Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

Mleta mada naheshimu mawazo yako lakini hayana msingi wowote kwa mtu mwenye akili timamu.
Imagine rais angesimamisha hotuba kwa hizo dakika 3 akiwa anakunywa maji/juisi nayo ingekuumiza moyo wako?
Acha uduanzi wa kingese aisee.
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.


Kuna kitu watu wanasahau hapa kwamba Neno au Tendo la Rais ni sheria kwa maana nyingine. Sasa inapotekea Rais ambaye ni muslim akafanya hivyo ina maana logically imeshapitishwa kuwa sheria ya nchi hiyo; msingi wa swali,
1. Endapo atakuja rais mwingine hasa mkiristo hasisimamishe hotuba huku adhana ikiendelea hawa ndugu zetu watamuelewa?

2. Vp kama adhana inapewa heshima hiyo endapo wewe kama individual mtu atakuja kukuzuia usifanye jambo lako either unasikiliza mziki, au mna kikao cha familia anatokea mtu anakuzuia kwamba stop kila kitu adhana inalia huku kwa maana sasa imeshakuwa sheria utajisikiaje?

Halafu lazima watu tujifunze kuona vitu ambavyo wengine hawavioni, kumbuka makosa yoyote itakofanya serikali bila kuzuiwa na wananchi madhara yote yatarudi kwako ewe mwananchi.
Kabla ya uwepo wa hizi spika ilikuwaje sijui?
 
Yeye ataheshimu dini yako inayoruhusu kula kiti Moto. Wanawaua nguruwe ukifuga karibu nao hata Kama wamekukuta unafuga wao wakiwa wageni
Wapi hii mkuu? Mbona nchi nzima kitimoto kinafugwa hatujasikia kuuawa?
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.


Kuna kitu watu wanasahau hapa kwamba Neno au Tendo la Rais ni sheria kwa maana nyingine. Sasa inapotekea Rais ambaye ni muslim akafanya hivyo ina maana logically imeshapitishwa kuwa sheria ya nchi hiyo; msingi wa swali,
1. Endapo atakuja rais mwingine hasa mkiristo hasisimamishe hotuba huku adhana ikiendelea hawa ndugu zetu watamuelewa?

2. Vp kama adhana inapewa heshima hiyo endapo wewe kama individual mtu atakuja kukuzuia usifanye jambo lako either unasikiliza mziki, au mna kikao cha familia anatokea mtu anakuzuia kwamba stop kila kitu adhana inalia huku kwa maana sasa imeshakuwa sheria utajisikiaje?

Halafu lazima watu tujifunze kuona vitu ambavyo wengine hawavioni, kumbuka makosa yoyote itakofanya serikali bila kuzuiwa na wananchi madhara yote yatarudi kwako ewe mwananchi.
Kaiga kwa kenyata
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.


Kuna kitu watu wanasahau hapa kwamba Neno au Tendo la Rais ni sheria kwa maana nyingine. Sasa inapotekea Rais ambaye ni muslim akafanya hivyo ina maana logically imeshapitishwa kuwa sheria ya nchi hiyo; msingi wa swali,
1. Endapo atakuja rais mwingine hasa mkiristo hasisimamishe hotuba huku adhana ikiendelea hawa ndugu zetu watamuelewa?

2. Vp kama adhana inapewa heshima hiyo endapo wewe kama individual mtu atakuja kukuzuia usifanye jambo lako either unasikiliza mziki, au mna kikao cha familia anatokea mtu anakuzuia kwamba stop kila kitu adhana inalia huku kwa maana sasa imeshakuwa sheria utajisikiaje?

Halafu lazima watu tujifunze kuona vitu ambavyo wengine hawavioni, kumbuka makosa yoyote itakofanya serikali bila kuzuiwa na wananchi madhara yote yatarudi kwako ewe mwananchi.
Pole sana kafiri!!!
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.


Kuna kitu watu wanasahau hapa kwamba Neno au Tendo la Rais ni sheria kwa maana nyingine. Sasa inapotekea Rais ambaye ni muslim akafanya hivyo ina maana logically imeshapitishwa kuwa sheria ya nchi hiyo; msingi wa swali,
1. Endapo atakuja rais mwingine hasa mkiristo hasisimamishe hotuba huku adhana ikiendelea hawa ndugu zetu watamuelewa?

2. Vp kama adhana inapewa heshima hiyo endapo wewe kama individual mtu atakuja kukuzuia usifanye jambo lako either unasikiliza mziki, au mna kikao cha familia anatokea mtu anakuzuia kwamba stop kila kitu adhana inalia huku kwa maana sasa imeshakuwa sheria utajisikiaje?

Halafu lazima watu tujifunze kuona vitu ambavyo wengine hawavioni, kumbuka makosa yoyote itakofanya serikali bila kuzuiwa na wananchi madhara yote yatarudi kwako ewe mwananchi.
Sasa ulitaka aongeze sauti au?
 
Duh wewe una matatizo mbona hata Kenyatta na mkristo mwaka Jana kwenye mazishi ya JPM alinyamaza aliposikia adhana hukusema kitu?..kweli serikali haina Dini Ila watu wake Wana Dini ndo maana Kuna mapumziko ya Eid,Pasaka,Krismass na kadhalika mbona hukugoma unaona adhana tu?..

Uungwana ni vitendo.
 
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.

Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?

Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.


Kuna kitu watu wanasahau hapa kwamba Neno au Tendo la Rais ni sheria kwa maana nyingine. Sasa inapotekea Rais ambaye ni muslim akafanya hivyo ina maana logically imeshapitishwa kuwa sheria ya nchi hiyo; msingi wa swali,
1. Endapo atakuja rais mwingine hasa mkiristo hasisimamishe hotuba huku adhana ikiendelea hawa ndugu zetu watamuelewa?

2. Vp kama adhana inapewa heshima hiyo endapo wewe kama individual mtu atakuja kukuzuia usifanye jambo lako either unasikiliza mziki, au mna kikao cha familia anatokea mtu anakuzuia kwamba stop kila kitu adhana inalia huku kwa maana sasa imeshakuwa sheria utajisikiaje?

Halafu lazima watu tujifunze kuona vitu ambavyo wengine hawavioni, kumbuka makosa yoyote itakofanya serikali bila kuzuiwa na wananchi madhara yote yatarudi kwako ewe mwananchi.
Sijaelewa tatizo liko wapi kwa hilo.
 
Makanisa na misikiti ziheshimu privacy za watu. Si jambo la busara unasali wewe unawapigia kelele wengine. Sisi wengine hatuna na wala hatuamini kwa hayo mliyoletewa na wazungu na waarabu. Ebu acheni mambo ya udini hayo, hayatusaidi katika maisha yetu, kama unasali, omba kwa Mungu wako katika sehemu za usiri na zisizo na kelele. Hiyo adhana ya kuitana kwenda kusali au kupiga kengele kwa makanisa ni suala lililopitwa na muda, kwani ukiambiwa sala au swala inaanza saa sita huna saa hadi uitwe na muadhana? au ukijua misa au ibada inaanza saa nne, saa sita na saa nane, huwezi ku-keep time usichelewe swala/sala? Mbona kwenye mabaa na mkisafiri mnawahi sana, sasa leo mnaona shida kuwahi kwenye ibada. Huo mnaosema ni ujinga tena mkubwa na inaonyesha ni primitiveness. Acheni kujipendekeza kwa cheap popularity.
Tardy...
Hayo usemayo yana kitu kimoja ambacho ni makhsusi.

Imethibitika kuwa ukiona mtu anashambulia Uislam na atajifanya na kuushambulia Ukristo pia kwa kauli za dini zilizoletwa na Waarabu na Wazungu wote huwa ikiwa wamekana dini basi zamani walikuwa Wakristo.

Hata hapo walipokuwa Wakristo walikuwa na chuki na Uislam.

Chuki hii huwa wanahamanayo kwenye dini yao mpya hiyo ya kujifaya si Muislam wala Mkristo.

Ningependa sana kujua zamani kabla ya kuhamia hiyo dini yako mpya ulikuwa muumini wa dini gani?

Nina hakika kabisa hukuwa Muislam.
Maneno yako hayo hayanishangazi.
 
Cku ya kung'oka roho utajua vzr tu
Makanisa na misikiti ziheshimu privacy za watu. Si jambo la busara unasali wewe unawapigia kelele wengine. Sisi wengine hatuna na wala hatuamini kwa hayo mliyoletewa na wazungu na waarabu. Ebu acheni mambo ya udini hayo, hayatusaidi katika maisha yetu, kama unasali, omba kwa Mungu wako katika sehemu za usiri na zisizo na kelele. Hiyo adhana ya kuitana kwenda kusali au kupiga kengele kwa makanisa ni suala lililopitwa na muda, kwani ukiambiwa sala au swala inaanza saa sita huna saa hadi uitwe na muadhana? au ukijua misa au ibada inaanza saa nne, saa sita na saa nane, huwezi ku-keep time usichelewe swala/sala? Mbona kwenye mabaa na mkisafiri mnawahi sana, sasa leo mnaona shida kuwahi kwenye ibada. Huo mnaosema ni ujinga tena mkubwa na inaonyesha ni primitiveness. Acheni kujipendekeza kwa cheap popularity.
 
Mdogo mdogo kama Zanzibar! Ikawa nchi yenye bendera na serikali yake.
Tutaanza kuzuia magari mda ukifika.
 
Back
Top Bottom