makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Juzi nimeona kwenye taarifa ya habari, nadhani ni utv wale,wenzao lindi wanasifia bei ya 1950.
Ila nilipoona wasifiaji wamevaa nguo za kijani na njano, nikapata mashaka na habari ile.😂🤣
Ila nilipoona wasifiaji wamevaa nguo za kijani na njano, nikapata mashaka na habari ile.😂🤣