mambo ya vilabu vya mpila unafananisha na nchi are serious.?Na unakuta mtu anataka mwarabu anunue Manchester United au Liverpool lakini hataki mwarabu awekeze Bandari kisa Pengo na padri Slaa kamshikia akili
Which planet are you from from ?
Africa hasn't rid itself of the hangover of colonial legacy, you can put this in the bank. You're being complacent because you suffer from a dangerous malady called Political Amnesia. Back in early 2000's voices like these were raised, when the White Government of America wanted to turn Kigamboni into a naval and a spy-base like Camp Limonnier at Djibouti.
Due to security concerns the plan ended up in a pipeline, all thanks to God for shrewd people like Col Apson Mwang'onda and other bureaucrats who put country first above flattery and big paychecks.
To this day Arabs still linger on their medieval slavery mindset, a good example is what is happening in Mauritius and Libya after the fall of Ghaddafi's regime. The UAE cannot even treat its neighbour like Yemen with dignity, their Emir has launched a brutal invasion killing women and children with impunity. Why would any sane government want to associate themselves with people like that ?
I say it again, unless you're a religious fanatic, you'd view this transaction with great skepticism...
Obama (mwafrika) alichaguliwa kuwa Rais wa marekani, wakati Sunak(mhindi) ni waziri mkuu wa Uingereza.
Hebu fikiria nini kitatokea ikiwa mhindi au mwarabu au mchina atagombea urais wa Tanzania.
Ajabu kubwa hii iliyopo Tanzania.Yaani tumekuwa na chuki na visasi vya ngamia.Unamuona mtu yupo kimya kumbe anadoelea nafasi tu atoe chuki za moyoni mwake.Na kwenye uongozi wake hawajawai kumwambia yeye ni mkenya wala muafrica hata alipokua akikosea
Kuna mtu mmoja kutokea visiwani awamu ya pili aliuza eneo la LOLIONDO huko bara,kwa waarabu hao hao, hadi leo Wananchi wa Loliondo wanalia na kuteseka na wanaomba mungu amalize ugomvi wao na huyo mtu.Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Yalianza enzi za utumwa.Kwa namna zote inaonesha wapinzani wa mkataba wa DP world hawana hoja zaidi ya kwamba huo mkataba wa uwekezaji mkubwa unahusisha nchi ya kiarabu. Inashangaza kwamba mikataba kama hiyo ilikwishafanyika nchi za jirani na Tanzania miaka kadhaa iliyopita na hakukuwa na kelele.
Kama kuna nchi zingekuwa na hofu na waarabu basi ingekuwa ni Kenya na Rwanda kwani uhusiano wa nchi hizo na waarabu ni wa chini kuliko wa Tanzania.
Waarabu ni waasisi wa shughuli karibu zote za kiuchumi ikiwemo biashara na kilimo kwa Tanzania..Zaidi ya hivyo Tanzania ina idadi kubwa sana ya raia zake wenye asili ya kiarabu.
Iwapo Uiengereza haina tatizo kutawaliwa na viongozi wake wakubwa wenye asili ya Tanzania na Kenya na India.Tanzania ina ujinga gani na umetokea wapi wa kupinga kila mradi unaotokana na waarabu.
Mimi natilia shaka kwenye vitabu vya historia vinavyofundiswa mashuleni kwetu.Kuanzia sasa somo la historia lenye kutaja ujinga na chuki vifutwe kabisa.
Utumwa hasa ulikuwa wa wazungu kununua waafrika kule magharibi ya Afrika na tena kwa kutumia nembo ya dini ya Ukristo..Na Kwa Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki ni hao hao waliokuwa na soko kubwa ndani ya kanisa kule Unguja.Yalianza enzi za utumwa.
Hayo wasema weweUtafanya nn? Huoni unaongea utoto na we hata mjumbe wa nyumba 10 akisimama na ww utatetemeka
Inferior complex # Inferiority complexInferior complex inatutesa sana waafrika
Inferior complex # Inferiority complex
Na unakuta mtu anataka mwarabu anunue Manchester United au Liverpool lakini hataki mwarabu awekeze Bandari kisa Pengo na padri Slaa kamshikia akili
Ni ujinga na umasikini tu unawasumbua watu!Kama mngekuwa mnawaza na nyie siku moja mtawekeza kwenye nchi zao mbona mngekuwa na amani?
Akili za kijinga sana kujiona dhalili kisa kuna rangi fulani imewekeza na kutunyonya
Laiti mngejua Qatar alivyowekeza na kununua baishara nyingi na nusu ya majengo London basi kuna watu wangejinyonga
Wamenunua hisa mpaka Barclay's
Wamenunua Shard, Canary Wharf imebebwa, Shell center, hata Claridge's of London iko mikononi mwa matajiri wa Qatar na hata Harrods pia
Sasa kama kulaumu nchi imeuzwa basi [emoji636] ndio waseme hivyo kuwa Waarabu wamewatawala lakini badala yake wanafurahia investment na kodi wanazokusanya
Sasa nyie mtu anawekeza badala ya kuchukua fursa kama Qatar anavyowauzia na Gas huku akifaidi shares zote za London
Na sisi tupeleke bidhaa zetu uarabuni basi hata matunda na mboga kwa wingi pia tuna vitu vingi kama dhahabu
Je mmewaza kufungua maduka ya Dhahabu Dubai? Au mna akili za kutukana tu
Hawa hawawajui waarabu.Sio kweli kuna kampuni ya mafuta nimefanya kazi ni ya waarabu na HR ni mkristo tena mlokole jmosi Haji kazini na wakristo wapo wa kutosha Tu na Hakuna mtu anayebugudhiwa dini yake
Umasikini mbaya sana mkuu mpaka wanakosa akili na mbaya zaidi kujiweka kundi la wanyama maana hata kuwaza hawawezi wanaishia kutoa matusi tuNi ujinga na umasikini tu unawasumbua watu!
Unajua ujinga kwa namna nyengine unaondoka kwa kutembea. Ashakum si matusi! Wabongo wengi ni masikini. Hawana pesa za kutembea maeneo tofauti duniani kujifunza.Umasikini mbaya sana mkuu mpaka wanakosa akili na mbaya zaidi kujiweka kundi la wanyama maana hata kuwaza hawawezi wanaishia kutoa matusi tu
Ukiingia kwenye ndege zinazokuja Tanzania sisi wenyewe hatuzidi hata 10%.Ndege karibu yote ni wageni ama wachina wanaofanya biashara Tanzania.Lakini nchi za wenzetu ukienda wenyeji mara zote wanazidi 50%. Si umaskini wa pesa tu hata kisiasa tuko nyuma sana.Tunashupalia historia za kizushi tu.Unajua ujinga kwa namna nyengine unaondoka kwa kutembea. Ashakum si matusi! Wabongo wengi ni masikini. Hawana pesa za kutembea maeneo tofauti duniani kujifunza.
Mashabiki wa England walivyokuwa wanahojiwa kombe la dunia nchini Qatar wanasema vyombo vya habari vya nchini mwao vimewaongopea vya kutosha kuhusu waarabu na Qatar. Waliyoyaona kwa Qatar na jamii za kiarabu ni tofauti kabisa kama walivyokuwa wanaaminishwa.
Sasa mbongo hiyo pesa ya kuondoa huo ujinga wao mara mwarabu hivi mara vile atautolea wapi?
Ataendelea kuwa mjinga kwa sababu ya umasikini tu!
shida kubwa ni ubongo wenu, umejaa matope ya udini na utumwa wa fikra. mwarabu kwenu ndio malaika. sisi tuliowengi, hasa watanganyika, hakuna hata mmoja anayepinga mwarabu kuwekeza. tunapinga vipengele vya mkataba, haviko sawa. wakiweka vipengele vikawa sawa nakuambia hakuna mwekezaji bora kama Dubai, nani asingependa awe connected na bandari ya dubai ambayo ipo busy sana, wao wana connections za meli nyingi toka ulaya, japan na china n.k, hivyo ukiungana nao meli zinazopitia kwao na hasa kama wao hapa ndio wanaoiendesha bandari meli hizo watazielekeza hapa na bandari yetu itakuwa busy sana na mapato yatapatikana. kwa kifupi, connection ya Dubai ni hot cake kwetu na hakuna mwingine anayeweza kuwa bora kuliko dubai kama hatutakuwa tumejenga bandari ya bagamoyo.Ni ujinga na umasikini tu unawasumbua watu!
Mkuu exposure hawana kabisa, kuna mmoja kanitukana anafikiri nina kadi ya kupigia kura [emoji1] [emoji1787] ya huko poor sodUnajua ujinga kwa namna nyengine unaondoka kwa kutembea. Ashakum si matusi! Wabongo wengi ni masikini. Hawana pesa za kutembea maeneo tofauti duniani kujifunza.
Mashabiki wa England walivyokuwa wanahojiwa kombe la dunia nchini Qatar wanasema vyombo vya habari vya nchini mwao vimewaongopea vya kutosha kuhusu waarabu na Qatar. Waliyoyaona kwa Qatar na jamii za kiarabu ni tofauti kabisa kama walivyokuwa wanaaminishwa.
Sasa mbongo hiyo pesa ya kuondoa huo ujinga wao mara mwarabu hivi mara vile atautolea wapi?
Ataendelea kuwa mjinga kwa sababu ya umasikini tu!