Kinachomsumbua Dkt. Slaa ni udini na chuki binafsi kwa Rais Samia

Mjinga wewe tuambie kwanini aliteuliwa marehemu wewe ukaachwa?
Maswali ya kitoto haya. Unafahamu alifariki tarehe ngapi na saa ngapi? Unafahamu kuwa uteuzi hufanyika kabla ya siku ya kutangazwa? Hujawahi kuona barua ikisema uteuzi huu ulianza siku fulani ambapo unakuta ni karibu Wiki moja kabla ya siku ya kutangazwa rasmi kwa uteuzi?
 
Sasa ulitaka Dk.Slaa awe chawa wa Mama?
Kama wakati wa JK (ambaye ni Muislam) Dk.Slaa hakuwa na chuki naye za Udini,inakuwaje awe na Chuki za Udini kwa Mama?
Basi wewe ni msahaulifu sana au ulikuwa haujaanza kufuatilia siasa za nchi hii. Hivi mara hii umesahau vurugu za dkt Slaa wakati wa Mheshimiwa Kikwete?
 
Acha uchawa wa kijinga wewe wenzako wanateuliwa hata wakiwa wameshakua marehemu wewe unaandika maandishi yasiyo na mshiko ndio maana uteuzi utaendelea kukupita
Kwani wapi nimesema kuwa natafuta uteuzi hapa .au wewe upo hapa kutafuta uteuzi.
 
Wala si kweli,ni sawa kabisa Samia kusemwa,anafanya mambo ya ajabu sana,infact analidhalilisha Taifa,kama huoni hivyo,basi wewe ni kilaza.Watu wanaiba tu hakuna hatua zinazochukuliwa,wananchi wamekuwa wageni katika nchi yao,dhuluma imetamalaki kwenye taifa,wananchi hawapati haki zao za msingi,uovu umetawala nk.nk.watu wamsifie,na si tutakuwa vilaza basi.

Halafu of late kafanya jambo la ajabu sana, Rais unakuwa summoned kama mtoto na Rais mwingine!Hata Traore Rais mdogo kabisa wa Burkina Faso aliona ni upuuzi, wa kwetu kaona ni fursa,shameful indeed. Rais unatembelea nchi nyingine unakaa for seven days!Disgusting and despeacable.
 
Kwahiyo mpk mnatangaza mlikuwa hamjui kama ni marehemu? kama mnashindwa kujua vitu vidogo hivi mtaweza kujua mambo makubwa kama mikataba ya nchi na nchi ndiyo maana maza alimteua DG wa bandari Mwenyekiti wa UVCCM, usivyo na akili japo upo UWT hujui mtu yoyote anayeteuliwa na Rais kabla ya kutangazwa anakuwa kwenye uangalizi wa DSO lakini huna akili wala hujui maana ya vetting, mshamba mkubwa wewe.
 
Ni mambo ya hovyo kabisa hata hii aibu ya kwenda kukaa siku 10 kwenye nchi ya watu serious na kuanza kuteua utadhani uteuzi ni jambo la dharura kama vile hatorudi tena nchini.
 
Unaweza niwekee video hata ya Dakika moja ikimuonuesha dkt Slaa akikosoa jambo lolote lile katika awamu iliyopita?
 
Kweli wewe akili yako imepofuka kabisa eti uangalizi wa DSO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…