Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Ni mzushi tu. Kwanini hakutafuta ushahidi ili aje aweke? Naomba uniwekee video hata ya Dakika moja tu ya dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika utawala uliopita.
Mpaka uwekewe ina maana wewe huna kumbukumbu? Yaani unataka mtu awe ametunza video clips za zaidi ya miaka 10 iliyopita kwa matarajio kuwa kuna wakati watakuwepo watu ambao hupoteza kumbukumbu vichwani mwao kila wakati.

Wenye akili timamu, ma wenye kumbukumbu wote wanafahamu namna Dr. Slaa alivyokosoa utawala wa Mkapa kwenye masuala ya madini. Mwalimu Nyerere naye pia alikosoa utawala wa Mkapa kwenye ubinafsishaji. Alimkosoa pia Mwinyi kwa kutozingatia katiba.

Pia wenye kumbukumbu nzuri wanafahamu namna TEC ilivyoukosoa vikali utawala wa Magufuli kwenye masuala ya haki za watu. Lakini pia TEC wamekosoa vikali jinsi utawala wa Samia kwa kuwapa wageni bandari kupitoa IGA ya hovyo kabisa, kuliko yoypte ile katika Ulimwengu huu. Sambamba na ukosoaji wa chama cha wanasheria nchin, chamba ambacho kina wanachama wa imani zote
 
Hizi taka taka sijui kwanini wanapewa simu.
 
Unamaanisha mineral laboratory technician?
 
Swali fupi na dogo lakini wewe unajaza pumba tupu. Nimesema niambie Dkt Slaa alikosoa kitu gani na jambo gani katika utawala wa awamu ya Tano? Uzi na andiko langu yalihusiani na habari za TEC. Au unataka kuniambia kuwa mawazo ya Dkt Slaa huwakilisha kanisa la katoliki ambalo yeye binafsi alishakiuka viapo vyake vya upadri?
 
Poa. Mange yeye alimkosoa na Magu.
Tumsikilize yupo part 6 sasa hivi
 
Umehamia kwenye udini kama ndugu yako Ally Hapi baada ya jitihada nyingine kushindikana? Udini unakata kotekote, hauna manufaa...
Ndio maana nawapinga sana watu naowaona wakitaka kuleta Udini na chuki binafsi zinazochochewa na ubaguzi.
 
Ndio maana nawapinga sana watu naowaona wakitaka kuleta Udini na chuki binafsi zinazochochewa na ubaguzi.
Wakemee basi na hao akina Ally Hapi na Mashehe wote waliosema waislam waichague CCM kwa sababu ya Uislam wa Samia. Au tukuletee ushahidi hapa?
 
Unaweza ukathibitisha kwa ushahidi ili na sisi wengine tufaidike ambao hatujawahi kumsikia Dr. SLAA akizusha uongo juu ya Raisi?!
 
Mbona na wewe unatembea kwenye nyayo hizo hizo unazosema Slaa anazo?
Unashindwa hata kuweka mifano tu ya tuhuma anazozusha?

Umekuwa ukitapatapa sana; lakini sasa naona huku kutapatapa kwenu kunaanza kuwa ni kurusha mateke, na hatimae mtakata roho tu, hakuna namna nyingine.
Umekuwa mashuhuri wa "kububjikwa machozi"; lakini sasa machozi yanageuka kuwa damu. Hamponi ng'o safari hii.
 
Kwa hiyo kama hali ni hii, kinachokuhangaisha humu ni kitu gani?
Ninapomwona chizi, na kumbatiza kwa jina hilo, huwa sikosei hata mara moja.
 
Umenena vema kuwa siyo muislam. Na inawezekana pia siyo mkristo, bali una jina la Kikristo.
Wanajulikana vizuri humu JF waliojipachika majina kwa lengo maalum. Huyu ni mmoja; akina Steve Ntamusana nao wamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…