Ngoja mwishoni Put-in amfyekelee hukohuko vitaniNimeshangaa sana aisee, yaani huyu jamaa ni Head wa Jamhuri ya Chechnya, lakini anaenda vitani! Tena hasubiri kuombwa! Nakubaliana nawe mkuu huo ni mzuka wa ajabu aisee
View attachment 2139188
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daudiHata mzee wetu Magufuli alikuwa anapenda watu kama hawa, huyu ni Makonda wa Urusi
Hivi ni kuonyesha au kuonesha?Hawa Putin walimuonyeshaga joto ya jiwe. Sema sasa eti wamekuwa marafiki na Putin.
Mimi sijui. Mimi motherlanguage yangu ni kisukuma. Sasa hapo si umeelewa lakini?Mwalimu wa kiswahili 😜
Mamonda wa Urusi [emoji16]Hata mzee wetu Magufuli alikuwa anapenda watu kama hawa, huyu ni Makonda wa Urusi
Umewaza nnje ya boksi Chifu [emoji847]Warusi wangekuwa na roho mbaya kama Wayahudi wa Gaza,pengine hii vita ingeshavunja records za Hiroshima&Nagasaki na ile ya Rwanda 1994 kwa kuua watu wengi kwa muda mfupi.
Raia wanazuia misafara ya vifaru kwa kuning'iniza gololi tu barabarani na hakuna anayelipuliwa.
Ingekuwa Gaza hali ingekuwa mbaya.
BTW:Hao waChechnya watakuwa wanatafuta uzoefu zaidi kwa matumizi ya baadae.[emoji16]
Ni kuonyesha, si kuonesha.
Aliwamaliza lakin wakatii amri. Putin hajawahi kushindwa vitaHawa Putin walimuonyeshaga joto ya jiwe. Sema sasa eti wamekuwa marafiki na Putin.
Na sasa Ukraine wanawalaumu USA na NATO kwa kuwahadaa kuwa watasaidiwa kuitokomeza Russia lakini baada ya kuona hali ingekuwa tofauti wameachwa wapambane wenyewe. Kweli maji ukiyavulia nguo yaoge mwenyewe usingoje jirani yakoBora zako wewe mjuvi zaidi wa nguvu za kijeshi za Putin kuliko hata Defense Secretary wa Marekani General Lloyd Austin ambaye yeye aliongoza vikosi kadhaa ktk vita vya Baghdad. General Austin yeye anasema kuwa Russia bado wana uwezo na nguvu kubwa mno ya kuishambulia Ukraine ambayo hawajaamua kuitumia. Ila wewe waona kinyume na huyo kiongozi mkuu wa maswala ya Ulinzi ya Marekani.
Zelensky ndio anaelewa lugha ya huyo kiongozi wa ChechnyaWatu kama hawa ndio wanatakiwa kuitwa wajinga.wapumbavu.
Uwezi kuhisi raha kwa kumwaga damu badala ya kutafuta suluhu ipatikane amani
this guy is too demanding as if his country is a NATO memberKwa kichapo kilichotembezwa, maswahiba tayari wameanza kutukanana, eti NATO ni madhaifu mnoooo! Huyo ndiyo ze Comedian Zelensky
View attachment 2139661
Alipigana na nani.Aliwamaliza lakin wakatii amri. Putin hajawahi kushindwa vita
Mkuu tupia uzi tujifunze nasisi historyHawa Putin walimuonyeshaga joto ya jiwe. Sema sasa eti wamekuwa marafiki na Putin.