Nafarijika kuona watu wachache wenye mawazo mapana kama wewe bado mpo nimeona mleta mada kawaokota makondoo wengi wanamsapoti bila kusoma na kumuuliza maswali muhimu ndio maana hapa inaashiria kabisa kuna kundi la wajinga wengi mno hawachunguzi kama kuna upotoshaji au la nasi wanamsapoti kiupofi na kufuata hisia .Ni mpotoshaji, hazijui dini zote mbili ameleta porojo tu hapa, ajabu wapo wanaomuona anajua, wakati hajui kitu.
Mbona unakimbia maswali na unachagua comment ya kiniQuote ile comment yangu ya kwanza yenye maswali umeiacha wakati ndio ya kwanza na kukimbia hii kama sio udhaifu ni nini ? twende taratibu kila mtu ajibu maswali ya mwenzake mimi nipo verry flexible na ni msimu huru ndio maana katika maisha nimejaribu kusoma na kujielimisha kuhusu dini na madhehebu tofauti ya kile ninachoamini mpk vitabu vya Budha wakina Rama ninavyo sasa unapoanzisha hoja na mijadala lazima ukubali kutetea ,kujibu maswali ili watu kuelimika zaidi ndio maana katika comment uliyoikimbia nikisema niko tayari kufuata imani yako ikiwa yale maswali ungenijibu..
Mjinga utakosa kuwa wewe ambae bado una amini katika dini mkuu!!Nafarijika kuona watu wachache wenye mawazo mapana kama wewe bado mpo nimeona mleta mada kawaokota makondoo wengi wanamsapoti bila kusoma na kumuuliza maswali muhimu ndio maana hapa inaashiria kabisa kuna kundi la wajinga wengi mno hawachunguzi kama kuna upotoshaji au la nasi wanamsapoti kiupofi na kufuata hisia .
Usilale chaliPamoja sana mkuu.ktk vitu ambavyo huwa siogopi nihivo majini,mapepo sijui na wanga.ila juzi niliweweseka sana kuna jini lilikuja usiku likawa limekaa kitandani wakati huo mm nimelala chali nilikemea kwa sauti mpk wadogo wakaamka likasepa.
Dah basi mkuu hapo unajiona ndo utaenda peponi KWA sababu umetoa dahwa KWA alie potoka🤣🤣🤣🤣 usicho kijua ni kwamba maisha YAKO yangekuwa bora zaidi kama unge fikiri na kutafakari kuhusu maisha YAKO na uhusiano wako na Mungu nje Kitabu chako.Watu wamekuwa brainwashed sana tatizo limeanzia pale walipoanza kuwa wavizu kusoma na kufuatilia essence ya mafundisho ya kuwafanya watu kama Miungu Shekhe fulani au mchungaji fulani akisema ndio inakuwa sheria .
Binafsi mimi nikizungumzia upande wa Qu'ran mara tu nilipoanza kufuatilia kea kina essence ya mafundisho nilisikitika sana kwani kuna principle za mafanikio na nidhamu katika majambo mengi na wakati nimeanza kufuatilia nikagundua waislamu wengi tupo nje ya mfumo na maelekezo ya mule angalia waarabu mbona wanasoma Qur'an mara kwa mara na wametoboa ? tena sehemu nyingi tumehusiwa kujitafutia riziki kwa njia halali mpaka jinsi gani itimie kwa nidhamu imenainishwa wazi.
View attachment 2393357
View attachment 2393358
Waliosema religion is an opium of poor people ni mabwege wenzio wafuasi wa ukomunisti wakiongozwa na bwege lenzenu lililokubuhu marehemu Karl MarxNdo maana walisema religion is an opium of poor people.
Wewe umekalia mipasho mimi nakuuliza maswali na kuleta hoja unakimbia elewe sio wote humu wajinga wa kuwaokota ..1. Huna hoja mkuu .
2. Sihubiri ufuate imani yangu. Naona umenishusha HADI kwenye level za uislamu na ukristo ambao KILA kukicha kila dini huubiri watu wa dini nyingine wabadili dini. I can't go that low.
Wala sipo hapa KWA ajili ya kubishana.
Theme ya uzi wangu ime eleweka.
Kwenye hilo andiko ulilo li quote Yesu alikuwa ana wa address watu wenye mindset kama YAKO. Lazima ujue watu wenye mindset kama YAKO wapo toka zamani.Yesu alifundisha kuomba sio kuvuta bangi
Uislam ni mfumo wa maisha ya mwanadamu na majini uliotoka kwa Mungu. Una sheria na taratibu jinsi gani mtu anayetaka kupata salama mara baada ya kufa kwake aishi ama kwa wale ambao wamejitungia mifumo yao kama wewe LIKUD basi ishini mpendavyo kwasababu hakuna kulazimishana katika dini...anayetaka aamini na asiyetaka asiamini..ila majibu mimi na wewd tutayapata pindi macho yatakapofumba, moyo kusimamisha mapigo yake na mwili ukashindwa kabisa kufanya kazi.Hapo ndipo tutakapojua nani alifaulu katika maisha haya na nani alifeli.Mfumo wa maisha ya mwanadamu ambao ume anzishwa na wanadamu wenyewe sio?
Mfumo wa maisha ya mwanadamu upo controlled na mfumo wa mwili wa mwanadamu na sio Kitabu kilicho tungwa na watu.
Muongozo wa maisha YAKO wewe mwanadamu unatoka ndani YAKO na sio nje YAKO.
Ninyi watu wa dini mnafeli KWA sababu mnaenda kuvitafuta nje vitu ambavyo tayari vimo ndani yenu.
Wake up bro achana na uzushi wa dini
Vp utushawishi kusoma na kuamini vitabu vilivyotungwa kwa fikira za mwanadamu asiyejua hata kesho yake?? Yaani nimuamini mwanadamu anayesema kuwa mimi ni Mungu??? Inaingia akilini kweli??Mnaobishia mleta mada;
Someni vitabu vya Metaphysics... hasa Neville Goddard.
Yes, sisi ni Gods, hakuna Mungu mawinguni watching over us!hahaa
Hapa napo nimekukamata.Ndio maana nilikwambia you are still a learner.
U have got a very little and limited understanding about the ways of the God Almighty.
Maandiko yanapo sema dunia iliumbwa KWA neno la Mungu hayamaanishi kwamba Mungu alikuwa anatamka kisha vitu vinatokea kama mazingaombwe.
Hell No! Mungu sio mwana mazingaombwe mkuu.
Yana maanisha dunia iliumbwa KWA order kutoka kwa Mungu.
Yani Mungu ali design road map ya uumbaji na vile anavyo taka dunia, ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake viwe, kisha akatoa plan, instructions, permission na oda KWA viumbe wake( malaika) ambao tayari ndani yao alisha weka maarifa mbalimbali waka tekeleze huo mpango wa uumbaji.
Mfano aliposema na iwe mimea. Maana yake alitoa oda sasa tunatengeneza mimea, maana yake malaika wakusanye raw materials zote zinazo husika na.kutengeneza mimea kisha wafuate maelekezo KWA kufanya moja mbili tatu ili mimea itokee.
Nakadhalika nakadhalika.
Ni SAWA tunaposema Mkapa alijenga uwanja mpya wa taifa , hatumaanishi kwamba Mkapa ndio alienda kuchanganya cement pale taifa la hasha bali tunamaanisha Mkapa alitoa plan, oda, ruhusa na fund uwanja wa taifa ujenge.
Tunaposema Magufuli kajenga stendi ya Mbezi hatumaanishi Magufuli alienda Mbezi kumwaga zege nope Magufuli alitoa plan, fund oda na ruhusa stendi ya Mbezi ijengwe.
Vivyo hivyo kwa Mungu.
Mungu sio mwana mazingaombwe mkuu . Ni Mungu wa utaratibu kanuni na mipango.
Mwanadamu amekuwa designed and genetically engineered
Halafu Mungu ni Mfalme. He doesn't do things by himself he instruct his servants to do things for him
Maswali ya msingi akiulizwa hajibu, anaruka ruka tu, anajidanganya bora abaki na msimamo wake usioeleweka.Nafarijika kuona watu wachache wenye mawazo mapana kama wewe bado mpo nimeona mleta mada kawaokota makondoo wengi wanamsapoti bila kusoma na kumuuliza maswali muhimu ndio maana hapa inaashiria kabisa kuna kundi la wajinga wengi mno hawachunguzi kama kuna upotoshaji au la nasi wanamsapoti kiupofi na kufuata hisia .
Kwani bible na quran zimetungwa na Mungu?Vp utushawishi kusoma na kuamini vitabu vilivyotungwa kwa fikira za mwanadamu asiyejua hata kesho yake?? Yaani nimuamini mwanadamu anayesema kuwa mimi ni Mungu??? Inaingia akilini kweli??
Sasa huku ndiko kutotafakari vizuri maandiko.1. Soma Kitabu cha HESABU 20
Baada ya Wana israel kukosa maji wakiwa jangwani walianza kumlalamikia Mussa, Mussa akaenda madhabahuni kumuomba Mungu maji yapatikane. Mungu akamwambia Mussa kwenye verse ya 6 na 7 ( HESABU 20:6-7) talk to the rock and the waters will flow from the rock.
Wakati Mussa aliamini suluhisho lake lipo KWA Mungu, Mungu aliamini suluhisho la tatizo la Mussa lipo ndani yake Mussa mwenyewe. Ndio maana Mungu mwenyewe akamwambia Mussa " Talk to the rock" it means ' Inside you i have my power and through that power you have every thing which you need'.
Kupitia andiko hilo Mungu anatufundisha kwamba vitu vyote tunavyo taka yeye avifanye kwetu moja kwa moja, viti hivyo vipo ndani yetu tayari na tuna uwezo wa kuvifanya sisi kama sisi.
Huo ni mfano mmoja wa kwenye maandiko lakini katika maisha halisi( experience) ipo mifano mingi tu.
2. Kuhusu Bakhresa wacha nikuulize na wewe kama ulivyo niuliza mimi swali la kwanza. Umesema Bakhresa ni muislamu swafi right? Anae jua yupi ni muislamu swafi na yupi si muislamu swafi ni Mwenyezi Mungu mwenyewe KWA sababu yeye ndio anaona mpaka yaliyopo ndani ya moyo wa mtu right? SASA wewe ndugu yangu ulikutana wapi na Mwenyezi Mungu akakwambia kwamba Bahkresa ni muislamu swafi?
Cc denooJ ulikuwa unataka andiko. Andiko hilo hapo juu
Sasa huku ndiko kutotafakari vizuri maandiko.
Musa kumwambia Mungu wanataka maji, maana yake Musa alirudi kwa mfalme, mkuu kama ulivyoandika pale juu kuomba msaada.
Na msaada Musa aliopewa, ni kuambiwa gonga mwamba utapata maji, huu ni msaada alioupata baada ya kuuomba kwa Mungu.
Ukweli ni kwamba, kama Musa asingeomba kwa Mungu, basi asingepata hayo maji, bila Mungu sisi si kitu, yeye ndie njia yetu.
Kwasababu umeshaleta uzi hapa, ni lazima uutetee kwa kila njia, sikushangai tena LIKUD.
Sasa huku ndiko kutotafakari vizuri maandiko.
Musa kumwambia Mungu wanataka maji, maana yake Musa alirudi kwa mfalme, mkuu kama ulivyoandika pale juu kuomba msaada.
Na msaada Musa aliopewa, ni kuambiwa gonga mwamba utapata maji, huu ni msaada alioupata baada ya kuuomba kwa Mungu.
Ukweli ni kwamba, kama Musa asingeomba kwa Mungu, basi asingepata hayo maji, bila Mungu sisi si kitu, yeye ndie njia yetu.
Kwasababu umeshaleta uzi hapa, ni lazima uutetee kwa kila njia, sikushangai tena LIKUD.
Sasa huku ndiko kutotafakari vizuri maandiko.
Musa kumwambia Mungu wanataka maji, maana yake Musa alirudi kwa mfalme, mkuu kama ulivyoandika pale juu kuomba msaada.
Na msaada Musa aliopewa, ni kuambiwa gonga mwamba utapata maji, huu ni msaada alioupata baada ya kuuomba kwa Mungu.
Ukweli ni kwamba, kama Musa asingeomba kwa Mungu, basi asingepata hayo maji, bila Mungu sisi si kitu, yeye ndie njia yetu.
Kwasababu umeshaleta uzi hapa, ni lazima uutetee kwa kila njia, sikushangai tena LIKUD.