Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
- Thread starter
- #61
Yaani wewe waleta stori za tv wakati mie ninakuwekea habari ya toka Reuters, au Reuters inamilikiwa na Russia?Huwa unatazama TV gani mkuu. Kwa habari za nje?
Haya nakuongezea na taarifa hii toka FAO uone kama Russia ina njaa kama Tanzania