Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kinana ni mshenzi kama pacha wake Makamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI yeye mwenyewe Kinana
Kuna Mbogamboga ilitoka Lumumba haikujuwa Chuganian kwenye mambo ya Msingi kitaifa tunakuwa PamoyaAlipakaziwa.
Kwa uzee Ule hawezi beba hata mtoto wa tembo!!
Msibani asingeweza kutaja,Angewataja basi ili na sisi tuongeze list yetu
Kwani alikuwepo mlengwa?Kuna Mbogamboga ilitoka Lumumba haikujuwa Chuganian kwenye mambo ya Msingi kitaifa tunakuwa Pamoya
Huko aliko Kavimba kweli kweli baada ya huo Ujumbe kufyatuliwa
Amesema viongozi. Hakutaja chamaMbowe na Lisu hawaongizi chama Chao na Serikali,
Alikuwa anawaasa wenzie ndani ya chama!!
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni[emoji120]
Tarishi wake....na vibaraka na yeye mwenyeweKwani alikuwepo mlengwa?
Ama hakika nyani haoni kundule! Huyu nae anatabia gani kwenye jamii? 😂😂Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Amesema sisi viongozi Tujifunze kuwa na siha njema bila kujali ukubwa wa vyeo vyeti akimtolea mfano Zelote Steven, kada wa chama chake aliyetangulia mbele za HAKI ambaye alikuwa na TABIA njema, mnyenyekevu asiyejitutumua.Amesema viongozi. Hakutaja chama
🔥Ama hakika nyani haoni kundule! Huyu nae anatabia gani kwenye jamii? 😂😂
Ameamua kuimba taarabu uzeeniHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Ngoma za ccm tuwache wacheze wenyewe, sisi tuwe wapenzi watazamaji tuHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Tena tabia iliyoshindikanaKuuza bandari zetu bila idhini yetu pia ni TABIA mbaya.
Tulisema.....Umemaliza kila kitu Baba tena kwa staha......Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Adui mwombee njaa Ili ajisalimishe ikibidi.Ngoma za ccm tuwache wacheze wenyewe, sisi tuwe wapenzi watazamaji tu