Kisa Ugomvi wa Kimapenzi, Mama amchoma mwanaye Visu zaidi ya 100, amla Utumbo na Figo


Hii hapa video- KMMMMMMMAE

Huyu mwanamke ni shetani kabsa duuuh yaani mpaka nimelia, nimesisimka duuh kmmmmmmmaeeeeeeee
 
Baba Mungu tuhurumie waja wako sie..watoto wako hatarini
Nashukuru Mungu nimezaliwa na mama timamu.licha ya changamoto zote alisimama imara hata mimba hakutoa akanizaa.
 
Kenya ni moja kati ya nchi ambazo mambo ya kishirikiana na kichawi yako juu sanaa πŸ‡°πŸ‡ͺ
Hapo kuna roho wa kiza na kishetani ametupiwa kisha akamuingia na amemtawala huyu mama.
Si,rahisi kwa mwanamke aliyebeba mimba,kisha akazaa kwa uchungu na kuanza kumlea mtoto eti amuue hivyo, πŸ˜” big no!
Itakuwa mumewe ana nyumba ndogo,imeenda kwa mganga ikatengenezewa system wakampachika mama mwenye nyumba(kwa manuizi mabaya) ili afanye tukio litakalompoteza yeye na mtoto wake 😒
#Wakuu kuna muda nyumba ndogo ni hatari kwa familia zetu kuliko hata mapenzi wanayotupa(wake kwa waume). 😲
 
Hello Guys, hii midude mnayokutana nayo kimjinjini imejichokea na mastress ya kifala , sio ya kuoa ichapeni mashine kisa sepa !!.

Mijitu mingine sio ya kumwagia Manii yako kabisa , sio ya kuzaa nayo.

Suala la kufanya screening za kiukoo kwa mwanamke unayetaka kuoa ni muhim, chunguza unayetaka kuzaa naye, wengine Wana magonjwa ya Ukichaa kwenye familia zao, wengine wachawi N.k

Msione wazee zaman walikua wanakuambia "Mji uleee usioe "... Walimaanisha, na suala hili lilisaidie huo ukoo wenye makandokando ,wasiweze kuoa au kuolewa, kitu hiki kulifanya huo Ukoo, ujifieee wenyewe yaan kizazi Chao kinafutika!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…