Kisa Ugomvi wa Kimapenzi, Mama amchoma mwanaye Visu zaidi ya 100, amla Utumbo na Figo

Kisa Ugomvi wa Kimapenzi, Mama amchoma mwanaye Visu zaidi ya 100, amla Utumbo na Figo

Kenya again[emoji24]
IMG_6941.jpeg
 
Olivia Naserian, amuua binti yake ajulikanae kwa jina la Glory Njeri, mwenye umri wa miaka miwili kwa kumkata vipande kwa kutumia kisu na Kisha KULA sehemu ya viungo vyake vya ndani.
Chanzo itv,
FB_IMG_16824320193053699.jpg
 
Aisee najaribu kuvuta taswila tu ya hili tukio yan haiingii kabisa, cha kushangaz kabisa ni iyo kuanza kula viung vya mwili sijui alikua anameza anahisi ni nin,kwanza vinapitaje hapo kinywani mwake duh Mwenyezi Mungu atusaidie kama ndo tumefikia huku,,

RIP small angle,, Malaika wakupokee[emoji17]
 
Umeangalia video!!!?

Mie sitaki hata kuiona...hii habari tu tayari ishanitibua
Yeah nimeangalia...sijawahi kuumia hivi

Huyo mwanamke it's like kapata kichaa hivi
Maana ni anamchoma visu mtoto akiwa uchi, na anaongea vitu havieleweki

Kilichoniuma, anarudia kuchoma choma mtoto visu kama mara 200 hivi [emoji24]

Uwii sitaki kukumbuka
 
Back
Top Bottom