Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuambie ni Rais wa nchi gani anateua akiwa nje ya nchi kama huyu? uteuzi ni dharura? DP World tuliambiwa wakiingia bei zitashuka zimeshuka au zimepanda?Kwa hiyo ujinga wa kutetea uzushi na uongo mnaofanya ndio Taifa hilo? Au umeamka na vimiminika vyako .
Kwa hiyo alifanya uteuzi akiwa Korea mkuu?! Serious?Ni mambo ya hovyo kabisa hata hii aibu ya kwenda kukaa siku 10 kwenye nchi ya watu serious na kuanza kuteua utadhani uteuzi ni jambo la dharura kama vile hatorudi tena nchini.
Ndio maana nimekwambia Rais anaweza fanya uteuzi hata Wiki moja kabla na ukaja ukatangazwa baadaye akiwa hata nje ya nchi.uteuzi haufanyiki siku hiyo hiyo kama unavyofikiria wewe na akili yako hiyo ndogo na mgando.Tuambie ni Rais wa nchi gani anateua akiwa nje ya nchi kama huyu? uteuzi ni dharura? DP World tuliambiwa wakiingia bei zitashuka zimeshuka au zimepanda?
Huna akili, kwahiyo hajui hata anaowateua kama wapo hai ama la?Ndio maana nimekwambia Rais anaweza fanya uteuzi hata Wiki moja kabla na ukaja ukatangazwa baadaye akiwa hata nje ya nchi.uteuzi haufanyiki siku hiyo hiyo kama unavyofikiria wewe na akili yako hiyo ndogo na mgando.
Sasa kwani yupo wapi?Kwa hiyo alifanya uteuzi akiwa Korea mkuu?! Serious?
Hivi dogo unaanzia wapi kuniita mimi mjinga. Hivi kwa akili yako hiyo unaweza linganisha akili yangu na yako.Huna akili, kwahiyo hajui hata anaowateua kama wapo hai ama la?
Mkuu Mimi naamini this country has already been handed over to Satan,ni uongo tu unaotembea,mauaji ajalini and destruction of the nation everywhere.In Education,Agriculture,Moral values,Health,Economy etc.etc.So painful.Tuambie ni Rais wa nchi gani anateua akiwa nje ya nchi kama huyu? uteuzi ni dharura? DP World tuliambiwa wakiingia bei zitashuka zimeshuka au zimepanda?
Watu mna maneno ati kabati la meno 🤣🤣Ndugu yetu huyu Lucas Mwashambwa anatumia kichwa chake kama kabati la meno, ni maamuzi yake na wala hatuna la kumfanya zaidi ya kumsikitikia.
Usitulitee mawazo ya kikabila hapa.hayo ni mawazo ya kijima na yanayopofusha akili na mawazo ya mtu.Mwashambwa analinajisi kabila lake lililojengwa heshima kubwa hapa nchni
Maoni tofauti yapi sasa.kwani nani kakuzuia kutoa maoni yako.Au hizi nyuzi za machawa msiwe mnaziwekea comment section, maana hamko tayari kupokea maoni tofauti
Mimi sichochei Udini bali nimekuwa nikipinga sana mawazo ya kibaguzi kwa misingi ya Udini , ukabila,ukanda ,ujinsia n.k.Udini? Hujasiki Ally Hapi kule singida kaingia msikiti mkuu wa Taqwa na kuongea siasa za kibaguzi akitumia dini yake na kutoa kitita cha hela ili samia aombewe dua na aungwe mkono na dini yake kwa kuwa ni muumini wa dini hiyo? We kijana mpiga zumari wa chama chako hebu acha kuchochea udini kwenye siasa hatutaki upuuzi huo
Wewe inatakiwa ufungiwe kabisa kushiriki mijadala humu jukwaani. mpaka utakapo kuwa na nidhamu na kutumia lugha za staha, heshima na adabu na siyo haya matusi unayotukana bila sababu yoyote ile.Uongozi wa JF umekuwa wa Kijinga sana tangu max achaguliwe kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi, mara kadhaa mmekuwa mkifuta michango ya wadau mfano mimi hapa, maoni yangu yalikuwa na ubaya gani????!!! ama ndio maelekezo toka juu??? Shenzi sanaaaa
Wewe ndiye umejikabizi kwa shetani na kumtumikia shetani. Lakini Taifa letu linaendelea kulindwa na mkono wa Mungu.ndio maana ya kuendelea kutamalaki kwa amani na utulivu hapa NchiniMkuu Mimi naamini this country has already been handed over to Satan,ni uongo tu unaotembea,mauaji ajalini and destruction of the nation everywhere.In Education,Agriculture,Moral values,Health,Economy etc.etc.So painful.
Mkuu Mimi naamini this country has already been handed over to Satan,ni uongo tu unaotembea,mauaji ajalini and destruction of the nation everywhere.In Education,Agriculture,Moral values,Health,Economy etc.etc.So painful.
uwe unafanya hivyo hata na kwa wanasiasa wa chama chako. Ondoeni kibanzi machoni penu, kemeeni udini, ukanda, ukabila na mengine ya kipuuzi. Kama wanasiasa wenu wapuuzi msipowakemea sisi waumini wakija kwenye nyumba zetu za ibada tutawakemeaMimi sichochei Udini bali nimekuwa nikipinga sana mawazo ya kibaguzi kwa misingi ya Udini , ukabila,ukanda ,ujinsia n.k.
Luca sisiemu ni wakuwahurumueni mno,hata kichaa hawezi mwonea wivu wala kuwa na chuki na sisiemu kwani ni wakuwahurumieni tu,zaidi zaidi mnahitaji msaada angalao mweze kuendelea kujibeba🫠Ndugu zangu Watanzania,
Kama ni Wafuatiliaji wazuri wa siasa za nchi hii mtakubaliani nami na ukweli kuwa Dkt. Slaa amekuwa na Udini mkubwa sana ndani ya kifua chake. Amekuwa na chuki binafsi sana kila inapotokea utawala uliopo madarakani ni wa upande wa pili yaani Uislamu. Amekuwa ni mtu mwenye chuki, vurugu na mzushi wa masuala mbalimbali ili kuwachafua viongozi wetu hasa Rais pamoja na kumchonganisha na Wananchi.
Unaweza muangalia Dkt Slaa wa wakati wa Mheshimiwa Kikwete, wakati wa Hayati Dkt Magufuli na wakati huu wa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan. Utagundua ya kuwa anaongozwa zaidi na Udini pamoja na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais.
Hali hiyo imempa upofu wa akili na macho katika kujadili hoja. Ndio sababu unaona anakuwa akizusha mambo mbalimbali ya uongo na uchonganisha kwa lengo la kutaka kuifanya serikali ichukiwe na wananchi. Jiulize kama umewahi kumuona au kumsikia Dkt Slaa akikosoa kitu chochote kile katika utawala uliopita. Unafikiri ni kwanini? Jibu ni Udini tuu ndio muongozo wake. Ndio maana kwa Udini wake yupo tayari kuzusha lolote na kusema uongo wowote ule ili serikali ichukiwe na kuleta taharuki pale inapokuwa ikiongozwa na muislamu.
Lakini ni huo huo Udini wa Dkt Slaa anaweza kufumbia macho kitu chochote kile na kutetea kila jambo ikiwa tu ni wa upande wa Dini yake. Ndio maana katika uzushi anaoongea huwezi ukaona akiweka ushahidi wa aina yoyote ile mezani kuthibitisha madai yake ya uzushi na uongo. Hawezi akaweka nyaraka yoyote ile kuthibitisha maneno yake.
Watanzania tunapaswa kumpuuza na kukataa kabisa kuingia katika mtego wa Dkt Slaa wenye lengo na ajenda ya chuki binafsi na Udini kwa kutunga vitu vya kizushi na uongo. Tumkatalie zidi ya ajenda zake chafu za kumchafua Mheshimiwa Rais na tumkemee kwa nguvu zote. Tumwambie kama ana ushahidi wa lolote lile anapokuwa akizungumza hadharani basi atuwekee kwanza ushahidi.
Napenda kumalizia kwa kusema kuwa dkt Slaa hata fanikisha ajenda zake za Udini na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais, na wala hatafanikiwa kumchafua kwa namna yoyote ile kama ambavyo amekuwa akifanya jitihada za kutaka kumchafua Rais wetu na kumjengea taswira mbaya kwa wananchi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.