi, kisa kimeazishwa na wazungu, mchugaji ananunua gari, la milioni 200. kwa sadaka za waumini wake alafu wao wanakosa hela ya chuvi tu hamuoni kama, huo nao ujinga,?
 
Wako vizuri tu, kuutoa uchawi, make wachawi wanakera sana kwenye jamii, kama wanajitolea kila kaya, 5,000 kwa hiari sawa tu, huwezi kulinganishwa na utapeli unaofanyika makanisani, wachugaji wanawatapeli sana, wananchi maskini, lakini hamsemi, kisa kimeazishwa na wazungu, mchugaji ananunua gari, la milioni 200. kwa sadaka za waumini wake alafu wao wanakosa hela ya chuvi tu hamuoni kama, huo nao ujinga,?
 
Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.

Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !

Kuna kitu kinaitwa  KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?

Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.

Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.

Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.

Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!

Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!

Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !

Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?

Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?

Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.

Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu


Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
 

Attachments

  • Kigoma ushirikina.mp4
    49.3 MB
Usikie tu uchawi na wachawi, hawafai kutengamana na jamii. Hukumu ya mchawi ni kuuwawa. Hawa ndiyo visababishi vya umasikini. Utakuta wanaroga watoto wanashindwa kwenda shule. Wachawi wanakwamisha maendeleo ya watu. Kwa maoni yangu washughulikiwe kwa nguvu ili waache uchawi. KAMCHAPE OYEE
Jinga fulani wewe
 
Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.

Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !

Kuna kitu kinaitwa  KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?

Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.

Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.

Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.

Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!

Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!

Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !

Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?

Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?

Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.

Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu


Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Hao watu ni shida sana yaani walifika wilaya rungwe mbeya yaani wanakula kuku na mbuzi pamoja dada zetu .walikuwa wanalala.kambini wapingana miti ni shida
 
Kwa nini waandike mwanamke mchawi kuishi. Hawajaandika mwanaume mchawi ?

Biblia imeandikwa na watu kama mimi na wewe.
Mwanamke anazaa wewe Mwanaume tangu lini ukazaa? Mwanamke akitaka kuanzisha Jeshi la wachawi ni kugusa tu watoto wake wote anawaingiza
 
Lengo la hiyo operation ni kuondoa huo uchawi,amini nakwambia uchawi umetajwa hadi kwenye vitabu vitakatifu,kwa hiyo upo.Ambaye familia yake ni wachawi ndoo wanalalamika na hii operation.
Huwezi kuondoa uchawi kwa kutumia uchawi ndugu yangu, nenda Kigoma baada ya miezi sita kaulize kama Uchawi umeisha uone.
 
Back
Top Bottom