Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Kinachoendelea Kigoma kuibua wachawi ni udhalilishaji, upuuzi na uchonganishi

Haya yanafanyika hata huko songwe na chunya.Ni nani huwa anawaruhusu hawa wapuuzi? Hivi wakuu wa mikoa na wilaya ambao ndo wakuu wa ulinzi na usalama kazi yao ni nini dhidi ya kuwalinda wananchi hasa kwenye upuuzi kama huu?


Tanzania nchi ya hovyo sana
Hao wakuu wa wilaya wanasubir mpaka litolewe tamko kutoka juu ndio wali react, Bure kabisa hawaoni kama hiyo ni dalili ya uvunjifu wa amani? Wamezoea ku deal na wapinzani tu .
 
Nimecheka sanaa Kuna bwana mmoja dereva wa bajaji alikamatwa na traffic [emoji613] wakawa wanaelekezana jamaa akawa kaandikiwa fainí.....JAMAA AKACHOTA UNYAYO WA TRAFFIC NAKUWEKA KWENYE LESSO[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Traffic kuona vile akamfuata ukaibuka ugomvi mkubwa wa maungoni trafick anataka ule mchanga jamaa anasema hajachukua chochote mpaka mkubwa wa trafick alikua anapita akawaona akaenda kusuluisha...
Alisuluhishaje mkuu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Alisuluhishaje mkuu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ma trafick wa mkoa wa dar es salaam na pwani wanajua Mengi...wameshuhudia mengi 😊 😊☺️ inasemwa ivyo

Imagine mtu ana chota UNYAYO WA TRAFFIC 🤓🤓🤓🤓
 
😂😂😂😂So uchawi unachagua sehemu yenye watu maskini na wajinga au sio
Uchawi unadumaza maendeleo. Swala sio kuwepo na watu wajinga. Wako watu smart ila unakuta wazawa wa eneo lile walikuwa wachawi sana. Wameacha madude yao yanaranda randa na kuharibia watu maisha.
Uchawi na umaskini ni Pete na kidole. Hayo maeneo wengi ni kabila gani wamakonde au?
Eneo la Wazaramo lile.
 
Sawa....

Uchawi kweli upo....binafsi ninaamini hayo....

Ila "operations" hizo zinaweza hata kuingiza na wasiohusika kabisaaaa......

Chuki na visasi vinaweza kutumika kudhalilisha na kuumiza wengine....

Hivi kila RAMLI inayopigwa na mganga akiwa "sober" ama akiwa na "walimu vichwani" ni SAHIHI 100%?!!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
Maendeleo yanakuja na changamoto zake, ndiomaana Kuna watu wanahomolewa nyumba zao ili jamii ipate barabara. Sasa akinyolewa dingiako lakosa alafu Jirani mchawi akaimbuliwa, we unaonaje.
 
Uchawi unadumaza maendeleo. Swala sio kuwepo na watu wajinga. Wako watu smart ila unakuta wazawa wa eneo lile walikuwa wachawi sana. Wameacha madude yao yanaranda randa na kuharibia watu maisha.

Eneo la Wazaramo lile.
Huko ni kama huku kwetu panaitwa Mgeninani. Sio poa! Kuna uchawi wa kibabe mzee Hali mbaya watoto wakike wanapandisha maruhani kila siku
 
Uchawi unadumaza maendeleo. Swala sio kuwepo na watu wajinga. Wako watu smart ila unakuta wazawa wa eneo lile walikuwa wachawi sana. Wameacha madude yao yanaranda randa na kuharibia watu maisha.

Eneo la Wazaramo lile.
Wazaramo na mambo hayo ni kama Pete na kidole. Wao maeneo yakianza kupata maendeleo wanauza na kuhamia porini
 
Africa haiendelei kwa sababu ya uongozi mbovu, uvivu, elimu duni na mawazo kama ya haya ya zama za giza.
Sikiza mkuu, unajua ninachozungumza nakielewa, hv unajua Uvivu ndo unabeba elimu duni, uongozi mbovu? hata wewe hujielewi hapa...

Unafahamu madhara ya uchawi? Ama isije ikawa hata uchawi huamini kama upo.
 
Uchawi wa kisenge sana. Mchawi anaweza kukukwamisha kimaisha kwa wivu tu wa kipuuzi bila sababu yeyote anakufungia maisha yako yasiendelee.
Mkuu nimeshawahi kukaa Kasulu mwezi 1 Kikazi, sasa nalala Kasulu, shughuri zangu nafanyia Vijijini, kuna siku nikawa na Mwenyeji tukatembea kwenye Kijiji kimoja.... Nakuta Nyumba zisizoisha, Maghofu, ila ukiangalia unaona House plan ya kimjini kabisa, namuuliza mwenyeji wangu, mbona hiki Kijiji watu hawamalizii Nyumba zao..!!

Akaanza kunionyesha kila Ghofu la Nyumba, unaona lile Ghofu pale, mwenyewe alikua anaishi Dar, akapata pesa akaja kujenga kwao, Nyumba ilipofikia vile akaumwa Ghafla akafa.....

Unaona lile Ghofu paleee, mwenyewe alikua kijana tu akiishi Mwanza, akarudi kijijini kuja kujjenga, nyumba haijaisha akafa, Wastani wa Nyumba 10 hivi, zote Vijana walikufa walipoenda tu kijijini kwao kujenga....!

Watu wa Kigoma wanajua wanachokifanya, wanajua matatizo yao, na ubaya nj kwamba Kesi ya Uchawi huwezi kwenda kushtaki Police!

Wacha wa deal nao kwa namna yao.
 
😂😂😂😂Okay uwepo wa Mungu utasema cjui jua sijui chupi imetokea wapi...so tuachane na hayo...una ushahidi gani wa mapepo kuwepo au mizimu kuwepo. Leta ushahidi unaoeleweka sio story za bibi yako Kijiji ambacho mtu mwenye elimu kaishia la Saba....
Mkuu....!
Kama huyajui ya hii Dunia....
Nikaushie.....!
Endelea na mambo yako...!
 
Mkuu nimeshawahi kukaa Kasulu mwezi 1 Kikazi, sasa nalala Kasulu, shughuri zangu nafanyia Vijijini, kuna siku nikawa na Mwenyeji tukatembea kwenye Kijiji kimoja.... Nakuta Nyumba zisizoisha, Maghofu, ila ukiangalia unaona House plan ya kimjini kabisa, namuuliza mwenyeji wangu, mbona hiki Kijiji watu hawamalizii Nyumba zao..!!

Akaanza kunionyesha kila Ghofu la Nyumba, unaona lile Ghofu pale, mwenyewe alikua anaishi Dar, akapata pesa akaja kujenga kwao, Nyumba ilipofikia vile akaumwa Ghafla akafa.....

Unaona lile Ghofu paleee, mwenyewe alikua kijana tu akiishi Mwanza, akarudi kijijini kuja kujjenga, nyumba haijaisha akafa, Wastani wa Nyumba 10 hivi, zote Vijana walikufa walipoenda tu kijijini kwao kujenga....!

Watu wa Kigoma wanajua wanachokifanya, wanajua matatizo yao, na ubaya nj kwamba Kesi ya Uchawi huwezi kwenda kushtaki Police!

Wacha wa deal nao kwa namna yao.
Mchawi hahitaji chanzo alimradi tu unafanya jambo ambalo ana wivu nalo basi atakuangamiza tu au kukuharibia.
 
Kuna raia wa Kongo kwa kushirikiana na Watanzania wanatesa wananchi kwa kuwapiga, kuwapora pesa, mifugo, mazao kwa kisingizio cha uchawi. Ni kama vile serikali ya mkoa na wabunge wako uhamishoni.

Ni mateso makubwa sana kiasi kwamba ingefaa serikali yote ya mkoa ya ccm ingejiuzuru kwa kushindwa kuwalinda raia na mali zao.

Uhuni huu umefanyika kwa kipindi kirefu sasa na police wanajua lakini wanachukua rushwa na kuwaacha matapeli waendelee kutesa wananchi.

Hayo nimeyaona wilaya za Uvinza na Buhigwe.

Serikali kwa maana ya waziri mwenye dhamana (waziri wa mambo ya ndani) ichukue hatua haraka sana au Waziri ajiuzuru.

Nawasilisha
 
Hao raia wa kigoma wamezidisha uchawi na kuroga watu ndio maana hata maendeleo huko yanachelewa sana,inafikia hatu raia wakawaida tu wauza mawese wanawatishia watumishi wa uma kama madiwani,polisi,madaktari nawengineo kuwaroga! Huko kigoma hakuna amani kabisa yakukaa hasa kwa wageni wanaoajiriwa au kutafuta maisha! Yaani ni uchawi tu kwenda mbele hakuna haja yakuwatetea hao.
 
From kigoma sasa,,,, acha wachawi wachapwe maana wanatutesa sana, mtu inajenga nyumba au chawi inakuja inakuroga, hii ni ujinga sana
 
Back
Top Bottom