ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hajafikia viwango vya upumbavu mlivyonavyoApige hata muda huu,anasubiri nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajafikia viwango vya upumbavu mlivyonavyoApige hata muda huu,anasubiri nini?
Teh teh teh si mlikuwa mnabweka eti jogging....Bora wangekuwa wanamsema,Sasa wanamtukana.Hata Sasa akiamua kupiga marufuku maandamano hakuna wa kunyanyua mdomo.
Hicho kinasikilizwa na wazee, watu waliopoteza ramani na machawaWote kimya kaeni kwa umakini kusikiliza chama dola chama kikongwe kikitoa muelekeo wa nchi unakwendaje!
Kupangua hoja za Lissu ambazo nyingi ni za kisheria na kikatiba si kazi ndogo kaka. Mhe. Kikwete alinukuliwa miaka ya nyuma akisema kwamba ni bora akose uraisi kuliko Lissu kuwa mbunge. Akawa mbunge, nadhani ukifuatilia session zake bungeni utaona madini aliyokuwa anatema mle. Kinana ni mfaidika wa mfumo huu, hwezi kupangua hoja hizi kirahisiKinana amepatwa na nini? Ama uzee? Huyu si kinana niliyemfahamu katika kujenga na kuchambua hoja!!
Ameongea vitu ki jumla jumla sana na amepigwa KO na Lissu vibaya mno...
Apige marufuku hata muda huu kwani nani anamuda naye?. Shida mnafanya Rais kama mungu. Acheni hizoBora wangekuwa wanamsema,Sasa wanamtukana.Hata Sasa akiamua kupiga marufuku maandamano hakuna wa kunyanyua mdomo.
Maana yeye ni mpumbavu zaidi.Hajafikia viwango vya upumbavu mlivyonavyo
Akumbuke uhuru walio nao ni wa kikatiba siyo hisaniRais huyu wanayemsema, Rais Samia na mtakubaliana na mimi ndiye aliyeleta uhuru ulioko sasa hivi nchini, uhuru wa kusema, kushutumu, kuandamana, uhuru wa mikutano ya hadhara, nina hakika watajibu watasema lakini ipo kwenye katiba, kwani huko nyuma waliponyimwa katiba haikuwepo? Walikwenda barabarani?
HahahahIla huyu Mzee ni mwanasiasa kwelikweli