Kwa vyovyote itakuwa ni zile nguzo kuu ambazo CCM inazitegemea:Nipo nangojea ataje hizo Rabia mbaya ni zipi? Na matendo gani wamefanya kwenye jamii hao anaowatuhumu
Konde Boy@ TemboooNaona kaamua kujisema
Tunamjua mtu asiyeheshimikaAlikuwa msibani, asingeweza kuwataja, sababu Yeye amefundwa, ana siha njema.
Kuna mambo wala hayana haja ya kujadili sana, sometimes tuwe serious maisha kukomboa familia na kuondoa umasikini, kila kauli za wanasiasa watu mnataka kufanya mada ili ilete faida gani sasaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni[emoji120]
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, viongozi hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Je, viongozi wenye TABIA mbovu, wamepenyaje na kupewa mamlaka makubwa chamani na Serikalini?
Karibuni🙏
Jiongeze na Wewe....Hajamtaja lakini.
Swali halijibu swaliKwamba kinana ana TABIA njema?
Kikwete na Paul Makonda nani haeshimiki?Paul Makonda
Yeye mwenyewe ni wale waleNipo nangojea ataje hizo Rabia mbaya ni zipi? Na matendo gani wamefanya kwenye jamii hao anaowatuhumu
Nini sanaNdugu wanajf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Leo nachukua fulsa hii kupongeza kauli ya Mzee kinana , ila pia naomba kutana naye.
Ni kweli mimi sio mwanaccm ,ila pale amefanya vizuri lazima kupongezwa , mzee ametoa kauli ambayo hakumtaja yeyote ila ujumbe wake upo wazi na mafunzo makubwa ndani yake.
Nakushukuru sana Mzee kinana ila kura yangu ccm sitowapa.
Thanks
Mzee wa Meno ya Ndovu, hatari sanaNdugu wanajf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa ...
Yaani mi CCM ni mijinga imebaki na mipasho tu hakuna mwenye ujasiri wa kuongea ukweli.Kinana amefanya nini tena? Au kaongea kwa mafumbo kama kawaida ya ccm?