Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Mm naona Hilo jambo liendelee....Kule Kuna Imani za kishirikina sanaa....Kuna Vizika wazima...Kuna jamii Kule Huwa hawarudigi kwao.... kwenye mtiani wa form 6 Kuna jamaa mmoja wa Kigoma gafla akaanza kuanguka mapepo miaka 20 iliyo pita...

Yaan alifanya mitiani Kwa mbinde mapepo hayataki asome......


Hii ardhi hii imebeba mengi yaan acha tu.....DUNIA INA MAMBO KAMA WASEMAVYO WATU PORI...
Watolewe hao wanga. Hawa wanaottetea wasiotelew nao wanyolewe tu
 
Harakati za kuzuia hilo zoezi zilipelekea kituo cha polisi kuchomwa moto na magari ya polisi pia.

Huko ujinga ndiyo kwao!
 
Watu wanateseka sana kwa kufiwa na wapendwa kwenye vifo vya kutatanisha,kwa hao wachawi acha tu kamchape wafanye kazi Yao, uzuri ni kazi wanaifanya mchana kweupe mbele ya watu na hakuna Cha Kuficha na mtu kama ni mchawi kweli anasema bila hata kulazimishwa na anatoa mauchawi yake na anataja yeye mwenyewe na thamani ya uchawi huo ,Mimi naunga mkono ndoo maana zaidi ya asilimia kubwa ya wananchi wanaunga mkono isipokuwa wachawi au familia zao .Niko kigoma ambapo zoezi linafanyika watu Wana furahi sana.
 
Watu wanateseka sana kwa kufiwa na wapendwa kwenye vifo vya kutatanisha,kwa hao wachawi acha tu kamchape wafanye kazi Yao, uzuri ni kazi wanaifanya mchana kweupe mbele ya watu na hakuna Cha Kuficha na mtu kama ni mchawi kweli anasema bila hata kulazimishwa na anatoa mauchawi yake na anataja yeye mwenyewe na thamani ya uchawi huo ,Mimi naunga mkono ndoo maana zaidi ya asilimia kubwa ya wananchi wanaunga mkono isipokuwa wachawi au familia zao .Niko kigoma ambapo zoezi linafanyika watu Wana furahi sana.
Tuna safari ndefu sana kufikia kujikomboa kiakili!

Naelewa kwa nini Kigoma ni Mkoa uliotengwa na watanzania.

Ni aibu kujiita muha. Maana naona kabisa Muha = majuha!

Wenzetu wa Mikoa ya kaskazini wanachanga fedha kujenga shule, vituo vya afya nk.

Kigoma mnachanga fesha kudhalilisha Mkoa wenu kutangazia dunia kuwa ninyi ni washirikina, wachawi kwa kuongozwa na makanjanja wasiojali heshima na haki za binadamu!!!

Viongozi wa serikari kigoma na viongozi wa chama tawala CCM mnapaswa kujitafakari kwa kuacha wanawake na wazee wadhalilishwe na WAHUNI.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu wa Kigoma mmendekeza tabia za kichawi sana, sijui mtaacha lini. Mwendo wa ushirikina tu!!!!
 
Watu wanateseka sana kwa kufiwa na wapendwa kwenye vifo vya kutatanisha,kwa hao wachawi acha tu kamchape wafanye kazi Yao, uzuri ni kazi wanaifanya mchana kweupe mbele ya watu na hakuna Cha Kuficha na mtu kama ni mchawi kweli anasema bila hata kulazimishwa na anatoa mauchawi yake na anataja yeye mwenyewe na thamani ya uchawi huo ,Mimi naunga mkono ndoo maana zaidi ya asilimia kubwa ya wananchi wanaunga mkono isipokuwa wachawi au familia zao .Niko kigoma ambapo zoezi linafanyika watu Wana furahi sana.
Mkuu zimo zote unasapoti ujinga?
 
Huu upumbavu wanafanya wana jamii na siyo mganga. Jamii wanaunda kikosi kuja kukusanya hela (sungusungu) na kumpa mganga, hugawana ndo maana wanakomalia kudaiu
Nchi hii ina wajinga wengi sana


Kwa mwendo huu wazawa matajiri wataendelea kuwa wachaga tu milele.

Moshi ama uchagani huyo mganga angechapwa viboko na kila kaya ambayo angeenda kuomba hiyo buku 5.

Mganga wa kienyeji hana nafasi uchagani
 
Zamani sana nikiwa primary school niliwahi kuona huo ujinga huko Moshi kuna lijamaa lilikuwa linajiita profesa maji marefu linazungukia vijiji eti kutoa uchawi.
unamzungumzia profesa maji marefu yule aliyekuja kuwa mbunge wa Korogwe?
 
Nimejikuta nawakumbuka wale jamaa wanao fanya fumigation eti serikali ya mtaa imewaruhusu, niliwaambia sisi tunatumia detergents bora kuliko zenu na siwezi kuruhusu mpige dawa hapa hatuna hela ya kuwalipa pia. na kama mnaweza kufungua mashitaka nendeni popote nitakuja,, hawakuja tenaaa mpk leo wajanja wajanja wanaopitia serikali ya mtaa
 
Zamani sana nikiwa primary school niliwahi kuona huo ujinga huko Moshi kuna lijamaa lilikuwa linajiita profesa maji marefu linazungukia vijiji eti kutoa uchawi.
Moshi maeneo ya milimani uchagani hawana upuuzi wa kuamini ujinga huo. Moshi chini ukanda wa tambarare vijiji vya kata ya Arusha Chini, Kahe na maeneo jirani wenyeji wake wanahusudu sana imani za kishirikina, kuna watu wa mikoa fulani wamehamia huko kuvua samaki nyumba ya mungu wanaamini sana waganga tapeli, na matapeli hao humiminika huko kuvuna pesa za wajinga wasio na elimu
 
Serikali yote ya Mkoa inatakiwa kuwajibishwa pamoja na vyombo vyote vya dola mfano Polisi, nk. kwa kuruhusu huo upuuzi kufanyika katika jamii.
 
Back
Top Bottom