Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime


Kwa kweli Lissu na Chadema watashinda sana kwenye mitandao ila siyo kwenye uchaguzi. Jiandaeni kisaikolojia hasa Lissu maana anaweza akapata degedege akashindwa kabisa kutembea baada ya matokeo kutangazwa huku akiwa amembulia asilimia 20% ya kura zote.
mwaka huu hamna pakujificha.
 
Kwa kweli Lissu na Chadema watashinda sana kwenye mitandao ila siyo kwenye uchaguzi. Jiandaeni kisaikolojia hasa Lissu maana anaweza akapata degedege akashindwa kabisa kutembea baada ya matokeo kutangazwa huku akiwa amembulia asilimia 20% ya kura zote.
😄😄😄😄
#Uchaguzi_2020
#Matokeo_20%
#Tundu lisu
#Degedege
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Yaani kuweka bango ndiyo kutikisa?
 
Zanzibar ataishia tu kupata wadhamini hapati diwani Wala mbunge Wala mwakilishi baraza la wawakilishi .

Hata kura za Uraisi akizidi kura 100 Zanzibar nifukuzwe jamii forums

Kule atalijua jiji si huwa anajitia hataki muungano . Wanzanzibari watamuonyesha Cha mtema kuni wa CCM na Upinzani hawampi kura. Hata kidogo sababu anatoka bara
 
Wale vibwengo wa kijani wanapumlia mashine baada ya jaribio la kuuondoa uhai wa TAL kufeli,
hao vibwengo hawajawabi hata kuumba sisimizi maana hawana uwezo wowote bali Mungu pekee ndiye muweza katutunzia NI YEYE YULE

Vibwengo wanaisoma 2020
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa, huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia.

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
 
Uzi ulitoweka ghafla kwenye radar zangu, nikaishia kujiuliza tu nini kimetokea, maana nasubiria kuona uodates za Arusha nikashangaa zinaingia za Hai.
Ngoja niutafute tena
Ila Chadema media ina pwaya sana.. Hatupati updates kabisa. Na tv wameamuakujifnya hawajui kama Lissu na vyama vingine wako kwenye kutfuta kura.
Tuna pewa taarifa za NCCR n aVUF tuu..
 
Mara nyingi tunakosa umakini katika kuwaza, kunena na/au kuandika. Ni vema tuwasahihishe waandike saa 7 mchana au adhuhuri. Busara iwaongoze kukiri hadharani kufanya makosa ya kiuandishi, kuomba radhi na kurekebisha mara moja. Katika hali ya ushindani mkubwa kosa dogo laweza kugharimu goli!
Kabisa mkuu, na kama walikuwa wanamaanisha saa 1 asubuhi kwanini waandike kwenye form ya saa za kiingereza wakati tangazo lenyewe lote ni la kiswahili..

Kunahitajika umakini na uhariri kabla ya kupublish matangazo kama haya..
 
Zanzibar ataishia tu kupata wadhamini hapati diwani Wala mbunge Wala mwakilishi baraza la wawakilishi .

Hata kura za Uraisi akizidi kura 100 Zanzibar nifukuzwe jamii forums

Kule atalijua jiji si huwa anajitia hataki muungano . Wanzanzibari watamuonyesha Cha mtema kuni wa CCM na Upinzani hawampi kura. Hata kidogo sababu anatoka bara
Magufuli aliangukia pua Zanzibar kwenye urais 2015
 
Chadema, laiti mambo yenu mngeyafanya kimya kimya nadhani heshima yenu ingebaki standard sana. Lakini naona kama vile mnajishushia hadhi yenu..sorry lakini sio kwa ubaya.
 
Sawa kabisa!
Kabisa mkuu, na kama walikuwa wanamaanisha saa 1 asubuhi kwanini waandike kwenye form ya saa za kiingereza wakati tangazo lenyewe lote ni la kiswahili..

Kunahitajika umakini na uhariri kabla ya kupublish matangazo kama haya..
 
Twendeni mdogo mdogo Saa yaja tena haiko mbali imekaribia ambapo Lissu atageuka kutoka kuwa mgombea urais wa JMT na kutaka kuwa Mkt wa cdm Taifa.
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa, huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia.

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Hilo bango linasema saa 07.00 Asubuhi! Hakuna wakati kama huo duniani! Waambie warekebishe.
 
Back
Top Bottom