Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

Kiongozi wa Chechnya amuomba Putin awaruhusu makamanda wake wafanye mashambulizi ya kushtukiza na mabaya zaidi ili waimalize vita ndani ya saa 48

Kama unafatilia vizur hii Vita,
Utagundua Hawa chenchnia Ni Moto wa kuotea mbali.

Hawa jamaa Ni Giants sana,
(Ukiwaangalia wakiwa na mateka wao au Raia wa kawaida, utadhani ni Daudi vs Goliathi.

Afu kwny Vita kila wanakopita wanafagia haswa, Ukraine soldiers wanakimbia na kutelekezea kambi, vifaa na mizinga n.k

Chskushangaza Hawa jamaa,
Hawana hata cover ya ndege Wala kifaru, wao wako kwa mguu TU.

Ila kichapo wanachotembeza utadhani wako kwny Hollywood movies.
[emoji1][emoji1]
 
Lile ni jimbo la waislamu na walijaribu mzuka wa kidini ila aliwapiga kichapo cha mbwa, leo masheikh wa bongo wanamshobokea kama mtume kisa kavamia Ukraine wanadhani wamekomoa Marekani.
Nikisema ni Jamhuri nitakuwa sijakosea.
Urusi sio Taifa la dini Moja.
Jamhuri kama Dagestan,
Chechen,
Bashkortostan,
Tartarstan

Ni sehemu zenye Waislamu wengi na pia ni Warusi,
hivi wajir ikitaka kujitenga na Kenya ikalazimika kutumia nguvu kuirudisha na Tena ikajaza extremists Muslim, tuseme Kenya inapigana na Waislamu.

Lakini pia zipo Jamhuri zenye wabudha wengi zaidi.

Na zipo zenye wakristo wengi zaidi.
Lipo Jimbo lenye Wayaudi wengi na linaitwa JEWS AUTONOMOUS REGION.

Hivyo vita ya Chechnya haiusiani na Uislamu na Waislam
 
Lile ni jimbo la waislamu na walijaribu mzuka wa kidini ila aliwapiga kichapo cha mbwa, leo masheikh wa bongo wanamshobokea kama mtume kisa kavamia Ukraine wanadhani wamekomoa Marekani.
kijana naona mara ya pili hii umeshikilia masheikh wa kibongo wanamshobokea Putin

hebu tupe ushahidi wa uyasemayo jpo sheikh mmoja tuu
 
Nikisema ni Jamhuri nitakuwa sijakosea.
Urusi sio Taifa la dini Moja.
Jamhuri kama Dagestan,
Chechen,
Bashkortostan,
Tartarstan

Ni sehemu zenye Waislamu wengi na pia ni Warusi,
hivi wajir ikitaka kujitenga na Kenya ikalazimika kutumia nguvu kuirudisha na Tena ikajaza extremists Muslim, tuseme Kenya inapigana na Waislamu.

Lakini pia zipo Jamhuri zenye wabudha wengi zaidi.

Na zipo zenye wakristo wengi zaidi.
Lipo Jimbo lenye Wayaudi wengi na linaitwa JEWS AUTONOMOUS REGION.

Hivyo vita ya Chechnya haiusiani na Uislamu na Waislam
Jamaa kafilisika hoja, anataka kuingiza udini ili kutengeneza chuki dhidi ya Putin😀😀😀

Anataka kutuletea stori zao za Kenya na Somalia hapa
 
kijana naona mara ya pili hii umeshikilia masheikh wa kibongo wanamshobokea Putin

hebu tupe ushahidi wa uyasemayo jpo sheikh mmoja tuu
Subiri nita upload humu video inayosambaa kwenye mitandao ya Whatsapp, anatia huruma.
 
Nikisema ni Jamhuri nitakuwa sijakosea.
Urusi sio Taifa la dini Moja.
Jamhuri kama Dagestan,
Chechen,
Bashkortostan,
Tartarstan

Ni sehemu zenye Waislamu wengi na pia ni Warusi,
hivi wajir ikitaka kujitenga na Kenya ikalazimika kutumia nguvu kuirudisha na Tena ikajaza extremists Muslim, tuseme Kenya inapigana na Waislamu.

Lakini pia zipo Jamhuri zenye wabudha wengi zaidi.

Na zipo zenye wakristo wengi zaidi.
Lipo Jimbo lenye Wayaudi wengi na linaitwa JEWS AUTONOMOUS REGION.

Hivyo vita ya Chechnya haiusiani na Uislamu na Waislam
Sasa mbona waislamu walipiga makelele kwenye hivyo vita, ila Putin huwa namkubali sana kwenye vita dhidi ya magaidi, yeye huwa habembelelezi, hupiga bila kuchagua wapi anapiga.
 
Ni dalili ya kushindwa vita, Putini yalikuwa ni majigabo tu hakuwa na strategies, miscalculated kwa mujibu wa Biden

Wale wafuasi wa Putini sasa wanashuhudia hii aibu
Putin alisema ataingia Ukraine kwa operation maalumu. Hiyo operation ni ya kijeshi. Niambie ndugu, hiyo operation inaitwaje na malengo yake ni yapi?
 
Mkuu ngoja tuwawekee na link ya habari hiyo, wasije kusema ni maneno yako.

Wataelewa tu
Nalog off
 
Ikishageuka jangwa itakuongezea kipato au cheo?
Kuna hotuba ipo You tube wakati Putin anaitangazia Taifa lake na dunia kwa ujumla na maazimio ya kuingia Ukraine na haswa sababu zilizopelekea ni zipi na lengo lake ni lipi!

Amezungumza kwa takribani dakika 30+
Ni jukumu la mtu kutenga muda na kuisikiliza. Simtetei Putin. Lakini wengi wao humu wanaandika kitu tofauti kabisa na Putin alichokiwasilisha.
 
Walimnyooosha Sana kipind wakitaka kujitenga na kutumia Sharia kujiongoza, akawahofia misimamo mikali kumletea magaidi Russia.

Walimsumbua sana putin mwishowe akaona awaachie waishi wanavyotaka wao kwa mfumo wa Sharia.

Na sahv wamekua jamii inayojitegemea kabisa, wanakiongoz wao na Wanampenda Sana Putin Kama godfather wao kuwapa uhuru.

Kule chechniya,
-Ukikutwa na MKE wa mtu unapigwa mawe unauwawa, na putin wala haingilii

-ukiiba unakatwa mkono, na Putin wala haingilii.

Kule Ni marufuku kufungua kanisa,Ni misikiti TU.
Yes na ule Mji wao wa Grozny ni moja ya Majiji mazuri sana Russia yaani umejengwa vkzjri sana mwa sasa huwezi amini mama ulibomolewa kwa Vita
 
Back
Top Bottom