Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Kipi kinachukua asilimia kubwa sana kama sifa ya mwanamke kuolewa?

Mmmmhhh.....
Binafsi kwa mwanaume naangalia
Akili ya maisha 50%
Akili ya pesa 50%

Mengine hayo yanatafutwa, lkn kama hana akili za hayo mambo....
Kwishaaaaaaa habari yake....
Kwa hiyo akili ya maisha ni tofauti na akili ya pesa?
 
Wewe ni mtoto mdogo kubishana na wewe nikupoteza muda!!!

Narudia:KUA KWANZA UTAJUA NI NINI MAANA YA MKE!



I rest my case!!!
Mimi nimeshamuelewa sana mleta mada, anajua vizuri tu ila analeta hoja za chura maksudi kunogesha mjadala, wala usimchukulie serious!
 
Fuatilia vizuri mkuu,kinachomtuliza mwanaume yeyote kweny ndoa yake Ni chura,yaan ukitaka usitaman kuzin nje ya ndoa yako oa mweny chura
Kama chura ni sifa kuu basi shoga yangu mme wake ilibidi apewe tuzo.shoga ana kama beseni huko nyuma ila mme wake anawalala hata wafayakazi wake ambae hajui hata kuoga.uko bar kote wanawake wa ajabu ni wake.havina shape hata kidogo ila mwanaume kimoja kazaa nacho kha. Wanaume mna tamaa.
 
Kha! Kumbe humu tunadanganyana tuu. Watu kumbe bado mnampango wa kuoa[emoji848][emoji848][emoji848] pamoja na mada za kulalamika kuwa wanawake wa sasa ni breki pumbuz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] lazima muoe
 
Chura Ni ya mhim kwanza,mbwembwe zngne ndo zifuate,ndo maana hata Babu yako alianza kwanza kuoa mwenye chura. Heshim chura kijana
Good boy. Nimekuelewa mkuu. Your life your choices. Fanya uonalo jema
 
Kwa mawazo yangu sifa za mwanamke kuolewa ningezipa asilimia Kama ifutavyo:

a) Rangi ikiwa nyeupe 15%
b) Muonekano kwa ujumla 25%
c) Chura 35%
d) Mguu 5%
e) Uzuri wa tabia 5%
f) Umbo lake 5%
g) Sifa ya familia anayotoka 5%
h) historical background kama aliwahi kuzaa au kutoa mimba 5%

Je, wewe unaweza ukagawanya vipi sifa hizi za wanawake utakapoamua kuoa?

NB: Siyo lazima awe nazo zote 100% ila angalau afikishe 75% ya asilimia hizo.

Hapa wanawake weusi mtanisamehe kwa kweli, ila kama kuna wa kuwatetea anakaribishwa.
B na E
 
Hiyo ishapitwa na wakat mkuu,kwa kizaz Cha Leo ambapo weng wanakutana tu hata chuon wanaoana,ukisema waangalie et familia anayotoka kiwe kigezo haiwezekani. Nenda na mabadiliko mkuu
Hujakuwa bado, ukikuwa hilo la familia utalielewa vzr sana, ni muhimu sana inawezekana kuliko vingine, sababu ndicho kitakacho determine uhai wa ndoa yenu.
 
Hujakuwa bado, ukikuwa hilo la familia utalielewa vzr sana, ni muhimu sana inawezekana kuliko vingine, sababu ndicho kitakacho determine uhai wa ndoa yenu.
Hakuna ukweli hapa!! Unamanisha Masanja hakufaham familia ya mke wake kabla hajamuoa ?
 
Back
Top Bottom