Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

Uchumi wa Urusi ni sawa na wa Hispania...
Mzee wa kurukia rukia hoja usizozijua eti uchumi wa Russia ($ 1648 billion) ni sawa na wa Spain/Hispania ($ 1439 billion).

Huko shule ulienda somea ujinga?

Halafu linganisha na nchi yako ambayo uchumi wake ulikuwa ni
($ 69 billion) mwaka jana, 2021.





 
Kapicha mkuu warusi wa ugogoni huku tufarijike
 

Kuna tofauti gani kati waChechniya na waDagestani?
 
Ni sawa na Putin akashike bunduki uko Ukraine,

Hawa jamaa Ni wazalendo Sana, ndo Maana kila wanakopita wanashnda.

Inaonekana wako well trained kwa vita MDA wowote.
Hayupo Ukraine ametuma vikosi vyake Ukraine. Pia Chechnya siyo nchi kamili ni semiautonomous chini ya Urusi kama zenji tu hapa bongo. Pia kumbuka ana upinzani mkubwa Chechnya wengi hawampendi kwasababu Chechens wengi wanataka kuwa taifa kamili hawataki kuwa puppet wa Moscow. Anamuunga mkono Putin kwasababu Putin anampa ulinzi
 
Kuna tofauti gani kati waChechniya na waDagestani?
Chechens na Dagestan ni makabila tofauti lakin lugha zinashabiana.Haya ni majimbo ya Urusi ambayo yanajitegemea Semi Autonomous. Kuna Dagestan, Chechnya, North Osetia, South Osetia ambazo zinajulikana kama caucuses nations ambazo zlijumuisha nchi kamili sasa hivi ambazo zilikuwa chini ya Urusi ya zamani Georgiia, Armenia na Azerbaijani. Na huko Georgia jimbo la Abkhazia limejitenga kutoka Georgia na kujiunga na Urusi.
 
‘Comrade President, Comrade Supreme Commander – I have said multiple times that I am your humble footman, that I am ready to give my life for you.

Lugha ya kinyenyekevu Sana kwa Mkuu hii, Mkuu Putin.
 

Hawa jamaa ni wana morali hatari hawakusubiri kuambiwa waingie vitani ilikuwaje wakaelewana na urusi
 

Ni mvivu tu kuwaza huyo
 
Kitu unachowaza sivyo kama ilivyo angetaka kumaliza sasa hivi ingekuwa historia hakuna hata sisimizi agekuwa hai hapo ukrein. Maana angeamua kufagia wale raia waliyokaa barabarani mgekuwa mnalilia hovyo. Kumbuka sasa hivi pia USA na NATO wapo mzigoni kwa hivyo anawabonda wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…