witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Alikuwa mlangoni...mlango wa grill, ila huyo mwanamke kajifungia kwa ndani na yuko uchi daah[emoji119][emoji119]Nataka kujua alichukua hio video alikua wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mlangoni...mlango wa grill, ila huyo mwanamke kajifungia kwa ndani na yuko uchi daah[emoji119][emoji119]Nataka kujua alichukua hio video alikua wapi?
Ni mtu au cctv camera?Huyu alierecord si angetoa msaada.
#kataandoa
Mimi sijataka kuiona wala kuitafuta Witty!!!Yeah nimeangalia...sijawahi kuumia hivi
Huyo mwanamke it's like kapata kichaa hivi
Maana ni anamchoma visu mtoto akiwa uchi, na anaongea vitu havieleweki
Kilichoniuma, anarudia kuchoma choma mtoto visu kama mara 200 hivi [emoji24]
Uwii sitaki kukumbuka
Siwezi kuangalia ht niwekewe bastola...Yeah nimeangalia...sijawahi kuumia hivi
Huyo mwanamke it's like kapata kichaa hivi
Maana ni anamchoma visu mtoto akiwa uchi, na anaongea vitu havieleweki
Kilichoniuma, anarudia kuchoma choma mtoto visu kama mara 200 hivi [emoji24]
Uwii sitaki kukumbuka
Kuna clip moja nilirushiwa mwanamke anajifungua kwa operation...basi naangalia kdg then nageuza simu namuonesha mwanangu...then namuuliza enhee saivi anafanywa nini!!!?? Yaani kitendo cha kuona mwanzo tu anachanwa tumbo nikaanza kuogopaMimi sijataka kuiona wala kuitafuta Witty!!!
Moyo wangu naujua[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimeona tu picha za huyo Dada nikajua tu atakuwa ana shida mahali...
Watu mna hamu ya kuangalia hio video? Siwezi kuangalia video binti mdogo wa miaka miwili akifanyiwa ukatili huo. Never. Nikiangalia sitaisahau kwa maisha yangu yoteKamanda nisaidie PM hio meseji, japo pia naona haina madhara ukiiweka hapa. Ntashukuru
Weeeee.Nilitaka nikutumie nikakumbuka kitu
Wewe ni Mimi aisee...Kuna clip moja nilirushiwa mwanamke anajifungua kwa operation...basi naangalia kdg then nageuza simu namuonesha mwanangu...then namuuliza enhee saivi anafanywa nini!!!?? Yaani kitendo cha kuona mwanzo tu anachanwa tumbo nikaanza kuogopa
Pole kwa maumivu Mama, ila kiukweli Ke ni Viumbe vyenye ukatili kwa 90% kuliko Me duniani.Umeangalia video!!!?
Mie sitaki hata kuiona...hii habari tu tayari ishanitibua
Ndiyomaana mi huwa napenda Ke kwa steps maana akili zenu mnazijua wenyewe.Alikuwa mlangoni...mlango wa grill, ila huyo mwanamke kajifungia kwa ndani na yuko uchi daah[emoji119][emoji119]
Watu mna hamu ya kuangalia hio video? Siwezi kuangalia video binti mdogo wa miaka miwili akifanyiwa ukatili huo. Never. Nikiangalia sitaisahau kwa maisha yangu yote
Dada hongera una roho ya ujasiri mimi siwezi kwa kweli kuangaliaYeah nimeangalia...sijawahi kuumia hivi
Huyo mwanamke it's like kapata kichaa hivi
Maana ni anamchoma visu mtoto akiwa uchi, na anaongea vitu havieleweki
Kilichoniuma, anarudia kuchoma choma mtoto visu kama mara 200 hivi [emoji24]
Uwii sitaki kukumbuka
Nimeangalia huku kilio cha kufa mtu....familia yangu yote imeshindwa kuangalia nikapewa MimiDada hongera una roho ya ujasiri mimi siwezi kwa kweli kuangalia