Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Oa mwenye chura ili hapo mbele ukipata pesa ucje anza kusumbua wake za watu
Bado hujakua kwanza Chura yenyewe baada ya mwaka unamwona wa kawaida,baada ya hapo kinacho ongeza mvuto ni tabia.
 
Mimi nikitaka kuoa ntaangalia

Dini 80%
Sio single mother 18%
Uzuri 2%

Tayari 100% hiyo
Fungua ubongo wako mkuu, angalia hata wachungaji weng wao wanajichukuliaga vifaa vya ukweli
 
Bado hujakua kwanza Chura yenyewe baada ya mwaka unamwona wa kawaida,baada ya hapo kinacho ongeza mvuto ni tabia.
Kinachoongeza mvuto Ni Tabia!!!!!🤪🤪🤪🤪,Kivip mkuu??
 
Uwezo wa kutii na kufuata maelekezo = 80%.

Umri 2%.

Uzuri 3%.

kuyajua na kuyatimiza majukumu yake 12%.

Historia ya familia anayotoka 1%.

Kujua kupika 0.5%.

Usafi 0.5%.

Dini 0.5%.

Elimu 0.5%.


Nimevujisha pepa lote.
Much failure mkuu,paper sio lenyewe hili,Ni paper fake mkuu
 
Huuwezi kuelewa kinacho shikilia ndoa sio chura ni tabia.

Kua uyaone bado mdogo sana.
Mnakimbilia kusema kua uyaone tu wakat ukweli unajulikana, kila cku nikijipitishapitisha bar nakutaga wanaume wenye ndoa zao wanavizia mabint wenye chura na huwahonga had magari, mkuu oeni wenye chura acheni kuzunguka
 
Mnakimbilia kusema kua uyaone tu wakat ukweli unajulikana, kila cku nikijipitishapitisha bar nakutaga wanaume wenye ndoa zao wanavizia mabint wenye chura na huwahonga had magari, mkuu oeni wenye chura acheni kuzunguka
Soma comments yangu ya kwanza utaelewa,kuna demu wa kuoa na demu wa kugonga, ukifanya vice versa umekwisha.
 
Chura 25% umbo na sura 25% familia aliyotokea 50%
 
Chura 25% umbo na sura 25% familia aliyotokea 50%
Hiyo ishapitwa na wakat mkuu,kwa kizaz Cha Leo ambapo weng wanakutana tu hata chuon wanaoana,ukisema waangalie et familia anayotoka kiwe kigezo haiwezekani. Nenda na mabadiliko mkuu
 
Dah! Ukizaa mtoto wa kike mweusi uombee tuu awe na tako lah sivyo umemletea mtiha i mkubwa sana duniani🤣🤣🤣🤣
 
Kumchukua mtu na historia yake yaani kila alichokibeba au kukipitia na kukiishi ukifanye chako na kujinyima Uhuru kisa yeye....Acha vile unaviona wazi.
#Tabia
Hujaeleweka kabisa boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…