Huyo muweka uzi ni muongo. Mtu halazimishwi kutoa fedha. Fedha zinachangwa kwa hiari. Na fedha hizo ni kwaajili ya wanaowasaidia hao wataalamu kufanya shughuli yao. Hao wataalamu hawachukui hata mia mbovu.Viongozi wote wa kigoma hawalioni hili ?
Tusema viongozi wa CC wamelipitisha, mtu unalazishwa kutoa afu5 na fimbo juu . Asee [emoji119]
Wachawi mnahaha sana, inaathiri Nini kwani hao wapumbavu wakinyolewa uchawi ili maendeleo yapatikaneSerikali yote ya Mkoa inatakiwa kuwajibishwa pamoja na vyombo vyote vya dola mfano Polisi, nk. kwa kuruhusu huo upuuzi kufanyika katika jamii.
Wananchi ndio wanawachangia hawa jamaa kwa hiari yao. Hakuna analazimishwa na fedha hizo ni kwaajili ya wanaowasaidia hao wataalamu kufanya shughuli yao. Hao wataalamu hawachukui hata mia mbovu.Wanakijiji wa Kigoma Wana maoni gani? Ikipigwa kura ya maoni Huko Kigoma.
Kwamba kamchape wake au wasije?
Wananchi wengi watakuwa upande gani? Unavyohisi wewe
Tulia wakimaliza Kigoma wataenda mikoa mingine.Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Kwani ye ni mchawi piaWaziri Mpya wa TAMISEMI atawakomesha ma RC and DC wanao ruhusu huu ujinga
Kama wanatoa kwa hiari Yao shida nini,mbona watu wanatoa kanisan kwa hiariHaya yanafanyika hata huko songwe na chunya.Ni nani huwa anawaruhusu hawa wapuuzi? Hivi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ndo wakuu wa ulinzi na usalama kazi yao ni nini dhidi ya kuwalinda wananchi hasa kwenye upuuzi kama huu?
Tanzania nchi ya hovyo sana
Kigoma wananchi wapinga agizo la DC wataka uchawi ukomeshwe.Haya yanafanyika hata huko songwe na chunya.Ni nani huwa anawaruhusu hawa wapuuzi? Hivi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ndo wakuu wa ulinzi na usalama kazi yao ni nini dhidi ya kuwalinda wananchi hasa kwenye upuuzi kama huu?
Tanzania nchi ya hovyo sana
Wengi Wana unga mkono wachapweWanakijiji wa Kigoma Wana maoni gani? Ikipigwa kura ya maoni Huko Kigoma.
Kwamba kamchape wake au wasije?
Wananchi wengi watakuwa upande gani? Unavyohisi wewe
Unaweza kutuwekea uthibitisho wa chura huyo mkuu? Tupe kavideo basi mkuuSasa Kigoma Anachukiliwa Chura Wale Wakubwa sana
Kawekwa kwenye Kitambaa chekundu Kisha wakiingia Ndani wanatoka eti wamenasa Kitu kibaya Wanakiweka Chini kina ruka au Kutikisika Basi Wananchi wanaamini Kimetilewa Kitu
Haya mambo si ndiyo yalimfanya Ali Hassan Mwinyi mpaka ajiuzulu u Waziri wa Mambo ya Ndani?Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Bank zote freemason wamezindika hakuna jini Wala mchawi anaweza chukua Hela bank.Huyo mganga si ayatume majini yake yaende Benki yeyote ya karibu yakachukue hela kuliko kuanza kuchangisha wananchi ambao ni choka mbaya?
Usikie tu uchawi na wachawi, hawafai kutengamana na jamii. Hukumu ya mchawi ni kuuwawa. Hawa ndiyo visababishi vya umasikini. Utakuta wanaroga watoto wanashindwa kwenda shule. Wachawi wanakwamisha maendeleo ya watu. Kwa maoni yangu washughulikiwe kwa nguvu ili waache uchawi. KAMCHAPE OYEE
Sijui ila kuna jina hilo nalikumbukaunamzungumzia profesa maji marefu yule aliyekuja kuwa mbunge wa Korogwe?